Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,762
- 8,530
Mzee wa dakika ya semanini na tisa
... hilo pili ndio sahihi; yuko kwenye mission maalum! Baada ya uchaguzi atarudi zizini japo mkia ukiwa umekatika!
Hana madhara huyo,if anything atapunguza kura za MagufuliKama umefuatilia mkutano wa Membe na waandishi wa habari leo utagundua kuwa mheshimiwa Membe hayuko tayari kumuunga mkono mheshimiwa Lissu kwenye kiti cha urais.
Ikumbukwe kwamba kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo mhe. Zitto Kabwe na mwenyekiti wake mhe. Maalim Seif S. Hamad wameshatangaza waziwazi kwamba wanamuunga mkono na watampigia kura mgombea wa CHADEMA mhe. Lissu kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na inavyoonekana mheshimwa Membe atakuwa keshafanya vikao na viongozi wake wakuu wa chama na kuwakatalia kwamba hatamuunga mkono mhe. Lissu
Ninachokiona ni kwamba mheshimiwa Membe ana uchu sana na madaraka au anataka kugawa kura za upinzani hata baada ya kukosa mvuto kwa wananchi lakini bado anang'ang'ania kwamba ataiangusha CCM katika uchaguzi huu kitu ambacho ni ndoto za mchana.
Sasa ni dhahiri kuwa ACT hawakupiga hesabu zao vizuri walipompokea mheshimiwa Membe, walidhani angekuwa Asset lakini sasa amekuwa Liability!
Tambua kuwa Lissu ni kibaraka wa wazungu na viongozi wengi wanalijua hilo, pengine utashangaa kwanini Zitto na Maalim Seif wanataka kumuunga mkono Lissu, wao pia ni vibaraka na hawana jipya. Kumuunga mkono Lissu ni sawa na kuisaliti nchi yako, nani anataka kuuza nchi yake kwa wazungu tuwe tunatumiwa kama Kongo (DRC)? Lissu ni shetani na anacheza na watanzania wasiojitambua akili.Kama umefuatilia mkutano wa Membe na waandishi wa habari leo utagundua kuwa mheshimiwa Membe hayuko tayari kumuunga mkono mheshimiwa Lissu kwenye kiti cha urais.
Ikumbukwe kwamba kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo mhe. Zitto Kabwe na mwenyekiti wake mhe. Maalim Seif S. Hamad wameshatangaza waziwazi kwamba wanamuunga mkono na watampigia kura mgombea wa CHADEMA mhe. Lissu kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na inavyoonekana mheshimwa Membe atakuwa keshafanya vikao na viongozi wake wakuu wa chama na kuwakatalia kwamba hatamuunga mkono mhe. Lissu
Ninachokiona ni kwamba mheshimiwa Membe ana uchu sana na madaraka au anataka kugawa kura za upinzani hata baada ya kukosa mvuto kwa wananchi lakini bado anang'ang'ania kwamba ataiangusha CCM katika uchaguzi huu kitu ambacho ni ndoto za mchana.
Sasa ni dhahiri kuwa ACT hawakupiga hesabu zao vizuri walipompokea mheshimiwa Membe, walidhani angekuwa Asset lakini sasa amekuwa Liability!
Hizi propaganda zingine bhana kwa hio unafurahia kuona watu wakiuawa watu wakibambikwa kesi na ajira zikiwa adimu unafurahi sanaTambua kuwa Lissu ni kibaraka wa wazungu na viongozi wengi wanalijua hilo, pengine utashangaa kwanini Zitto na Maalim Seif wanataka kumuunga mkono Lissu, wao pia ni vibaraka na hawana jipya. Kumuunga mkono Lissu ni sawa na kuisaliti nchi yako, nani anataka kuuza nchi yake kwa wazungu tuwe tunatumiwa kama Kongo (DRC)? Lissu ni shetani na anacheza na watanzania wasiojitambua akili.
Kwa akili yako unafikiri Lissu atakusaidia nini, yule si mwanasiasa na wala hana akili ya kuongoza nchi.Hizi propaganda zingine bhana kwa hio unafurahia kuona watu wakiuawa watu wakibambikwa kesi na ajira zikiwa adimu unafurahi sana
Vipi kwa makato yabodi kwa wanufaika vipi kuhusu pensheni na vipi fao la kujitoa haya yote huoni??
