Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

Mkuu hata kwa sayansi ya darasa la saba tu unaweza kugundua kuwa haiwezekani umeme kuwa wireless.
Usiseme haiwezekani.
Hata huko nyuma tungedhan haiwezekani sauti kusafiri bila waya.
Sema ushazoea na kuona kawaida, ila ukimleta mtu wa 18800 huko angesema haiwezekani.
 
Mkuu wireless ina make sense zaidi kwa very short distances na power iwe kidogo tuu....ila sidhani kama unaweza transport 400kV kutoka Mtwara mpaka Arusha utaunguza anga zima kwa ionization

Kwanza acha kusafirisha umeme kwa wireless,uhifadhi wa umeme mkubwa wenyewe hamna mtu ameweza mpaka leo...hakuna..yaani kwa lugha nyepesi Tanesco ikizalisha umeme unatakiwa uuzwe wooote siku hiyo hiyo,hakuna pa kuhifadhi umeme,wanazalisha kwa demand..hakuna pa kuuweka unaozidi
Kuna magar yanatumia umeme, yale hutumia wire kutembea?
Treni za umeme nazo vipi?
 
Labda kwa solar, huo upon hata leo. wanakufungia full package unayoweza, unalipa kwa mwezi hadi gharama zao ziishe, usipolipa inakata automatic kwa GPS
Infact solar power ni purely wireless, kutoka kwenye jua hadi nyumbani kwako ni bila wire kabisa!
 
Yeah! Upo sawa, nilishawa wahi kuiosoma hii kitu somewhere, kuna mwana sayansi mmoja anaitwa Tesla nadhani ndiyo aliyekuja na hii idea, huyu jamaa ni miongoni mwa wanasayansi ambao inasadikika wanamchango kubwa sana katika maendeleo ya sayansi ukiwaondoa Albert Einstein na sir Isaac Newton.
 
Kuna magar yanatumia umeme, yale hutumia wire kutembea?
Treni za umeme nazo vipi?
mbona kuna wireless charger jmn so huenda ndio inakuwa tutarajie makubwa zaid
Magari yanayotumia umeme yanatembea na umeme wake unaotunzwa kwenye batteries ndani ya gari.

Nani kuhusu Simu ni lazima U Establish contact baina ya simu na pad ya kuchajia, sio simu inakuwa hewani au mfukoni kwako.


Wireless transmission is almost impossible

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua vizuri sana minara ya simu inavyofanya kazi, nimesomea haya mambo na nayajua vizuri tu, nishatengeneza kifaa changu cha kutransfer data kutoka computer moja hadi nyingine kwa kutumia sauti, kifaa kingine kwa kutumia mwanga, usifananishe radio waves na electricity mtanzania, hivyo vitu ni tofauti kabisa.

Sijasema umeme wa wireless hauwezekani, nimeandika pale kuna charging solutions sasa hivi, ila hakuna anayeweza rusha umeme wa wireless mita 100 unless amespend billions kutengeneza mashine kubwa mno, kitu ambacho ni very inefficient and costful kulinganisha na waya, ndio maana nikasema kwa sasa wire ni irreplaceable. Apple tu kurusha umeme wa wireless mita 5 hadi leo wanafanya research, kampuni kubwa kama hiyo.
Unaonaje tukagundua namna ya kuubadilisha umeme unaozalishwa kwenye kituo cha kufua umeme na kuwa 'Intensive Laser light' ambayo tunairusha in a designated straight line ambayo hupokelewa kwenye minara na kuwa transmitted kwenye household ambapo unakuwa converted back into electricity, unaonaje hiyo?
 
Umeme ni nishati (energy). Kila teknolojia inavyozidi kukuwa ndiyo binaadam anavyozidi kuvumbua njia za kuipata nishati ya umeme, kuitunza kiurahisi na kiukaribu zaidi na kuitumia kwa uchache sana.

Kuna njia nyingi sana zipo kwenye tafiti mbali mbali zinazoboresha yote hayo.

Mfano taa ya watts100 miaka michache iliyopita haina mwanga kama taa ya watts 15 leo hii.

TANESCO ni jina tu siyo teknolojia.
 
Unaonaje tukagundua namna ya kuubadilisha umeme unaozalishwa kwenye kituo cha kufua umeme na kuwa 'Intensive Laser light' ambayo tunairusha in a designated straight line ambayo hupokelewa kwenye minara na kuwa transmitted kwenye household ambapo unakuwa converted back into electricity, unaonaje hiyo?

Sounds like a good idea ila practically haifanyi kazi, kuna njia nyingi za kutengeneza umeme, hiyo moja wapo ila kwa nini tunatumia njia flani zaidi kuliko nyingine ni kwa sababu ya efficiency na cost, kutengeneza laser itayatoweza kutransmit umeme wa kuweza kuwasha hata pasi ya umeme tu itahitaji billions, distance inavyozidi kuongezeka na efficiency inazidi kupungua maana nguvu inapotea on the way, nadhani unajua kua laser inapoteza intensity distance inavyozidi kuongezeka. Laser ya kurusha umeme wa kutosha hata 1km itakucost zaidi ya mara 1,000,000 ya ambavyo ungetumia tu cable, na maintanance yake ni ngumu. Sasa mtu mwenye akili timamu kwa nini afanye kitu kama hicho?
Labda kutakua na njia nyingine ambazo hatujagundua za kurusha umeme wirelessly distance kubwa ila hadi leo hii hiyo technology hatuna ambayo ni practical.
 
