Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Let’s assume that is the case, uwezi kutegemea chanzo kimoja. Unatafuta vyanzo vingi ambavyo vipo dukani.

Going by your euphemism in educational/learning objectives unajuwaje unananua hizo ideas kutoka kwenye soko la monolopoly au oligopoly (ambayo sio perfect competition) na tofauti yake na perfect competition.

That’s just a bad analogue

Kwenye kujielimisha swala sio kutoa information kupata information from various sources, bali kupata information from credible sources.

Yes kuna variation of opinions in some disciplines kama social sciences, but rarely in core sciences.

Anyway let’s not make this a research methodology topic without a particular discipline of discussion; that is pointless because discipline reseesrch methodologies differ.

Nonetheless in any topic to argue you need to use accepted credible if you can justify it, you can’t just google.


View: https://m.youtube.com/watch?v=Gtp51eZkwoI&pp=ygUNc2hvY2sgYW5kIGF3ZQ%3D%3D

Chukulia mfano kama mimi kumzungumzia Tesla kuwa na hiyo idea ya wireless miaka mingi. Kuna documentary ambayo imetayarishwa na taasisi ambayo reputation yake ya accuracy ni muhimu kwenye kutoa elimu (BBC), presenter ni lecturer and reputable astrophysicist ndio anasimulia.

Thus I can confidently quote, lakini siwezi kwenda google na kuokota tu source ambayo credibility yake ni mashaka na kutumia kama sehemu ya hoja.

👋

Ninauhakika simu yako inakutahadharisha kuhusu vyanzo sahihi na vyanzo hatari, sikuhitaji kukutahadharisha hilo kwa sababu najua unafahamu kutambua vyanzo sahihi na visivyo sahihi.
 
Ninauhakika simu yako inakutahadharisha kuhusu vyanzo sahihi na vyanzo hatari, sikuhitaji kukutahadharisha hilo kwa sababu najua unafahamu kutambua vyanzo sahihi na visivyo sahihi.
Simu tena hilo onyo hata kwa wanaopewa sidhani kama wanaelewa mantiki ya tahadhari yenyewe.

Surely kwa mtu alielimika ahitaji onyo la simu kuelewa credible sources, kwa sababu utaandika essays, reports na dissertation na kabla ya kufanya hivyo utaambiwa mantiki ya kutumia credible sources na marks ngapi zinabeba.

Sasa huo uelewa autakiwi kuishia chuo tu, unatakiwa kuitumia hiyo nadharia kwenye maisha yako na kwenye kufikiria.

Moreover kama umeelewa vizuri taratibu za kufanya research dunia ya leo baada ya hapo unatakiwa kujua shortcut kwenye kufanya research.

A journal will have will references, kama umeisoma vizuri na kuelewa theories za darasani as a credible sources zinazokubalika point inayotoa kwenye journal ad a reference ukienda google unaipata.

Surely baada ya kumaliza chuo uhitaji simu ikwambie this is credible source.

If anything wewe ulie elimika kwa uelewa wa underpinning theoretical arguments na namna ya kupata source hata kama sio credible the point you want to add in an academic writing is easy. Ukienda google ni kutafuta journal using bullion search on the point mara paap academic sources unayoitaka hii hapa. .

Kutegemea warning ya simu kama hiyo sio credible source na kutii maana yake una uelewa mdogo wa theoretical understanding ya topic husika.

Na Uwezi kuwa na uelewa wa topic husika kama huna abc zake. Yaani simu ikuonye kitu ambacho unajua unatafuta na wewe kukubali maana yake huna unachokijua kuhusu hiyo topic husika.

Ukishaelewa theories za topic husika na kujua namna ya kupata jouranal itakayo cover hiyo topic; hakuna topic ambayo uwezi andika.

Ndio maana muhimu ni kuwa na foundation ya topic husika. Yaani google au simu ikuonye kuhusu sources. Sijui wengine sio mimi. Kwangu muhimu ni kujua credibility ya hizo hoja theoretically. Sasa kama ujafikia level hizo stick to credible source ulizofundishwa sikiliza simu imasemaje.

Sisi wengine tunasoma tushaacha kujiandikia mambo kutoka vichwani kama atuwezi defend kitu theoretically tunaacha.

Na hakuna shortcut ya uelewa zaidi ya kujifunza. Uki google ni kwa sababu unajua unataka recollection gani in the first place.

👋
 
Kwa binadam anayefikiri hakuna kitu ambacho hakiwezekani, wa tu bado wanabuni vitu vipya hadi tunavyoongea hivi. Na sio miaka mingi ijayo kufa itakuws ni option, kuna tekinolojia pia itafanya binadam asiugue kabisa, kuna tekinolojia inafanyiwa utafiti watu waliokufa kufufuliwa ila wametunzwa kwa utaratibu maalum. Tuombe uzima
 
Kama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-b*ka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.

Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-b*ke yenyewe hadi kufa!

================================
Update: 2021
Mambo yanazidi kuiva

Ebu amka usingizin,,,
 
Kama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-b*ka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.

Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-b*ke yenyewe hadi kufa!

================================
Update: 2021
Mambo yanazidi kuiva

bado sana mpaka tuutumie huo. hata ile wireless charging ya simu haiko efficient inapoteza kiasi kikubwa cha nishati.
 
Dahhhhh watafiti wapo kazini ,zsiwezi kubisha na siwezi kukubali,nasubir kutumia
 
Wapi?, mm kama Inginia nasema haiwezekani.
Solar power ni umeme wa wireless, japo hauusafiri kama umeme, hivyo hata umeme unaozalishwa unaaweza kubadilishwa in tje future, kisha ukifika ndio unaheuzwa kuwa umeme
 
Kama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-b*ka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.

Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-b*ke yenyewe hadi kufa!

================================
Update: 2021
Mambo yanazidi kuiva

Kama tunaweza ku-download torch kwenye simu,hili ni swala la kutaka tu,tekinolojia tayari ipo,TANESCO wake mkao wa kula.Tumewachoka,hivi ujue tumewachoka.Sasa ni wazi kwamba wanatumika ku-siphon resources za Watanzania.Haingii akilini kwamba wewe umejenga nyumba yako halafu out of nowhere mtu anaitoza kodi.Huku ni kuvuna usichopanda ambako ni sawasawa na wizi wa kimabavu wa mchana kweupe kabisa.

Anyway,nasikia IMF wapo TRA na mifumo yao katika harakati za kusaidia ukusanyaji wa mapato, ili waweze kuchukua chao,wakati tuliambiwa deni ni stahimilivu!Shame on them.
 
Back
Top Bottom