Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

inawezekana tens kwa asilimia kubwa kwani Leo hii kuna makampuni ya simu yanakuja teknolojia ya wireless charger
 
Mtuambie vifaa vya wireless na sio umeme hii maana yake nyumba itaunganishwa umeme kama kawa afu ndani ndo utaweza kuvitumia vifaa ambavyo havijawa connected na waya kwenda kwenye cables hii inawezekana but so umeme utoke mtera au kidatu ukufikie kwenu Bila waya hiii haiwezekani kuwa rahis
kwani video zinaingiaje kwenye simu unapodownlod?

kisichowezekana ni uhai wa mtu peke yake!
 
Haiwezekani.
Kisichowezekana na mwanadamu ni kuzuia kifo tu kaka hata mimi katika kuchemsha kaubongo kangu nimeona uwezekano huo japo kuulezea kama wanafizikia nashindwa ila kuna uwezekano wa kuwa na pocket moja au zaidi ambalo limekusanya massive energy ambalo ni kuharness tu na kuidhibiti ili ikawekwe kwenye nambanamba tambulishi fulani hivi ambazo wewe ukiziingiza kwenye kinģamuzi chako umeme umekufikia sijui wataleta lini ila watauleta tu hao watu wa fizikia
 
Kasomeni mtu mmoja anaitwas Tesla, Miaka ya 20 alitoa wazo la Global wireless electricity,akapeleka hilo wazo lake kwa mdhamini wake,Rockafella family,wakamuuliza where do we put meters,akawaambia there is no need of meters,it is wireless,wakamuondolea ufadhili na mradi ukafa maana hao kina Roka wao ni hela tu,jambo lolote linaloonekana kutowafaidisha hawalitaki.

Kwa hiyo usibishe jambo usilolijua,ni dalili za ujinga.
Sure i read about it
 
Under which theory? Hizo comb zenu za kiswahili zinawafanya muandike upupu ambao ni kinyume kabisa na laws of physics!!!
 
kwani video zinaingiaje kwenye simu unapodownlod?

kisichowezekana ni uhai wa mtu peke yake!
Nikushauri tu, hizo video haziwezi kuingia kwenye simu yako kama simu yako haina umeme!!!! Sina hakika kama unanielewa!!!
 
Haya mambo unayoyaona yamegunduliwa duniani ni pasenti 25 tu, bado mengi hayajagunduliwa hii kitu ni wakati tu haujafika.
 
Siwezi kukataa maana sikuwahi kufikiri kama Charger za Wireless zingekaa kugundulika na kutumika kote Ulimwenguni, Ulimwengu huu wa Leo ni EXTRA ORDINARY LEVEL yaan any thing can be possible (Excluding creation of Souls). Kila kukicha watu wanaumiza Vichwa, wewe ukiwaza Kutengeneza sabuni za Chooni wenzako wana fikiria wataunda lini Dunia waishi huko🙂D😀 swali ni je utauza kweli hiyo sabuni kwenye hiyo Dunia??)
 
Hii technology kwa sasa kureplace waya ni ndoto, na haitokuwepo hata miaka 10 ijayo mbele. Kwa sasa kuna wireless charging zinazotumika kwa vitu kama simu peke yake, na hii inabidi simu iwe karibu sana na charger yenyewe. Kuweza kusafirisha umeme mbali mfano chumba kimoja kwenda kingine kwa sasa hivi inawezekana ila itahitaji mashine kubwa mno kufanya hivyo, sasa tukiongelea swala la kusafirisha 100m unaongelea bonge moja la mashine ambalo ni probably mabilioni kutengeneza, hiyo ni 100m tu ambayo kwa waya ungetumia pesa ndogo mno, mtu mwenye akili hapa ashajiongeza which way to go.

Tatizo hasa ni physics! kwa mtu aliyesoma physics anajua jinsi hawa jamaa wanavyogenerate huu umeme, wanatumia concept ya magnetism tu, change in magnetic flux inaproduce umeme, hii njia ni very inefficient especially when the distance is longer. Kwa hiyo mleta mada inabidi upunguze expectations, miaka 100 ijayo labda, hatuwezi jua nini kitakuwepo then, ila a decade later, bado tutakua tunadeal na waya sana tu, we are far away from true wireless electricity transfer.
 
Kwa mie kama fundi wa umeme nasema INAWEZEKANA,kati ya vitu vingi vilivyobuniwa na mzungu kwasie ngozi nyeusi kwa vile tumekosa ubunifu ndo tutasema haiwezekani,Tanesco wajiandae na ushindani baada ya miaka kama kumi ijayo
 
Ni ngumu sana umeme kuwa wireless, Electric charge lazima zisafiri kwenye kitu ambacho kinapitisha hizo charge, Hewa hutumika kama kikinzani (resistance) tena ni resistance kubwa sana, unapokuwa na gap dogo tu la kama 0.1mm linatosha sana kukata umeme hasa huu umeme mdogo, kwa hiyo unapokuwa na gap la kama 5km kutoka kituo kimoja hadi kingine ukinzani wake ni balaa na kama kuna nguvu ya umeme itapenya hapo maana yake viumbe hai vilivyopo katikati ya hivyo vituo vitakufa vyote maana haviwezi kuhimili hiyo nguvu.
Du. Mbona nguvu ya umeme wa jua unasafiri km 93m kufika kwenye panel za solar panels na hakuna madhara? Hiyo ni altelnative energy. Itakuja kivingine
 
Hii technology kwa sasa kureplace waya ni ndoto, na haitokuwepo hata miaka 10 ijayo mbele. Kwa sasa kuna wireless charging zinazotumika kwa vitu kama simu peke yake, na hii inabidi simu iwe karibu sana na charger yenyewe. Kuweza kusafirisha umeme mbali mfano chumba kimoja kwenda kingine kwa sasa hivi inawezekana ila itahitaji mashine kubwa mno kufanya hivyo, sasa tukiongelea swala la kusafirisha 100m unaongelea bonge moja la mashine ambalo ni probably mabilioni kutengeneza, hiyo ni 100m tu ambayo kwa waya ungetumia pesa ndogo mno, mtu mwenye akili hapa ashajiongeza which way to go.

Tatizo hasa ni physics! kwa mtu aliyesoma physics anajua jinsi hawa jamaa wanavyogenerate huu umeme, wanatumia concept ya magnetism tu, change in magnetic flux inaproduce umeme, hii njia ni very inefficient especially when the distance is longer. Kwa hiyo mleta mada inabidi upunguze expectations, miaka 100 ijayo labda, hatuwezi jua nini kitakuwepo then, ila a decade later, bado tutakua tunadeal na waya sana tu, we are far away from true wireless electricity transfer.
Jifunze kupitia minara ya simu jinsi inavyofanya kazi,ndipo utakapoelewa yakuwa hata umeme uwa wireless unawezekana
 
Itakuwa ukipita kwenye network unakula shoti. Kweli serikali iongeze mkazo kwenye masomo ya sayansi tafiti tufanye wenyewe tupunguze kuongopeana.
 
Back
Top Bottom