Umepanga kuzaa watoto wangapi?

Jumong S

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
7,312
10,494
Salaam!

Mie binafsi wakati nipo 20s nilipanga kuwa na watoto 12 maishani mwangu. Kwa sasa nipo na early 40s ila nina watoto 3 na mama amesema imetosha hataki kabisa kusikia tunaongeza mtoto au ninamletea mtoto.

Kila nikifikiria ndani mwangu, nashuhudiwa natakiwa kuwa na 12 kids, ila ukiangalia kwa maisha yalivyo tight kwa kazi zetu za kuajiriwa na huku unapeleka kids shule za magari ya njano, unajikuta kinyoooonge unakubaliana na mama kuwa watatu wanatosha

Kuna rafiki angu wa same age, yeye plan yake ni watoto 17, mpk sasa ana 8 kids. Yeye njia yake tofauti kidogo, anasisitiza, idadi ya 17 ni lazima, watazaliwa na nani hilo halina mjadala. Alimuambia mkewe ana plan ya kuzaa watoto idadi hiyo, kama anaweza atabaki nae alone ila kama hawezi ajiandae kuletewa kids, mama alimzalia 4 kids akasepa. Now ana mke mwingine na kakubali masharti hayo but mtoto wa kwanza tu, kazaa kwa operation. Kitu kizuri ni kuwa, jamaa anawatunza vyema kids wake japo anawapeleka shule za Magu hizi za bure...

This life ni ngumu mpk linatunyima kutimiza malengo. Kids are good guys, zaeni zaeni mkaongezeke.

Watoto ni mtaji kwa familia na taifa.

NB: Hakikisha unawatunza vyema unaowaleta duniani. Lidunia ni kubwa sana hatujaenea kamwe!

JE, WEWE UMEPLAN KUZAA KIDS WANGAPI?
 
Salaam!
Mie binafsi wakati nipo 20s nilipanga kuwa na watoto 12 maishani mwangu. Kwa sasa nipo na early 40s ila nina watoto 3 na mama amesema imetosha hataki kabisa kusikia tunaongeza mtoto au ninamletea mtoto
Kila nikifikiria ndani mwangu, nashuhudiwa natakiwa kuwa na 12 kids, ila ukiangalia kwa maisha yalivyo tight kwa kazi zetu za kuajiriwa na huku unapeleka kids shule za magari ya njano, unajikuta kinyoooonge unakubaliana na mama kuwa watatu wanatosha

Kuna rafiki angu wa same age, yeye plan yake ni watoto 17, mpk sasa ana 8 kids. Yeye njia yake tofauti kidogo, anasisitiza, idadi ya 17 ni lazima, watazaliwa na nani hilo halina mjadala. Alimuambia mkewe ana plan ya kuzaa watoto idadi hiyo, kama anaweza atabaki nae alone ila kama hawezi ajiandae kuletewa kids, mama alimzalia 4 kids akasepa. Now ana mke mwingine na kakubali masharti hayo but mtoto wa kwanza tu, kazaa kwa operation. Kitu kizuri ni kuwa, jamaa anawatunza vyema kids wake japo anawapeleka shule za Magu hizi za bure...

This life ni ngumu mpk linatunyima kutimiza malengo. Kids are good guys, zaeni zaeni mkaongezeke.

Watoto ni mtaji kwa familia na taifa.

NB: Hakikisha unawatunza vyema unaowaleta duniani. Lidunia ni kubwa sana hatujaenea kamwe!

JE, WEWE UMEPLAN KUZAA KIDS WANGAPI?
Mkuu!
Mimi natofautiana na wewe.

No!
Tusiongeze tena watoto hawa hawa tulionao mitaani wanatosha
 
Back
Top Bottom