Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Unaijua mimba mdogo wangu au unaisikia?? Acha kabisa .unatapika hadi unatamani kutapika dunia yote yaani ovyo ovyo unajiskia.
Acheni tu mama aitwe mama
Acha tu halafu ni experience isiyozoeleka.
Unaijua mimba mdogo wangu au unaisikia?? Acha kabisa .unatapika hadi unatamani kutapika dunia yote yaani ovyo ovyo unajiskia.
Acheni tu mama aitwe mama
Ndugu zake mama, kwasababu baba hana uhakika kama ni wa kwake
tuishi humuWanaozaa mapacha kuanzia watatu wanafanyaje wakuu... maana I wish nije kua na watoto wa3 at once 🥹
Wanasema kuzaa sio kazi ila kulea, ila ukweli kulea sio kazi kiasi hicho kama tunavyo aminishwa!Nitaweza kuwalea kweli?? Sitaki uncle zako waishi maisha ya taabu jamani.
Ooh kumbe🤔🤔Kuna dawa mfano letrozole hizi zinatumika kutibu mzunguko usioeleweka na PCOS…. Hizi dawa ukizitumia ukipevusha unapevusha mayai mengi ila inashauriwa uwe na uangalizi wa karibu wa daktari wa wanawake maana unaweza uka conceive mapacha hata sita ila wakawa wana kasoro.
Wanasema kuzaa sio kazi ila kulea, ila ukweli kulea sio kazi kiasi hicho kama tunavyo aminishwa!
Tena siku hizi mazingira ya malezi ni rahisi kuliko miaka ya zamani ambapo wazazi walikua wana watoto mpaka 12!
Usiogope Hannah, mtoto akisha zaliwa anakuwa wakwetu wote.
Buloo una moto asee...hizi dini za weupe mie cjui zinanipumbaza...karoho kanagoma kutafuta second waifuKweli kabisa ila hili la kuzaa huoni karata ilivyobadilika hapo
Unapanga kuwa na watoto wengi unaishia kuwa na wachache
Kwa kweli mimi sikuwahi kuwaza hili na ninao wanane
Ila natafuta mke wa Tatu sasa kama atanizalia hayo ni majaaliwa
Huyo jamaa ndio akili zake zimeishia hapoHakuna mahusiano kati ya elim bora na mafanikio
Mkuu hata kimila na utamaduni wetu unaruhusu kwingine kuwa na wawiliBuloo una moto asee...hizi dini za weupe mie cjui zinanipumbaza...karoho kanagoma kutafuta second waifu
Nitafurahi mnoo, nakuombea!Sawa ndugu tuombeane uzima nitakuletea uncle namba 4 Mungu akipenda.
Mwambie huyo aache uoga kila mtu anarizki yakeWanasema kuzaa sio kazi ila kulea, ila ukweli kulea sio kazi kiasi hicho kama tunavyo aminishwa!
Tena siku hizi mazingira ya malezi ni rahisi kuliko miaka ya zamani ambapo wazazi walikua wana watoto mpaka 12!
Usiogope Hannah, mtoto akisha zaliwa anakuwa wakwetu wote.



Hata kwenye biblia kuna waliotajwa wakimilik mke zaid ya mmoja km seleman,ayubu na wengineoMkuu hata kimila na utamaduni wetu unaruhusu kwingine kuwa na wawili
Mimi najua mmoja ni mama mzazi tu![]()
HaswaHata kwenye biblia kuna waliotajwa wakimilik mke zaid ya mmoja km seleman,ayubu na wengineo
Kuna watu wanaenda kinyume na maandiko ya biblia takatifu tena kwa kudhamiria ilhali wanajua fika kuwa wanapotokaHaswa
Sasa sisi nani wa kupinga?
Kabisa mkuukwa hali ya uchumi wa sasa ukitaka zaidi ya wawili labda uwe unaokota hela