Umepanga kuzaa watoto wangapi?

Umepanga kuzaa watoto wangapi?

Hapana
Mimi nawapenda watoto wangu tena upendo uliopitiliza kiasi cha kutowaleta hapa duniani.

Am not selfish just like you.
Wengi wenu humu mnazaa kwasababu za kibinafsi tu

Fyatueni mkuu
Tutawasaidia kulea
You know what i mean.
mkuu mie c mbinafsi, ningekua ivo I hope kwa umri wng ningekua na hata 7 sasa.

Anyway, hatufanani
 
Babu yangu alizaliwa peke yake kwa mama yake, baba yangu walizawa watatu, Mimi nimezaliwa peke yangu!
Kwa Sasa nina watoto wawili, hii kitu inanifikirisha sio kidogo, nabanwa na dini na tamaduni zetu hizi, lakini naazimia kabisa hii idadi ya watoto haitoshi hata kuielezea.
Hao wawili wamezaliwa kwa upausaji ,uwezekani wa kuongeza hata mmoja ni changamoto .
Naona ukoo unaporomoka kulekea chini, kwa vyovyote ni lazima nifanye isiyo kawaida.
ha ha haaa...hzi dini zinatubana wkt kwenye Biblia hakuna hata mstari mmoja unaokataza kuoa wake wawili na zaidi...na watu wakubwa wa dini walioa mpk wake 700 achilia mbali masulia
 
Mtoa post uko sahihi,Ila nikushauri usizae na mwanamke mmoja,Chnganya NASABA yaan KOO kunafaida kubwa sana,Sababu mafanikio ya mtu pia huendana na asili yake
mkuu hizi dini za kigeni zimenipofusha asee...ila naungana na hoja yako. Mf hapa kuna mkasikazini anataka kid from me, ila ndo ivo dini inanivuta
 
Back
Top Bottom