Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Ila Mimi kama physicist bado natilia shaka wireless transmission ya high tension electricity kwamba inaweza kusababisha ionization ya air molecucules na kusababisha cheche za moto hewani ikawa kama man-made lightning jambo ambalo ni dhahiri kabisa linaweza kujitokeza. Fikiria spark plug ya gari ndogo, volts 950 zinatosha kutoa cheche za moto umeme unapovuka kutoka point moja kwenda nyingine. Kwa hiyo utafiti huu ni abstract kwa umeme mkubwa H.T. ambao unahitaji guidance ya nyaya ili kuepuka air ionization and hence sparking.
Hata kwa imagination inakuwa ngumu kutransmit HT wirelessly but ngoja tuone nini kita happen na sie wengine ni upcoming scientists tutafanya research za hayo.
 
Raha ya mwanasayansi ni pale impossible inapokuwa possible kwa kutumia kichwa chake.
Anapoona watu wanavyoshangaa na kutoa mimacho anapodemonstrate hio product!!
Ni raha zaidi manufacturers wenye akili wanapoichukua na kuiweka sokoni bidhaa!!!

That is the beauty of science. Kurahisisha maisha


Ila Mimi kama physicist bado natilia
shaka wireless transmission ya high
tension electricity kwamba inaweza
kusababisha ionization ya air
molecucules na kusababisha cheche
za moto hewani ikawa kama man-
made lightning jambo ambalo ni
dhahiri kabisa linaweza kujitokeza.
Fikiria spark plug ya gari ndogo, volts
950 zinatosha kutoa cheche za moto
umeme unapovuka kutoka point moja
kwenda nyingine. Kwa hiyo utafiti
huu ni abstract kwa umeme mkubwa
H.T. ambao unahitaji guidance ya
nyaya ili kuepuka air ionization and
hence sparking.
 
Charger inatoa output 5V ni pressure ndogo sana sasa Power station zetu zina Generate 11KV yani 11,000 Voltage then step up transformer mpaka 132000 Voltage mpaka 400000v sasa hii power ni kubwa sana Air ni resistor ..tukiforce ipite itaharibu mazingira na viumbe hai then Haita kuwa nzuri Economically kumbuka hatuangalii maajabu ya science tunafanya mambo economically as scientists

Acha wehu waache wanasayansi wafanye yao.. Umeambiwa hyo technology inaenda sambamba na vifaa vyake😕
 
Ila Mimi kama physicist bado natilia shaka wireless transmission ya high tension electricity kwamba inaweza kusababisha ionization ya air molecucules na kusababisha cheche za moto hewani ikawa kama man-made lightning jambo ambalo ni dhahiri kabisa linaweza kujitokeza. Fikiria spark plug ya gari ndogo, volts 950 zinatosha kutoa cheche za moto umeme unapovuka kutoka point moja kwenda nyingine. Kwa hiyo utafiti huu ni abstract kwa umeme mkubwa H.T. ambao unahitaji guidance ya nyaya ili kuepuka air ionization and hence sparking.

Huo ni mtizamo wako..
 
DA DON leo umepiga viroba? Si kawaida yako'

Mi nashindwaga hapo tu! Mtu kisa kanunuwa gari atakubishia kuhusu Over Drive utadhani fundi! Afrika hii!!!!!!!!!!!!!

Energy kubwa kama hiyo inafikaje Kimara kutokea Ubungo wirelessly!! You can't imagine!
Labda Mswaki wa Umeme tu ndo unachajiwa wirelessly! House Hold Energy?
MMMMMMmmmmmmhhhhhhhhh!
 
Ila Mimi kama physicist bado natilia
shaka wireless transmission ya high
tension electricity kwamba inaweza
kusababisha ionization ya air
molecucules na kusababisha cheche
za moto hewani ikawa kama man-
made lightning jambo ambalo ni
dhahiri kabisa linaweza kujitokeza.
Fikiria spark plug ya gari ndogo, volts
950 zinatosha kutoa cheche za moto
umeme unapovuka kutoka point moja
kwenda nyingine. Kwa hiyo utafiti
huu ni abstract kwa umeme mkubwa
H.T. ambao unahitaji guidance ya
nyaya ili kuepuka air ionization and
hence sparking.

With your spark plug idea? Do you consider Plug gap? Why is it 0.44 gap?

Mtatuambia hata maji yatagawanywa kwa wireless Miaka ijayo!
Viloba hatari sana!
 
Ila Mimi kama physicist bado natilia
shaka wireless transmission ya high
tension electricity kwamba inaweza
kusababisha ionization ya air
molecucules na kusababisha cheche
za moto hewani ikawa kama man-
made lightning jambo ambalo ni
dhahiri kabisa linaweza kujitokeza.
Fikiria spark plug ya gari ndogo, volts
950 zinatosha kutoa cheche za moto
umeme unapovuka kutoka point moja
kwenda nyingine. Kwa hiyo utafiti
huu ni abstract kwa umeme mkubwa
H.T. ambao unahitaji guidance ya
nyaya ili kuepuka air ionization and
hence sparking.

