mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,944
- 43,358
Ilikuwa Aidha atuue sisi au tumuue yeye. Alikuwa mkubwa sana mweusi anatanua mashavu yake halafu anatema mate kwa njia ya kukurushia~wanasema yakikupata machoni unapofuka, ilikuwa hatari mnoSas kwa nini mlimuua na nyie ndo mliingia kwenye zone yake


