Umepanga kuzaa watoto wangapi?

Umepanga kuzaa watoto wangapi?

Nikweli brother tunatofautiana.

Kama hutojali.
Unaweza kunipa sababu ya wewe kutaka kuzaa watoto?
Motive ya wewe kutaka kuzaa idadi ile uliyoisema?

Nataka nione kweli wewe si mbinafsi!
Kwa ukoo wetu tumezaliwa wanaume wawili tu, mdogo angu mkewe ana changamoto, kapata 1 kid basi. Mie nae ndo ivo watatu tu now.

My motive real ilikua kukuza ukoo wetu tu. Halafu binafsi tng utotoni napenda kukaa ktkt ya watoto, napenda watoto yani. Vile viswali vyao, challenges nk navipenda.

It is my prestige real niwe na kids wengi. Lakini yote namuachia Muumba sasa!
 
Kabla sijapata hata mke nilipanga kuwa na watoto wawili tu wakike na wakiume


Ktk harakat za kucheza mechi za kirafik muimba kwaya mwenzangu ikanasa mpaka anakuja kuniambia kuwa imenasa ilikua imeshafikisha miez mitan kasoro



Tukakaa km kamat tukakubaliana tuitoe aloooooo alitumia dawa km buku ngoma ngumu iligoma kutoka kwa mbinde sana akajifungua mapacha watat vidume watupu


Mzee mzima sikuwa mgumu fasta tu nikakubal majukumu na kwa vile kazi yangu kubwa ni kupiga kinanda cha kanisa bila malipo ndugu zangu wakakubal kusaidia huduma wakat najitafuta


Nikazamia dar na km kawaida yangu siwez vumilia kukaa na upwiru wakat napiga kazi kkoo ya kuendesha torol la magodoro kuna mmakonde muuza matunda ikanasa,mungu ambarik alienda kwao mtwara mpaka leo naishia kutuma pesa tu na kuongea na mtoto kupitia simu sijawah hata kumuona


Sasa hv nimeoa na nina watoto saba pacha watupu na waif ni mjazito kwa mujibu wa ultrasound ana pacha hawana hakika km wawil au zaid na swala la kufunga uzaz waif hatak anasema atazaa mpaka waishe au mmoja wetu kati ya mim au yey afe na wote tumekutana hatuwez vumilia kukaa na upwiru


lkn nashukuru mungu wananipa hamasa ya kutafuta pesa kinomanoma nikiwa nao full shangwe
Duh!...una nyota ya mapacha
 
Back
Top Bottom