Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Kama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-baka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.

Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-bake yenyewe hadi kufa!

Huu ni UONGO
 
Inawezekana ila watafanya kubadilisha kwanza form katika kuusafirisha. Kama walivyo fanya kwenye light, na kwenye sound.
 
Hata Arusha kuna umeme wa wireless japo wao ni solar, usipolipa bill kwa wakati wanakukatia umeme bila kufika kwenye makazi yako
 
Wanao sema HAIWEZEKANI ni wajinga, wakielimishwa wataelewa tu! Hata kwenye miaka ya 70 ilikuwa ukimwambia mtu kuwa kila mtu atakuwa na uwezo wa kutembea na simu mfukoni na kuwasiliana moja kwa moja na mwenzake, wangesema Haiwezekani! Hata swala la "remote control" kwa ajili ya TV, Radio, Gari, Ndege, Feni, nk kwenye miaka ya 60, wangesema Impossible!

Watu wanafikiri kibongo-bongo wanadhani dunia yote iko hivyo, wenzetu wanatumia vichwa kufikiri siosi tunatumia vichwa kufuga nywele!
 
Kuna walakini, siwezi pinga moja kwa moja, mbona mengi wamefanya na ni ya kustaajabisha so kuna uwezekano...
 
Kama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-baka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.

Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-bake yenyewe hadi kufa!

Ungeweka huo ugunduzi hapa... Otherwise ni one of your wishes.... REMEMBER WISHI LIST HAS NO END

Imagine unasafirisha 220kV from Kidatu to Dar hewani... NEVER. Unless otherwise give out the principle behind it... utaayonaizi hewa yote iwe kondackta na uelektrokyuti kila kilichopo hewani..

Insulation itakuwaje?
 
"imposible"haiwezekani kwa umeme!
Mkuu hapa ndipo wabongo tunapokwama kisayansi.
ukisema haiwezekani na ubongo unalala.
Labda ungemwuliza,ni wapi wanasayansi wamafanikiwa kufanya hilo?

Kwa wanaofahamu umeme wanakumbuka
kwamba penye umeme pana sumaku,
na penye sumaku pana umeme.
na hivi vinategemeana,ukibadilisha umeme
unapata sumaku na ukibadilisha sumaku
unapata umeme.

Mara nyingi watu wa mawasiliano
utakuta kwenye vifaa vyao kuna sumaku
na mawimbi yao ya sauti yanaendana
na mambo kama hayo.Hivyo kama wanavyofanikiwa
kusafirisha mawimbi ya sauti wanaweza kusafirisha
na umeme kama mawimbi ya sauti kwa njia ya sumaku.

Binafsi sijaweza kuvumbua
umeme wa kusafiri bila waya
ila naamini umeme unaweza kubadilishwa kwenye
mfumo wa mawimbi ukasafirishwa
na sehemu kukuwepo chombo cha kuyanasa na
kuyabadilisha yakawa umeme mkubwa
tukatumia majumbani.

Pia naamini kutoweza kwangu
mimi labda kwa sababu ya elimu yangu
haimanishi na wengine hawawezi.
Hivyo kwa kiasi fulani nakubaliana na mleta hoja.
 
Kama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-baka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.

Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-bake yenyewe hadi kufa!

hahaha aiseee... hii kitu sizani kama inawezekana kisayansi?
 
Ila Mimi kama physicist bado natilia
shaka wireless transmission ya high
tension electricity kwamba inaweza
kusababisha ionization ya air
molecucules na kusababisha cheche
za moto hewani ikawa kama man-
made lightning jambo ambalo ni
dhahiri kabisa linaweza kujitokeza.
Fikiria spark plug ya gari ndogo, volts
950 zinatosha kutoa cheche za moto
umeme unapovuka kutoka point moja
kwenda nyingine. Kwa hiyo utafiti
huu ni abstract kwa umeme mkubwa
H.T. ambao unahitaji guidance ya
nyaya ili kuepuka air ionization and
hence sparking.
Hizo ndizo fikra za Mwafrika,kila kitu kwake anaona hakiwezekani kufanikiwa. Tuendelee tu kujikatia zetu tamaa maana tumeshakubali kuwa hatuwezi kila kitu.
 
Ni ngumu sana umeme kuwa wireless, Electric charge lazima zisafiri kwenye kitu ambacho kinapitisha hizo charge, Hewa hutumika kama kikinzani (resistance) tena ni resistance kubwa sana, unapokuwa na gap dogo tu la kama 0.1mm linatosha sana kukata umeme hasa huu umeme mdogo, kwa hiyo unapokuwa na gap la kama 5km kutoka kituo kimoja hadi kingine ukinzani wake ni balaa na kama kuna nguvu ya umeme itapenya hapo maana yake viumbe hai vilivyopo katikati ya hivyo vituo vitakufa vyote maana haviwezi kuhimili hiyo nguvu.

watabadilisha 50Hz kuwa high frequency then ikifika home inakuwa converted to low frequency , 50Hz...then unatumia...
 
hahahaha! daaah! nmecheka kweli, eti nae kilaza asiyejua hata maana ya fizikia anajitutumua anachangia hoja, huu c msala jamani, kuhs wireless electricity uwezekano wa uwepo wa umeme huo upo, kwa ku2mia detectors za charges(+-)kupitia kwny vacuum(empty space)
 
fanya tafiti kabla ya kusema TTCL bado i tegemeo kubwa la mawasiliano hapa nchini kama ulikuwa hujui. hao wooote wanaotoa huduma za mawasiliano wamepitia hapo TTCL hizo tv ,radio. nk TTCL ikizimika tu itakuwa kiza kitupu, kisha beba uzalendo, TTCL ni mali yetu watanzania .-
Kama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-baka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.

Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-bake yenyewe hadi kufa!
 
Wanasayansi fanyeni hima mtuokoe make kwa njia hii kutumia hata umeme ulaya.
 
Mkuu hata kwa sayansi ya darasa la saba tu unaweza kugundua kuwa haiwezekani umeme kuwa wireless.

Inawezekana mwanasayansi wa darasa la saba akashindwa kuwaza kuubadili umeme kuwa wireless sababu hajasoma chochote juu ya wireless ila sio kwa wasomi waliobobea miaka 40 darasani, hakuna kinachoshindikana Duniani ndugu, kama hapo africa kusini wamefanikiwa kufanya operation ya kuhamisha kichwa kutoka kiwiliwili hiki kwenda kile utaniambia nini hakiwezekani nikuelewe? na je ningezua hoja kabla ya jambo hilo kuwezekana wewe ungesema inawezekana kuhamisha kichwa cha mtu kukipeleka kule?
 
Back
Top Bottom