Uchaguzi 2020 Umejifunza nini kwenye mkutano wa Membe na waandishi wa habari?

Kama umefuatilia mkutano wa Membe na waandishi wa habari leo utagundua kuwa mheshimiwa Membe hayuko tayari kumuunga mkono mheshimiwa Lissu kwenye kiti cha urais.

Ikumbukwe kwamba kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo mhe. Zitto Kabwe na mwenyekiti wake mhe. Maalim Seif S. Hamad wameshatangaza waziwazi kwamba wanamuunga mkono na watampigia kura mgombea wa CHADEMA mhe. Lissu kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na inavyoonekana mheshimwa Membe atakuwa keshafanya vikao na viongozi wake wakuu wa chama na kuwakatalia kwamba hatamuunga mkono mhe. Lissu

Ninachokiona ni kwamba mheshimiwa Membe ana uchu sana na madaraka au anataka kugawa kura za upinzani hata baada ya kukosa mvuto kwa wananchi lakini bado anang'ang'ania kwamba ataiangusha CCM katika uchaguzi huu kitu ambacho ni ndoto za mchana.

Sasa ni dhahiri kuwa ACT hawakupiga hesabu zao vizuri walipompokea mheshimiwa Membe, walidhani angekuwa Asset lakini sasa amekuwa Liability!
Mmeshaanza kulialia mwishowe mtasema mmeibiwa kura..St..u.p.id..nendeni zenu mtuache wananchi tumeshaamua Nini tutafanyaje Octoba 28
 
Huwez kupendwa na kila mtu ila T. Lissu ni mgombea bora zaidi kwa sasa.
Jomba ubora unaupima kwa kutumia Nini...usichanganye Mambo..sema mgombea wa upinzani Bora..fananisha hao huko usifananishe na viongozi mahili wenye Nia thabiti kabisa ya kulisukuma Taifa hili mbele kwa mbele
 
Tambua kuwa Lissu ni kibaraka wa wazungu na viongozi wengi wanalijua hilo, pengine utashangaa kwanini Zitto na Maalim Seif wanataka kumuunga mkono Lissu, wao pia ni vibaraka na hawana jipya. Kumuunga mkono Lissu ni sawa na kuisaliti nchi yako, nani anataka kuuza nchi yake kwa wazungu tuwe tunatumiwa kama Kongo (DRC)? Lissu ni shetani na anacheza na watanzania wasiojitambua akili.


Malaika ni hawa akina Magufuli aliyekupua mashamba ya watu kule Tanga ?? au Mwinyi aliyekupua mashamba ya watu Morogoro ekari 60 000 au yule Mkapa aliyekupua mashamba ya watu ekari 60 000 na kujiuzia mgodi. Au mwenzetu umerithishwa baadhi tu ya vijiekari vya Mkapa alivyoviacha ??
 
Mmeshaanza kulialia mwishowe mtasema mmeibiwa kura..St..u.p.id..nendeni zenu mtuache wananchi tumeshaamua Nini tutafanyaje Octoba 28
Hakika.
EkrjnouXIAIPLrD.jpg
 
Kama umefuatilia mkutano wa Membe na waandishi wa habari leo utagundua kuwa mheshimiwa Membe hayuko tayari kumuunga mkono mheshimiwa Lissu kwenye kiti cha urais.

Ikumbukwe kwamba kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo mhe. Zitto Kabwe na mwenyekiti wake mhe. Maalim Seif S. Hamad wameshatangaza waziwazi kwamba wanamuunga mkono na watampigia kura mgombea wa CHADEMA mhe. Lissu kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na inavyoonekana mheshimwa Membe atakuwa keshafanya vikao na viongozi wake wakuu wa chama na kuwakatalia kwamba hatamuunga mkono mhe. Lissu

Ninachokiona ni kwamba mheshimiwa Membe ana uchu sana na madaraka au anataka kugawa kura za upinzani hata baada ya kukosa mvuto kwa wananchi lakini bado anang'ang'ania kwamba ataiangusha CCM katika uchaguzi huu kitu ambacho ni ndoto za mchana.

