Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Ili kukidhi viwango vya FIFA inabidi uwe na seat kuanzia 40,000.
Tanzania kwa sasa hatuna uwanja wa kuhost ufunguzi wa finally za kombe la Dunia. Walau mkapa unaweza host robo fainali.
Kwanini Serikali isiongeze just. 10K walau kuwa na uwanja wa viqango vya FIFA?
Maoni yangu bado wanaweza fanya adjustment, Wachina ni wazuri sana kwenye hili, na pesa Samia anazo za kutosha.
Naona wametoa picha ni nzuri lakini ukubwa wa uwanja utavutia matukio mengi ya kimichezo kufanyika Tanzania.
Tanzania kwa sasa hatuna uwanja wa kuhost ufunguzi wa finally za kombe la Dunia. Walau mkapa unaweza host robo fainali.
Kwanini Serikali isiongeze just. 10K walau kuwa na uwanja wa viqango vya FIFA?
Maoni yangu bado wanaweza fanya adjustment, Wachina ni wazuri sana kwenye hili, na pesa Samia anazo za kutosha.
Naona wametoa picha ni nzuri lakini ukubwa wa uwanja utavutia matukio mengi ya kimichezo kufanyika Tanzania.