Sijaoa, kabla ya ndoa ni muhimu kukubaliana na masharti bosi.Mkeo kakubali? maana wamama wa siku hzi hawakawii kuweka vijiti...kila ukipiga, hewa!
Sijaoa, kabla ya ndoa ni muhimu kukubaliana na masharti bosi.Mkeo kakubali? maana wamama wa siku hzi hawakawii kuweka vijiti...kila ukipiga, hewa!
Sijui what happened kwao, ila Sina tatizo lolote.kuna tatizo lolote kibiologia? ungepiga hata wa5 ili wakalinde ukoo
Sasa hela huna mtu aje akuzalie tu kizembe kila siku??Mkeo kakubali? maana wamama wa siku hzi hawakawii kuweka vijiti...kila ukipiga, hewa!
Kwa nini? mashamba bado yapo kibao...fyatua tu ila responsibly
Umetisha Sana mkuu 😂30 sshv Ninao 12
11 wa mama tofauti
Hakuna mahusiano kati ya elim bora na mafanikioMalengo yake ni mazuri sana ila urithi wa mtoto ni elimu bora sio zaidi kupeleka mwanao hizi shule za st kayumba ni kwa 80% isipo angalia sana huyu ni potential future bodaboda dereva au konda wa dala dala, nta zaa wengi kadiri ya uwezo wangu wa kuwapa elimu bora na malazi mazuri.
Ni sawa ila kuna uhusiano kati ya elimu bora na uelewa wa mtu pamoja na kujitambua.Hakuna mahusiano kati ya elim bora na mafanikio
Usiishie wasio gawanyika! Fanya wanne bwana.Nilipanga niishie wawili ila naona wa tatu kama vile na yeye anataka sanaa kuja kuona hii dunia.
So mimi nitaishia wa 3.
😂😂Wawili wa mume mmoja wa mpenzi .jumla watatu
Ntakaobarikiwa na imradi mama la mama awe anataka tuu mana labour nayo kivumbiiJE, WEWE UMEPLAN KUZAA KIDS WANGAPI?
Kwani me mke wao mkuu?? Kila mtu apambane na mume wake
Una hamu ya kuyaoga matusi mkuu? Watu wana stress ata ukisema kiutani tu utashukiwa kama nn.




Sawa mkuu alaf me mwenywe natoa mbegu maridadi, naomba tenda hio ya huyo mmoja wa nje 😂Kwani me mke wao mkuu?? Kila mtu apambane na mume wake![]()