Continental Ground
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 1,932
- 3,982
Saivi Nina 2 ila mpango ni 4
Hongera sanaNina watoto wanne.
Naona kama sijatosheka. Familia yetu ni kubwa sana. Zaidi ya watoto 46.
Ninawiwa, lakini ninajitafakari.
Karibu tufanikishe azma ya kufikisha mbele zaidi. Tukifanikisha hao watatu au wanne basi walau 7 wamefika.Hongera sana
Nipo kuwatafutia baba saizi..nitakutafuta tu by any means na nakuombea uishi miaka mingi ili ndoto yangu itimie😊🤗🤗Karibu tufanikishe azma ya kufikisha mbele zaidi. Tukifanikisha hao watatu au wanne basi walau 7 wamefika.
Hujaelewa?Nipo kuwatafutia baba saizi..nitakutafuta tu by any means na nakuombea uishi miaka mingi ili ndoto yangu itimie😊🤗🤗
nimeelewa ...sitaki wewe uwe baba yao😃😂😂😬
Hutaki Wazee? Tena hao ndiyo wanaongeza nafasi ya kukupatia mapacha.nimeelewa ...sitaki wewe uwe baba yao😃😂😂😂😬
sitaki wazee ndyo😃😃Hutaki Wazee? Tena hao ndiyo wanaongeza nafasi ya kukupatia mapacha.
Anyway, kila la kheri Madam.
Sijaoa cute
Hata mimi nataka wawili![]()




.....and this world was made for real men like you and I. Mimi ni mkurya.Mkuu unatokea kanda ya Ziwa?
Hiyo mila tulikuwa nayo Kijijini miaka ile ya zamani, ila sina hakika kama inaendelea kutumiwa na Vijana wa leo.
Inahitaji Uanamme hasa kulikubali hilo
Unaweza ukakimbia mtoto kumbe ni wako. Maneno ya kupewa changanya na zako mkuu.inawezekana, ila hoja sio hiyo hoja ni ukijua mtoto sio wako, kimbia
But you might also jump into wrong conclusion. Ila kwa kuwa umesema utafanya kwa njia unayoona inafaa kwa mtazamo wako, it's okay.Nuh I don't think have to tell nobody just to make em' believe it is true
Nikisha jiridhisha kwa namna yangu ntayoona inafaa basi I'll jump to the conclusion
Absolutely.....and this world was made for real men like you and I. Mimi ni mkurya.