Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

TEKNOLOJIA

Chaja za Wireless – Teknolojia nyuma yake! #Fahamu​

February 18, 2016
9129



Sambaza

Huwezi ukataja mageuzi kumi ya teknolojia mwaka huu bila ya kutaja Chaja za wireless, ukweli ni kwamba haya ndiyo mageuzi ya pekee ambayo yamegusa watengenezaji wengi tofauti tofauti wa vifaa pia teknolojia hii imegusa aina nyingi za vifaa kutoka saa janja simu janja hadi vifaa vya viwandani kama magari.​


Mafanikio ya teknolojia hii ya chaja za wireless inakuja kutokana na ukweli kwamba ni rahisi mno kuitumia, ni rahisi kuweka simu yako juu ya chaja na kuondoka bila ya kushughurika na waya wala kuchomeka lakini urahisi huu unawezesha teknolojia hii kuwa na matumizi makubwa zaidi mfano barabarani magari yanayotumia umeme yanaweza kuchajiwa katika mataa ama katika sehemu za maegesho.
INAYOHUSIANA Pengine iPhone Itaachana Na 'Touch ID' Na Kuja Na 3D Face Scanning!
chaja za wireless
Teknolojia hii kimsingi inachukua teknolojia inayotumiwa na transforma ambapo kwenye chaja yenyewe kuna kuwa na koili ambazo pindi zinapo pitishiwa umeme hutengeneza nguvu za usumaku ambazo hutumiwa na koili zilizo katika kifaa chako kutengeneza umeme tena ambao hutumika kuchaji betri ya simu ama gari ama kifaa chochote husika.

Pamoja na kuwa ni rahisi kutumia teknolojia hii ya kuchaji vifaa mbalimbali lakini pia teknolojia hii inatumika zaidi kuchaji vifaa vya baiolojia kama moyo wa bandia kwa kuvichaji kwake ni njia salama mfano haihusishi kuingiza waya ndani ya mwili, njia hii pia inasemwa kwamba ni njia ambayo inadumu muda murefu bila kuchakaa hii ni kwasababu hakuna kuchomeka chomoa kama njia nyingine (watumiaji wa chaja za simu za iPhone watakubaliana na mimi jinsi chaja zetu zinavyochakaa).
INAYOHUSIANA Mwizi wa Mtandaoni ahitaji Video Yake Ionekane mara 200,000 ili Aachiwe Huru
chaja za wireless Picha kwa hisani ya mtandao ikionesha jinsi teknolojia hii inavyofanya kazi
Chenye mazuri huwa hakikosi kasoro! Teknolojia hii pamoja na mazuri yake ukweli ni kwamba teknolojia hii inatumia muda mrefu zaidi kuchaji kulinganisha na njia ya kawaida, hii inasababisha watengenezaji wengi washauri kwamba watumiaji wa chaja hizi kuchaji kwa mara ya kwanza kwa njia ya kawaida. Pia teknolojia hii ya kuchaji kwa wireless inagharama kubwa kutengenezwa ukiringanisha na chaja za kawaida.
INAYOHUSIANA ProPilot Chair: Nissan Waja Na Kiti Janja Kinachojiendesha!
Kama ilivyo kwa kila teknolojia inakuwa na muungano wa wadau wa teknolojia husika ambao unatengeneza viwango ambavyo ndio huongoza utengenezaji wa vifaa vinavyotumiwa na teknolojia hiyo basi teknolojia hii ya chaja za wireless inatawaliwa na miungano miwili mmoja ni ule wa Wireless Power Consortium ambao unaungwa mkono na watengenezaji wa simu kama Nexus LG Microsoft na HTC na muungano mwingine ni ule wa Power Matters Alliance ambao wao wanaungwa mkono na kampuni la simu za mkononi ya AT&T ya nchini Marekani
Wireless charging ni uhuni tuu, hamna hata uwireless hapo
 
Labda huko mbele lakini sio karne hii ya kibepari.

Tesla alishakuwa na wazo hilo na experiments wazungu wakamwambia chizi utengeneze umeme wa bure na kuusambaza wireless. Mabepari wa nishati na miundombinu yakwamwambia tunafaidika vipi na hiyo technology kila mtu akijua wakaachana na ku-fund research yake.

Same technology ya engine ya gari ambayo inaweza tumia maji ipo muda mrefu, shida ikawa wauza mafuta awakutaka kupokea wala ku-promote huo upuuzi.

Kuna siasa huko kwenye sector ya nishati duniani balaa. Techonology yoyote tishio kwa zama hizi itapigwa vita balaa.
 
Kuna nchi yeyote duniani umeshaanza kutumika??
Tayari umeanza kwa kiwango kidogo, baadhi ya simu zinachaji kwa kutumia mfumo huo, pia baadhi ya vifaa vya ndani pia hufanyakazi kwa mfumo huo.
Majibu yote haya ungeyapata kwa kutumia simu yako yenye macho manne kupitia google, siku hizi kuulizana ni jambo la mwisho kabisa baada ya kushindwa kuupata mtandao.
 