Sasa ni dhahiri kuwa ACT hawakupiga hesabu zao vizuri walipompokea mheshimiwa Membe, walidhani angekuwa Asset lakini sasa amekuwa Liability!

Membe alikuwa chambo tu.... sasa chambo ikanasa kadagaa imebidi muweka chambo akarudishe kadagaa ziwani... chambo haina kazi tena. wamekuja kugundua kwamba chadema wako serious na wanachotaka, wamedhamiria kweli kweli.... sasa hiyoinawaumiza sana kichwa.
 
Huyu "Mackdeo Shilinde" Sijui ni mwandishi uchwala? Kommenti haina mshiko, unamlisha maneno Tundu Lisu, na kufikiri kuwa Tanzania wote wanafikiri hivyo. Sijui huo udini unaanza tu wakati Watu wadini wanapo support Chadema? Uvunaji wa amani?Polisi ndiyo wanataka kuvunja sheria, wanapiga mabomu mahali ambapo sipo. Tume imeonyesha kuwa uchaguzi huu inapenda CCM washinde wewe hujaona.

Ati Mabeberu? Lisu siyo mtu wa kwanza kuwatumikia mabeberu. CCM imewatumikia mabeberu miaka yote.
kaeleza kwa maono yake,lakini kwani mara nyingi wapinzani hawataki kupokea na habari negative
 
Kama umefuatilia mkutano wa Membe na waandishi wa habari leo utagundua kuwa mheshimiwa Membe hayuko tayari kumuunga mkono mheshimiwa Lissu kwenye kiti cha urais.

Ikumbukwe kwamba kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo mhe. Zitto Kabwe na mwenyekiti wake mhe. Maalim Seif S. Hamad wameshatangaza waziwazi kwamba wanamuunga mkono na watampigia kura mgombea wa CHADEMA mhe. Lissu kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na inavyoonekana mheshimwa Membe atakuwa keshafanya vikao na viongozi wake wakuu wa chama na kuwakatalia kwamba hatamuunga mkono mhe. Lissu

Ninachokiona ni kwamba mheshimiwa Membe ana uchu sana na madaraka au anataka kugawa kura za upinzani hata baada ya kukosa mvuto kwa wananchi lakini bado anang'ang'ania kwamba ataiangusha CCM katika uchaguzi huu kitu ambacho ni ndoto za mchana.

Sasa ni dhahiri kuwa ACT hawakupiga hesabu zao vizuri walipompokea mheshimiwa Membe, walidhani angekuwa Asset lakini sasa amekuwa Liability!
Nimemsikiliza mwanzo mwisho. Hoja anazozungumza mfano naki, uhuru; masuala makubwa anyozungumza mfano uhusiano wa kimataifa, uchumi, vyote hivi Lissu anavizungumza.
Kwa mwenye kupima vizuri anamuunga mkono Lissu indirectly japo ni mgombea.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kama umefuatilia mkutano wa Membe na waandishi wa habari leo utagundua kuwa mheshimiwa Membe hayuko tayari kumuunga mkono mheshimiwa Lissu kwenye kiti cha urais.

Ikumbukwe kwamba kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo mhe. Zitto Kabwe na mwenyekiti wake mhe. Maalim Seif S. Hamad wameshatangaza waziwazi kwamba wanamuunga mkono na watampigia kura mgombea wa CHADEMA mhe. Lissu kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na inavyoonekana mheshimwa Membe atakuwa keshafanya vikao na viongozi wake wakuu wa chama na kuwakatalia kwamba hatamuunga mkono mhe. Lissu

Ninachokiona ni kwamba mheshimiwa Membe ana uchu sana na madaraka au anataka kugawa kura za upinzani hata baada ya kukosa mvuto kwa wananchi lakini bado anang'ang'ania kwamba ataiangusha CCM katika uchaguzi huu kitu ambacho ni ndoto za mchana.