Exactly!!
Ndio maana uvumbuzi is all about solving problems which have been eating brains of good scientists like you.
Called a BREAKTHROUGH.
but for good scientists there is nothing like ..impossible... only impossible for current knowledge...
 
Hata kwa imagination inakuwa ngumu kutransmit HT wirelessly but ngoja tuone nini kita happen na sie wengine ni upcoming scientists tutafanya research za hayo.

Hao wazungu wenyewe radi inawakondesha. leo uje na viradi kibao kila kona ya nchi?
Nyie umeme muusikie hvyo hivyo!
 
Hili jambo umejitungia, sijui ili kujifurahisha au ndo nini. Ndo maana hujaweka chanzo, wapi umepata hii habari. Taja tuone kama una ujasiri huo.
 
Kama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-baka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.

Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-bake yenyewe hadi kufa!

Hizo ni ndoto za mwenda wazimu. TTCL inachakachuliwa na mafisadi, bila TTCL kuwa imara ie njia kuu za uchumi kumilikiwa na Watanzania wenyewe mtaendelea kuwa watumwa. Hao Voda et al wanatumia mwanya wa kuidondosha TTCL. Ndio hivyo hivyo ambavyo EL alitumia mbinu chafu kuwaingiza Dowans et al kwa style ile ile. These people need to go to jail.

BTW hivi unafikiri kampuni kubwa kama BT kule UK kwa nini inashamiri kila uchwao? Na hivi sasa imekuwa tishio kubwa kwa Sky inc.
 
Niambie radi hutumia wire upi?!

Radi inatumia hewa kama conductor, na kwa kuwa hewa ina resistance kubwa, ndio maana ikikuta conductir nyingine rahisi kujipitisha inapita hapo - kama miti mirefu hata binadamu, ikuwa utasimama karibu na mti mrefu au sehemu tambarare isiyo na conductor ambayo radi itachangua. Kimsingi, ikiwa umeme utasafirishwa kama radi basi kumo njiani unamopita utakuwa unaua au kila kitu unachokutana nacho!
 
Japan wameanza kutumia
Nikola tesla aligundua zamani sana hiyo kitu
 
Utafiti wa umeme pasipo waya unafanyika pia hapa Tanzania.

Miaka ya 2000 - 2004 nilikutanishwa na ndg.mmoja (mmarekani mweusi) kwa jina la Robi. Huyu ndg alikuwa na mradi huko Mara wa kufungua ISP na pia alikuwa anamiliki wavuti kwa jina la www.juasun.net

Pia alikuwa anafanya UTAFITI WA KUSAMBAZA UMEME pasipo kutumia waya. Mradi huu wa utafiti alikuwa anaufanya nchini Tanzania ukigharamiwa na shirika moja la misaada toka nchi za scandinavia.

Tunasubiri matokeo.
 
Mi nashindwaga hapo tu! Mtu kisa kanunuwa gari atakubishia kuhusu Over Drive utadhani fundi! Afrika hii!!!!!!!!!!!!!

Energy kubwa kama hiyo inafikaje Kimara kutokea Ubungo wirelessly!! You can't imagine!
Labda Mswaki wa Umeme tu ndo unachajiwa wirelessly! House Hold Energy?
MMMMMMmmmmmmhhhhhhhhh!

Nimewahi sikia kuwa kuna vyuo vikuu fulani huko ulaya vimeweza kuteka umeme wa radi na kuutunza na kuutumia.
 
inawezekana ukichukulia umeme kama energy (nishati) ambayo inaweza kuwa converted into another form of energy ikiwa inasafiri hewani halafu ukitua tu kwenye nyumba makolombwezo flani yafanyike na kuwa umeme tena
 
Ila Mimi kama physicist bado natilia shaka wireless transmission ya high tension electricity kwamba inaweza kusababisha ionization ya air molecucules na kusababisha cheche za moto hewani ikawa kama man-made lightning jambo ambalo ni dhahiri kabisa linaweza kujitokeza. Fikiria spark plug ya gari ndogo, volts 950 zinatosha kutoa cheche za moto umeme unapovuka kutoka point moja kwenda nyingine. Kwa hiyo utafiti huu ni abstract kwa umeme mkubwa H.T. ambao unahitaji guidance ya nyaya ili kuepuka air ionization and hence sparking.

Hata Minara Ya Cmu Ilipoanzwa Kujenga Mainjinia Wetu Walitilga Shaka
 
"imposible"haiwezekani kwa umeme!

We kaa kimya, hata bwana yesu alisema yote yawezekana kwake yeye aaminiye. Kama unaweza kuwaza kitu upo uwezekano Wa kukifanya, zamani kuna watu walikataa kama tunaweza kuruka Kwa ndege, na wengine hawakuwaza kama utaongea Kwa Simu ya mkononi na kuona video hapohapo, wewe subiri wanaume wakuonyeshe, omba uzima tu
 
Back
Top Bottom