Tayari umeanza kwa kiwango kidogo, baadhi ya simu zinachaji kwa kutumia mfumo huo, pia baadhi ya vifaa vya ndani pia hufanyakazi kwa mfumo huo.
Majibu yote haya ungeyapata kwa kutumia simu yako yenye macho manne kupitia google, siku hizi kuulizana ni jambo la mwisho kabisa baada ya kushindwa kuupata mtandao.
Dunia ya AI, Information Age na mass communication; binadamu unatakiwa ujiongeze.

Kama una abc ya topic ukienda ku-google kwenye dunia ya mass information unaweza pewa maelezo ambayo siyo kabisa kama huna fundamentals za topic husika.

Google ya leo unatakiwa kuwa uwe na uwezo wa ku-deduce unachosoma theoretically even at foundation level.

Uzuri wa age of information ni kuelewa umuhimu wa what constitute as credible source na kuna ample of information from those sources. Sasa kupata foundation education hata kutoka hizo credible ni lazima uwe tayari kujifunza hizo from foundation,

Dunia ya leo, ime fanya kupata elimu kuwa jambo jepesi, lakini jitihada za kujifunza zipo pale pale. Unaweza kwenda Google kama hujui credible sources au una abc za topic. Ukachukua info huko na kuishia kuwa na nadharia za ujinga mtupu kuhusu hiyo topic.

Hakuna shortcut kwenye uelewa wa mambo, ni lazima uwe tayari kujifunza. Hasa kupata foundation knowledge ya topic, how you want to build upwards it depends on your interest on the topic.

Hakuna namna rahisi ya kuelewa mambo zaidi ya kuwa tayari kujifunza; only that ukitaka kujifunza information zinapatikana kirahisi.
 
Dunia ya AI, Information Age na mass communication; binadamu unatakiwa ujiongeze.

Kama una abc ya topic ukienda ku-google kwenye dunia ya mass information unaweza pewa maelezo ambayo siyo kabisa kama huna fundamentals za topic husika.

Google ya leo unatakiwa kuwa uwe na uwezo wa ku-deduce unachosoma theoretically even at foundation level.

Uzuri wa age of information ni kuelewa umuhimu wa what constitute as credible source na kuna ample of information from those sources. Sasa kupata foundation education hata kutoka hizo credible ni lazima uwe tayari kujifunza hizo from foundation,

Dunia ya leo, ime fanya kupata elimu kuwa jambo jepesi, lakini jitihada za kujifunza zipo pale pale. Unaweza kwenda Google kama hujui credible sources au una abc za topic. Ukachukua info huko na kuishia kuwa na nadharia za ujinga mtupu kuhusu hiyo topic.

Hakuna shortcut kwenye uelewa wa mambo, ni lazima uwe tayari kujifunza. Hasa kupata foundation knowledge ya topic, how you want to build upwards it depends on your interest on the topic.

Hakuna namna rahisi ya kuelewa mambo zaidi ya kuwa tayari kujifunza; only that ukitaka kujifunza information zinapatikana kirahisi.
Jambo muhimu usitegemee chanzo kimoja, mimi hutafuta maelezo ya uwezekano kisha hutafuta kama kipo dukani.
 
Jambo muhimu usitegemee chanzo kimoja, mimi hutafuta maelezo ya uwezekano kisha hutafuta kama kipo dukani.
Let’s assume you are right that is the case, uwezi kutegemea chanzo kimoja. Unatafuta vyanzo vingi ambavyo vipo dukani.

Going by your euphemism in educational/learning objectives uwezi tegemea chanzo kimoja. Je unajuwaje unananua hizo ideas kutoka kwenye soko la monolopoly au oligopoly (ambayo sio perfect competition) na tofauti yake na perfect competition.

That is me saying your thinking is just a bad analogue

Kwenye kujielimisha swala sio kupata information from various sources (though the logic of that is to justify the argument). Moreover from doing that it means information gathered derives from credible sources usually technocrats overlap each other slightly because they have the same lines of theoretical thinking.

Yes kuna variation of opinions in some disciplines kama social sciences, but rarely in core sciences (though not always the case).

Anyway let’s not make this a research methodology topic without a particular discipline of discussion; that is pointless because discipline researches methodologies differ.

However in any topic to argue you need to use accepted credible sources and being able to extrapolate and justify your viewpoint, you can’t just google that. You google with intentions on understanding.


View: https://m.youtube.com/watch?v=Gtp51eZkwoI&pp=ygUNc2hvY2sgYW5kIGF3ZQ%3D%3D

Chukulia mfano kama mimi kumzungumzia Tesla kuwa na hiyo idea ya wireless miaka mingi. Kuna documentary ambayo imetayarishwa na taasisi ambayo reputation yake ya accuracy ni muhimu kwenye kutoa elimu (BBC), presenter ni university lecturer, reputable astrophysicist, regular guest on academic lectures world on similar topics na ndio anasimulia hiyo documentary kuhusu historia ya umeme.

Thus I can confidently quote him, lakini siwezi kwenda google na kuokota tu source ambayo credibility yake ni mashaka na kutumia kama sehemu ya hoja au uelewa wangu.

👋
 
Back
Top Bottom