Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Mkuu FRANCIS DA DON wakivumbua uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa wireless unijuze mkuu.. Shemeji yako yuko maili 4000 toka nilipo mie na ninaingia gharama sana kusafiri mara kwa mara kwa ajili ya kutimiza tu tendo hilo..
Ni hilo tu Mkuu..
Mbona hii imeshagunduliwa toka zamani, all you need is a laptop, webcam and an internet connection..!
 
Nikola Tesla alikaa chini na kuanza kufanya research ya vipi ataweza kutransmit power wirelessly kabla project haijakamilika alipoteza maisha ilikuwa miaka elfu moja mia nane na kitu ...Natumia program hii bado inaendelea na kwa sasa kumeanza kutokea mambo ya kutransmit power ndogo ndogo kama 5 Voltage wirelessly mfano chaji za simu,,,Tukumbuke Research za kisayansi zina take a lots of time mpaka kuwa completed ...William Gilbert ameanza kujihusisha na umeme 1500 na jina Electricity kalianzisha yeye but mpaka 1831 Michael Faraday ndo akaleta miracle kwa upande Electromagnetism na 1891 Nikola Tesla ndo kaleta Mambo ya Transmission over long distance A.C current ..kwa hio tuwe na subira tu mambo yatakuwa fine
 
Mkuu Asante sana, nimefurahi sana kwa ulichokiandika hapa (LIKE) kubwa sana. Hii tabia ya kutofanya utafiti na kukubali wakati kutokana na Elimu imekuwa inasumbua watz wengi sana.

Mimi naamini kuna umuhimu wa kujijengea utamaduni wa kujisomea na kutafuta taarifa tofauti kuhusu mambo mbalimbali. Kesho mtoto wako mdogo atakuuliza kuhusu "wireless electricity" halafu utajibu kwa kujiamini "HAIWEZEKANI" halafu mtoto akafanya a simple google search na akapata "5,670,000 results!" kuhusu kitu ambacho umeshanena kwamba hakiwezekani.
Tuiepuke hii fedheha,upatikanaji wa taarifa na maarifa umerahisishwa sana siku hizi, tuitumie hii fursa vizuri.
 
Kama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-baka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.

Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-bake yenyewe hadi kufa!

hata marekani ni nyaya zinatambaa kama kawa!
 
Hiyo ndoto mzee lakini mizungu inaweza ni matter of time, kizazi hiki hakitashuhudia hii technology lakini wajukuu wetu uwenda ikawa maana hata technology ya kusafiri angani kizazi cha karne kuanzia ya kwanza hadi 18 ilikuwa ni ndoto kukubali ila vitukuu wao kuanzia karne ys 19 wanasafiri angani na ndege.
 
wireless transfer of power inawezekana ila haitakuja tumika. sababu ni ufanisi(efficiency) wake ni duni mno. hili ni jambo muhimu sana kwenye power engineering ikizingatiwa gharama za kuzalisha umeme na hakuna dalili ya gharama hizo kupungua. sababu ya pili ni kwamba ili uweze kusafirisha electromagnetic waves kwa ufanisi lazima utumie frequecy kubwa kwenye range ya GHz. kubadili frequency ya power kutoka 50Hz hadi GHz kadhaa ni gharama na sio rahisi. sababu nyingine ni za kitaalam hata nilieleza ataelewa ambaye tayari anazijua. na kazi kueleza kwa kiswahili.
 
Haiwezekani.

Nyie.wehu mnaosema haiwezekan hata hamjawahi kuumiza kichwa kutafiti na kugundua jambo... Nguvu ya kusema hapana inatokana na kusoma zile.theories za haohao wanaokuambia wamegundua inawezekana.. Sasa sjui mnabisha kwa kigezo gan.. Subirin ingzo jipya ktk mitaala😕
 
Kama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-baka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.

Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-bake yenyewe hadi kufa!

Bora wafe tu hawana jipya zaid ya ufisad na rushwa
 
Sasa wad*ng*nyika or sorry ulimi umeteleza, mnabisha nini, wakati wale mainginia wetu pale mlimani na dit, wameshindwa hata tengeneza mashine ya kutengeneza vile vijiti vya kuchokonolea meno baada ya kula ndafu halafu ati wanajiita maprofesa .. Wacheni ubishi, bhana mbona wireless charger inawezekana???? Ebo
 
Sasa wad*ng*nyika or sorry ulimi umeteleza, mnabisha nini, wakati wale mainginia wetu pale mlimani na dit, wameshindwa hata tengeneza mashine ya kutengeneza vile vijiti vya kuchokonolea meno baada ya kula ndafu halafu ati wanajiita maprofesa .. Wacheni ubishi, bhana mbona wireless charger inawezekana???? Ebo

Charger inatoa output 5V ni pressure ndogo sana sasa Power station zetu zina Generate 11KV yani 11,000 Voltage then step up transformer mpaka 132000 Voltage mpaka 400000v sasa hii power ni kubwa sana Air ni resistor ..tukiforce ipite itaharibu mazingira na viumbe hai then Haita kuwa nzuri Economically kumbuka hatuangalii maajabu ya science tunafanya mambo economically as scientists
 
Raha ya mwanasayansi ni pale impossible inapokuwa possible kwa kutumia kichwa chake.
Anapoona watu wanavyoshangaa na kutoa mimacho anapodemonstrate hio product!!
Ni raha zaidi manufacturers wenye akili wanapoichukua na kuiweka sokoni bidhaa!!!

That is the beauty of science. Kurahisisha maisha
 
Raha ya mwanasayansi ni pale impossible inapokuwa possible kwa kutumia kichwa chake.
Anapoona watu wanavyoshangaa na kutoa mimacho anapodemonstrate hio product!!
Ni raha zaidi manufacturers wenye akili wanapoichukua na kuiweka sokoni bidhaa!!!

That is the beauty of science. Kurahisisha maisha

Hii ishu inawezekana lakini sema kuna watu wapo nyuma ya mchezo hawataki itokee kitu kama hicho!
 
Nikola Tesla alikaa chini na kuanza kufanya research ya vipi ataweza kutransmit power wirelessly kabla project haijakamilika alipoteza maisha ilikuwa miaka elfu moja mia nane na kitu ...Natumia program hii bado inaendelea na kwa sasa kumeanza kutokea mambo ya kutransmit power ndogo ndogo kama 5 Voltage wirelessly mfano chaji za simu,,,Tukumbuke Research za kisayansi zina take a lots of time mpaka kuwa completed ...William Gilbert ameanza kujihusisha na umeme 1500 na jina Electricity kalianzisha yeye but mpaka 1831 Michael Faraday ndo akaleta miracle kwa upande Electromagnetism na 1891 Nikola Tesla ndo kaleta Mambo ya Transmission over long distance A.C current ..kwa hio tuwe na subira tu mambo yatakuwa fine

Ila Mimi kama physicist bado natilia shaka wireless transmission ya high tension electricity kwamba inaweza kusababisha ionization ya air molecucules na kusababisha cheche za moto hewani ikawa kama man-made lightning jambo ambalo ni dhahiri kabisa linaweza kujitokeza. Fikiria spark plug ya gari ndogo, volts 950 zinatosha kutoa cheche za moto umeme unapovuka kutoka point moja kwenda nyingine. Kwa hiyo utafiti huu ni abstract kwa umeme mkubwa H.T. ambao unahitaji guidance ya nyaya ili kuepuka air ionization and hence sparking.
 
Back
Top Bottom