Sasa ni dhahiri kuwa ACT hawakupiga hesabu zao vizuri walipompokea mheshimiwa Membe, walidhani angekuwa Asset lakini sasa amekuwa Liability!
Hakuna cha kujifunza pale zote ni propaganda, tens za kawaida sana kwa wenye macho matatu. Sure halisi ya membe itajulikana wiki hii baada ya kuanza kampeni zake kwenye mkoa kumi.
 
No. Membe anasubiri muda muafaka anuunge mkono Lissu. Anaogopa akianza Sasa watamfungia. Ndiyo maana anakwambia goal dakika ya 89.

Kama umemsikiliza vizuri zaidi ya kutaja wabunge na madiwani wa ACT alikuwa anazungumza zaidi Wapinzani wakiunda serikali.... Naamini Siku 3 au 5 za mwisho ataweka wazi.
Ukiwa na akili utagundua. Membe amezungumza mengi sawa na Lissu. Kuna muda kasisitiza zaidi kusini kama sehemu atakayoshawishi. Na unaona pia Lissu haendi huko na Membe hagusi anakoenda sana Lissu. Kimantiki mkakati ni mmoja. Visiwani jukumu ni la Seif, kusini Salum Mwalimu na Membe; kanda nyingine Lissu, na kigoma na kiujumla Zito. Kwenye kata ni wabunge na madiwani wanahusika zaidi wakisaidiwa na wabunge hasa wale maarufu.
Juu wanaangalia zaifi msimamo wa Lissu ambae kwa kweli ujasiri wake umewapa nguvu sana. Kuna pia kupena nguvu hapa na pale. All in all kuna kazi inafanyika na imetisha wa upande ule.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Unahitaji akili kubwa sana kumwelewa Membe....kifupi wanacheza na akili za NEC na yeye atakuwa back bench kuhakikisha ushindi wa ACT Zbar na CDM Bara....then watampa bonge la cheo..
 
Hivi Membe huyuhuyu ambaye wenzie kule ccm waliomba msamaha ila yeye kakomaa hadi akatimuliwa kwenye chama ndio huyuhuyu et akubali tu kumuunga mkono Lissu kirahisi hivyo?

Huyu mtu kuutaka kwake urais ndio uliyofanya hadi kafukuzwa huko ccm halafu et sasa mtu uamini kabisa anaweza kukubali kumuachia Lissu?
 
Nimejifunza: kula mihogo ilitajwa na Dr. Slaa 2015 na kutangaza kujitoa UKAWA, na sasa 2020 B. Membe kazungumza kula mihogo
 
Kama umefuatilia mkutano wa Membe na waandishi wa habari leo utagundua kuwa mheshimiwa Membe hayuko tayari kumuunga mkono mheshimiwa Lissu kwenye kiti cha urais.

Ikumbukwe kwamba kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo mhe. Zitto Kabwe na mwenyekiti wake mhe. Maalim Seif S. Hamad wameshatangaza waziwazi kwamba wanamuunga mkono na watampigia kura mgombea wa CHADEMA mhe. Lissu kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na inavyoonekana mheshimwa Membe atakuwa keshafanya vikao na viongozi wake wakuu wa chama na kuwakatalia kwamba hatamuunga mkono mhe. Lissu

Ninachokiona ni kwamba mheshimiwa Membe ana uchu sana na madaraka au anataka kugawa kura za upinzani hata baada ya kukosa mvuto kwa wananchi lakini bado anang'ang'ania kwamba ataiangusha CCM katika uchaguzi huu kitu ambacho ni ndoto za mchana.

Sasa ni dhahiri kuwa ACT hawakupiga hesabu zao vizuri walipompokea mheshimiwa Membe, walidhani angekuwa Asset lakini sasa amekuwa Liability!
Membe anaijua hii nchi, hawezi kumuunga mkono kibaraka
 
Nimejifunza kuwa 2015 ugomvi wa Upinzani mihogo ilihusishwa na Dr Slaa na 2020 mihogo imehusishwa na Watanzania.

Kwa hiyo mihogo ni chakula Cha masikini kwa mujibu wa Dr Slaa na Kachero B. Membe
 
Back
Top Bottom