Uchaguzi 2020 Umejifunza nini kwenye mkutano wa Membe na waandishi wa habari?

Membe yupo sahihi. Amefikiria hatima ya wagombea ubunge na udiwani kupitia act wazalendo.

Ni ngumu kuamini kuwa Membe anaweza kuisaidia ACT kupata wabunge na udiwani. Hana mvuto wowote wa kisiasa. Ikumbukwe hata alipokuwa ccm alikuwa anashinda ubunge kwa mbeleko ya dola/ccm. Mimi naamini ni pandikizi la ccm, ambalo waliopiga mahesabu wakitegemea cdm wangeingia mkenge kama wa Lowassa.
 
Kama umefuatilia mkutano wa Membe na waandishi wa habari leo utagundua kuwa mheshimiwa Membe hayuko tayari kumuunga mkono mheshimiwa Lissu kwenye kiti cha urais.

Ikumbukwe kwamba kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo mhe. Zitto Kabwe na mwenyekiti wake mhe. Maalim Seif S. Hamad wameshatangaza waziwazi kwamba wanamuunga mkono na watampigia kura mgombea wa CHADEMA mhe. Lissu kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na inavyoonekana mheshimwa Membe atakuwa keshafanya vikao na viongozi wake wakuu wa chama na kuwakatalia kwamba hatamuunga mkono mhe. Lissu

Ninachokiona ni kwamba mheshimiwa Membe ana uchu sana na madaraka au anataka kugawa kura za upinzani hata baada ya kukosa mvuto kwa wananchi lakini bado anang'ang'ania kwamba ataiangusha CCM katika uchaguzi huu kitu ambacho ni ndoto za mchana.

Sasa ni dhahiri kuwa ACT hawakupiga hesabu zao vizuri walipompokea mheshimiwa Membe, walidhani angekuwa Asset lakini sasa amekuwa Liability!
Kabisa Yan membe ameonesha kuwa ni mroho wa urais

Na bado anaimani Anaweza kuwa rais sijui hiyo nguvu anapata wapi

Hajafanya kampen ajafanya anything then Leo anawaza kuwa rais
 
Ili vyama vya upinzani vichukue dola, lazima ccm ipasuke kwanza.CCM wapo imara, mara 100 zaidi ya 2015.Poleni chama cha Mbowe, kwa kujaribu kuleta mapindikizi yenu kwenye chama ambayo mengi yamekuwa rejected asubuhi na mapema. Mungu mbariki John Pombe Magufuli.
 
Mambo yatokanayo na Membe. Genge la maadui wa ndani ya nchi wamegundua silaha kuu ya Mh Rais JPM ni misimamo yake. Wamejipanga kuyumbisha misimamo yake kwa kufanya yafuatayo.

Kuhakikisha wanamtenga JPM na watu anao waamini kufanya nao kazi na wanao msaidia. Bashiru na Polepole ni walengwa katika chama.

Kwenye serikali Mawaziri Kama Kabudi, na wengine wanaonekana ndio wanamfanya Rais kuwa na misimamo hawako salama.

Bungeni Spika Ndugai naye ni muhanga.

CDF na IGP Sirro nao ni kama wanalengwa na propoganda hizo. Nia ni kutumia joto hili la uchaguzi genge hili linasogeze watu wao karibu na JPM. Watu wao wakisha sogea karibu na JPM watakuwa wanaleta ushauri wa kutetea maslahi ya genge.

Leo Membe kabadilika kutoka kupinga uwekezaji wa miundo msingi keenda kutishia kuwa Tanzania itakuwa kama Somalia. Failed state. Kawa afisa masoko wa mabank akitaka serikali ikope huko ili biashara ya riba ya banks iendelee.

Hatari ya ninacho kiona ni ikitokea Rais akarubunika kwa sababu ya joto la uchaguzi na akaegemea upande wa genge. Atawakatisha tamaa wale wote waliokuwa wako naye wakimsaidia tangu aingie madarakani. Hawa wanaojichomeka sasa kwa sababu ya joto la uchaguzi wakishafanikiwa wataanza kupenyeza agenda zao. Agenda zao hazitakuwa za faida kwa JPM zaidi ya kumuacha hapo katikati kama asiye na msimamo.
 