Uhuru wa vyombo vya habari n.k
Yote hayo huoni?
Hiyo dakika ya 89 atafunga hilo goli kwa wachezaji gani alionao? hayo mazoezi ya hiyo mechi aliyafanyia wapi? au atamnunua refa?
Kama umefuatilia mkutano wa Membe na waandishi wa habari leo utagundua kuwa mheshimiwa Membe hayuko tayari kumuunga mkono mheshimiwa Lissu kwenye kiti cha urais.
Ikumbukwe kwamba kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo mhe. Zitto Kabwe na mwenyekiti wake mhe. Maalim Seif S. Hamad wameshatangaza waziwazi kwamba wanamuunga mkono na watampigia kura mgombea wa CHADEMA mhe. Lissu kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na inavyoonekana mheshimwa Membe atakuwa keshafanya vikao na viongozi wake wakuu wa chama na kuwakatalia kwamba hatamuunga mkono mhe. Lissu
Ninachokiona ni kwamba mheshimiwa Membe ana uchu sana na madaraka au anataka kugawa kura za upinzani hata baada ya kukosa mvuto kwa wananchi lakini bado anang'ang'ania kwamba ataiangusha CCM katika uchaguzi huu kitu ambacho ni ndoto za mchana.
Sasa ni dhahiri kuwa ACT hawakupiga hesabu zao vizuri walipompokea mheshimiwa Membe, walidhani angekuwa Asset lakini sasa amekuwa Liability!
Tambua kuwa Lissu ni kibaraka wa wazungu na viongozi wengi wanalijua hilo, pengine utashangaa kwanini Zitto na Maalim Seif wanataka kumuunga mkono Lissu, wao pia ni vibaraka na hawana jipya. Kumuunga mkono Lissu ni sawa na kuisaliti nchi yako, nani anataka kuuza nchi yake kwa wazungu tuwe tunatumiwa kama Kongo (DRC)? Lissu ni shetani na anacheza na watanzania wasiojitambua akili.
Ushaambiwa ni kachero mbobevu, hivyo ushindi wake ni wa kikachero zaidi.Hiyo dakika ya 89 atafunga hilo goli kwa wachezaji gani alionao? hayo mazoezi ya hiyo mechi aliyafanyia wapi? au atamnunua refa?
Mzee wa dakika ya semanini na tisa
Membe ni Pandikizi letu kama alivyokuwa Lowassa. Itawachukuwa muda kuuona ukweli.
Nilivyomwelewa mimi, hasa alipoanza kwa kusema, ili chama dola kishindwe lazima kuwepo mpasuko ndani ya chama chenyewe, mpasuko utakaogawa kura za Chama dola. Sasa kwa akili za watu wanaofikiri sana, utaweza kuona, hakuna popote aliposema "Watanzania nipeni kura zote za ndiyo". Hapa maana yake ni kwamba, anaacha kura za Wapinzani (kura za Lissu) zibakie vile vile "Y" lakini kule CCM, wale wa kundi lake (ambao walikuwa ni kura za CCM) wampigie yeye hivyo kuifanya CDM kumshinda CCM.Kama umefuatilia mkutano wa Membe na waandishi wa habari leo utagundua kuwa mheshimiwa Membe hayuko tayari kumuunga mkono mheshimiwa Lissu kwenye kiti cha urais.
Ikumbukwe kwamba kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo mhe. Zitto Kabwe na mwenyekiti wake mhe. Maalim Seif S. Hamad wameshatangaza waziwazi kwamba wanamuunga mkono na watampigia kura mgombea wa CHADEMA mhe. Lissu kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na inavyoonekana mheshimwa Membe atakuwa keshafanya vikao na viongozi wake wakuu wa chama na kuwakatalia kwamba hatamuunga mkono mhe. Lissu
Ninachokiona ni kwamba mheshimiwa Membe ana uchu sana na madaraka au anataka kugawa kura za upinzani hata baada ya kukosa mvuto kwa wananchi lakini bado anang'ang'ania kwamba ataiangusha CCM katika uchaguzi huu kitu ambacho ni ndoto za mchana.
Sasa ni dhahiri kuwa ACT hawakupiga hesabu zao vizuri walipompokea mheshimiwa Membe, walidhani angekuwa Asset lakini sasa amekuwa Liability!