Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,810
- 40,567
watanzania bwana..., msiwasemee wengine. eti kuwa haiwezekani. wapo magreat thinker wanaweza..tunashuhudia mapinduzi mangapi ya technologia ambayo yalionekana hayawezekeni yamewezekana.
Hata mimi ninakushangaa wewe pia.NANI amwahi kutumia wireless charging??zile electrons znasafiri vp???
Ebw eeh. Ukisema "uzalendo" bila kuendana na hali halisi twaweza sema kuwa unaongelea siasa na kutetea "mafisi".fanya tafiti kabla ya kusema TTCL bado i tegemeo kubwa la mawasiliano hapa nchini kama ulikuwa hujui. hao wooote wanaotoa huduma za mawasiliano wamepitia hapo TTCL hizo tv ,radio. nk TTCL ikizimika tu itakuwa kiza kitupu, kisha beba uzalendo, TTCL ni mali yetu watanzania .-
Lakini naona TTCL inajaribu kufufuka kwa 'Kizazi cha T'...Ebw eeh. Ukisema "uzalendo" bila kuendana na hali halisi twaweza sema kuwa unaongelea siasa na kutetea "mafisi".
Miaka nendarudi tulivyohenyeshwa na hili shirika unalolitetea Ttcl nadhani wewe ulikuwa haujazaliwa ama ulikuwa na umri wa kutambaa, ndiyo maana hauelewi unachokitetea.
Mawasiliano ya cm za Ttcl na kitu yao waliyokuwa wakiita Ems, kimetudhalilisha waTz kwa kipindi kirefu sana.
Kwa kuwa walikuwa wameshajisahau, wakaendeleza ukiritimba wao ndani ya ulimwengu wa ushindani, eti kuleta simu dizaini ya mtandao mmoja! Utumaji wa pesa kwa Ems, kuzipata mlengwa hadi staff waliojikopesha warejeshe!
Sisi wadau na wazalendo tulihoji sana kwamba, kwanini wameamua kufanya mambo ambayo hata mtu anayejifunza biashara za uwekezaji hawezi kufanya ujuha huo!
Jibu nililipata kwa njia ya kukanyagwa kidole cha mguuni kama ishara kuashiria nisiongee kwa kelele. Nikaambiwa "kaka mafisi na 10% yao wameliua shirika na vigogo wamo"!
Leo unakuja na blahblah za uzalendo usizozijua! Uzalendo kwa nani?
Wacha shurika life kabisa tena kifo cha laana. Kifo ambacho ikiwezekana hata kaburi lake lisipate kujulikana huyo mnysma Ttcl alizikwa wapi.
weweee!Mbona tayari kuna wireless charger
Hapa hatuongelei sollar.How comes..au kwa solar
wewe sasa una mawazo ya majiniWireless sex
Coming soon........
Wangezaliwa upya wakabadili na jina.Lakini naona TTCL inajaribu kufufuka kwa 'Kizazi cha T'...
Kama unaweza ku-download mwanga kwenye mobile yako ukatumia kama torch kutoka Google Play, no wonder unaweza pia ku-download umeme wa nyumbani kwako .TANESCO wajiandae for the worst mkuu,hiyo haina ubishi.Kama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-b*ka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.
Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-b*ke yenyewe hadi kufa!
hakuna kisicho wezekana chini ya jua ni suala la muda tuu"imposible"haiwezekani kwa umeme!
NinaaminiKama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-b*ka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.
Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-b*ke yenyewe hadi kufa!
JAXA Scientists Transmit Wireless Power Through 170 Feet Of Air: Next Up - Orbital Solar Farmshakuna kisicho wezekana chini ya jua ni suala la muda tuu
nnavo fahamu last year japan walkua wana fanya majaribio ya umeme huo wa wireless na kwa kiasi fulan walionesha maendeleo mazuri mkuu kwa hyo n suala la muda
Utakuwa umesoma HKLKama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-b*ka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.
Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-b*ke yenyewe hadi kufa!
Akili ya bangi aka hallucinating mind usihojiKuna nchi yeyote duniani umeshaanza kutumika??