Sounds like a good idea ila practically haifanyi kazi, kuna njia nyingi za kutengeneza umeme, hiyo moja wapo ila kwa nini tunatumia njia flani zaidi kuliko nyingine ni kwa sababu ya efficiency na cost, kutengeneza laser itayatoweza kutransmit umeme wa kuweza kuwasha hata pasi ya umeme tu itahitaji billions, distance inavyozidi kuongezeka na efficiency inazidi kupungua maana nguvu inapotea on the way, nadhani unajua kua laser inapoteza intensity distance inavyozidi kuongezeka. Laser ya kurusha umeme wa kutosha hata 1km itakucost zaidi ya mara 1,000,000 ya ambavyo ungetumia tu cable, na maintanance yake ni ngumu. Sasa mtu mwenye akili timamu kwa nini afanye kitu kama hicho?
Labda kutakua na njia nyingine ambazo hatujagundua za kurusha umeme wirelessly distance kubwa ila hadi leo hii hiyo technology hatuna ambayo ni practical.
Haya, ngoja tusubiri kwenye 2050 hali itakuaje
 
TEKNOLOJIA

Chaja za Wireless – Teknolojia nyuma yake! #Fahamu​

February 18, 2016
9129



Sambaza

Huwezi ukataja mageuzi kumi ya teknolojia mwaka huu bila ya kutaja Chaja za wireless, ukweli ni kwamba haya ndiyo mageuzi ya pekee ambayo yamegusa watengenezaji wengi tofauti tofauti wa vifaa pia teknolojia hii imegusa aina nyingi za vifaa kutoka saa janja simu janja hadi vifaa vya viwandani kama magari.​


Mafanikio ya teknolojia hii ya chaja za wireless inakuja kutokana na ukweli kwamba ni rahisi mno kuitumia, ni rahisi kuweka simu yako juu ya chaja na kuondoka bila ya kushughurika na waya wala kuchomeka lakini urahisi huu unawezesha teknolojia hii kuwa na matumizi makubwa zaidi mfano barabarani magari yanayotumia umeme yanaweza kuchajiwa katika mataa ama katika sehemu za maegesho.
INAYOHUSIANA Pengine iPhone Itaachana Na 'Touch ID' Na Kuja Na 3D Face Scanning!
chaja za wireless
Teknolojia hii kimsingi inachukua teknolojia inayotumiwa na transforma ambapo kwenye chaja yenyewe kuna kuwa na koili ambazo pindi zinapo pitishiwa umeme hutengeneza nguvu za usumaku ambazo hutumiwa na koili zilizo katika kifaa chako kutengeneza umeme tena ambao hutumika kuchaji betri ya simu ama gari ama kifaa chochote husika.

Pamoja na kuwa ni rahisi kutumia teknolojia hii ya kuchaji vifaa mbalimbali lakini pia teknolojia hii inatumika zaidi kuchaji vifaa vya baiolojia kama moyo wa bandia kwa kuvichaji kwake ni njia salama mfano haihusishi kuingiza waya ndani ya mwili, njia hii pia inasemwa kwamba ni njia ambayo inadumu muda murefu bila kuchakaa hii ni kwasababu hakuna kuchomeka chomoa kama njia nyingine (watumiaji wa chaja za simu za iPhone watakubaliana na mimi jinsi chaja zetu zinavyochakaa).
INAYOHUSIANA Mwizi wa Mtandaoni ahitaji Video Yake Ionekane mara 200,000 ili Aachiwe Huru
chaja za wireless Picha kwa hisani ya mtandao ikionesha jinsi teknolojia hii inavyofanya kazi
Chenye mazuri huwa hakikosi kasoro! Teknolojia hii pamoja na mazuri yake ukweli ni kwamba teknolojia hii inatumia muda mrefu zaidi kuchaji kulinganisha na njia ya kawaida, hii inasababisha watengenezaji wengi washauri kwamba watumiaji wa chaja hizi kuchaji kwa mara ya kwanza kwa njia ya kawaida. Pia teknolojia hii ya kuchaji kwa wireless inagharama kubwa kutengenezwa ukiringanisha na chaja za kawaida.
INAYOHUSIANA ProPilot Chair: Nissan Waja Na Kiti Janja Kinachojiendesha!
Kama ilivyo kwa kila teknolojia inakuwa na muungano wa wadau wa teknolojia husika ambao unatengeneza viwango ambavyo ndio huongoza utengenezaji wa vifaa vinavyotumiwa na teknolojia hiyo basi teknolojia hii ya chaja za wireless inatawaliwa na miungano miwili mmoja ni ule wa Wireless Power Consortium ambao unaungwa mkono na watengenezaji wa simu kama Nexus LG Microsoft na HTC na muungano mwingine ni ule wa Power Matters Alliance ambao wao wanaungwa mkono na kampuni la simu za mkononi ya AT&T ya nchini Marekani
 
Kama mawasilano ya simu yangeendelea kutumia miwaya ya kwenye nguzo basi ni dhahiri kwamba TTCL ingeendelea kuwa-b*ka waTZ hadi leo hii, ila tu kilichowaokoa ni teknolojia ya wireless communication iliyoleta upinzani kwa kibudu TTCL.

Sasa basi, hivi karibuni wana-sayansi wanatarajia kuzindua umeme wa wireless ambapo huhuitaji wire kusafirisha umeme toka kituo cha kufua umeme hadi nyumbani kwako, kuanzishwa kwa hii kitu kutasababisha TANESCO iji-b*ke yenyewe hadi kufa!
🤣 🤣 🤣 🤣 daaaaaaa
 
Back
Top Bottom