Umepanga kuzaa watoto wangapi?

Umepanga kuzaa watoto wangapi?

Tunapopanga jambo kifo tunakiweka constant. Wote tutakufa lakini haizuii kuipanga kesho yetu.
Kweli kabisa ila hili la kuzaa huoni karata ilivyobadilika hapo
Unapanga kuwa na watoto wengi unaishia kuwa na wachache
Kwa kweli mimi sikuwahi kuwaza hili na ninao wanane

Ila natafuta mke wa Tatu sasa kama atanizalia hayo ni majaaliwa
 
Back
Top Bottom