Kama umefuatilia mkutano wa Membe na waandishi wa habari leo utagundua kuwa mheshimiwa Membe hayuko tayari kumuunga mkono mheshimiwa Lissu kwenye kiti cha urais.

Ikumbukwe kwamba kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo mhe. Zitto Kabwe na mwenyekiti wake mhe. Maalim Seif S. Hamad wameshatangaza waziwazi kwamba wanamuunga mkono na watampigia kura mgombea wa CHADEMA mhe. Lissu kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na inavyoonekana mheshimwa Membe atakuwa keshafanya vikao na viongozi wake wakuu wa chama na kuwakatalia kwamba hatamuunga mkono mhe. Lissu

Ninachokiona ni kwamba mheshimiwa Membe ana uchu sana na madaraka au anataka kugawa kura za upinzani hata baada ya kukosa mvuto kwa wananchi lakini bado anang'ang'ania kwamba ataiangusha CCM katika uchaguzi huu kitu ambacho ni ndoto za mchana.

Sasa ni dhahiri kuwa ACT hawakupiga hesabu zao vizuri walipompokea mheshimiwa Membe, walidhani angekuwa Asset lakini sasa amekuwa Liability!
Nilivyomsoma membe kwa jicho la ujasusi ni kwamba ataenda kumuunga lissu kwenye kampeni akianza......Membe hawezi kugawa kura hata kidogo...Hawezi kugawa kura za lissu hata kidogo.....Membe atacheza ligi kama za kina Mama Anna Mgwira au Chief Lutayosa Yemba au Hashim Rungwe.
 
Kama umefuatilia mkutano wa Membe na waandishi wa habari leo utagundua kuwa mheshimiwa Membe hayuko tayari kumuunga mkono mheshimiwa Lissu kwenye kiti cha urais.

Ikumbukwe kwamba kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo mhe. Zitto Kabwe na mwenyekiti wake mhe. Maalim Seif S. Hamad wameshatangaza waziwazi kwamba wanamuunga mkono na watampigia kura mgombea wa CHADEMA mhe. Lissu kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na inavyoonekana mheshimwa Membe atakuwa keshafanya vikao na viongozi wake wakuu wa chama na kuwakatalia kwamba hatamuunga mkono mhe. Lissu

Ninachokiona ni kwamba mheshimiwa Membe ana uchu sana na madaraka au anataka kugawa kura za upinzani hata baada ya kukosa mvuto kwa wananchi lakini bado anang'ang'ania kwamba ataiangusha CCM katika uchaguzi huu kitu ambacho ni ndoto za mchana.

Sasa ni dhahiri kuwa ACT hawakupiga hesabu zao vizuri walipompokea mheshimiwa Membe, walidhani angekuwa Asset lakini sasa amekuwa Liability!
Membe apate kura za wapi??

Leo Seif kawaamuru wazanzibar kura za Urais wampe Lissu.

Kusin nako ni kwa Lissu tu ..hamna namna.


Jambo ambalo binafsi najiuliza..Kwann Leo Maalim Seif kapanda juu kwa Lissu..wakat huohuo Membe akaongea na wanahabari???



Nani alopigwa hapa???

1-TumeCCM wamepigwa ili waone kama ACT wangombea wao???


2-Membe kawapiga ACT???



YOTE kwa yote ,MIMI NA FAMILIA YANGU KURA YETU NI.KWA TUNDU ANTIPHAD LISSU MGWAI
 
No. Membe anasubiri muda muafaka anuunge mkono Lissu. Anaogopa akianza Sasa watamfungia. Ndiyo maana anakwambia goal dakika ya 89.

Kama umemsikiliza vizuri zaidi ya kutaja wabunge na madiwani wa ACT alikuwa anazungumza zaidi Wapinzani wakiunda serikali.... Naamini Siku 3 au 5 za mwisho ataweka wazi.
 
Nilijua tu...akili ndogo za Lumumba lazima zihangaike. Alalaye usimwamshe...nawatakia kila la heri.
 
Back
Top Bottom