umbea...............

Yaani nilikua najitahidi kupitia huu uzi kimya kimya lakini uzalendo umenishinda kutokana na hizi post mbili hapa chini looooh...........


Ngumu kumeza aiseee......


sijui hii ni sheria no ngapi, kwani naskia wanachama wengi wanaofanya kazi hutumia lunch time kwenda kumaliza kila kitu, na ifikapo saa 12 jioni wapo majumbani mwao.

Hahaaaaa huu ni ukweli MTUPUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU na hii ina apply kote kote.....lol
Tena kama ni mume anakupitia kwa ofisi anakukuta umejaa tele unamsubiri akupitie mrejee wote home,asalale walaiiii raha kwelkwel....na wakati huo unakua mwepesiiiiiiiiii kama karatasi. Safi sana kina mama/dada nawapongeza:A S 41::A S 41::A S 41::clap2::clap2::clap2:kazi na dawa:violin: kudadadeki!
 
Yummy! Hali yako mamsap? Huu hali gani?
 
Last edited by a moderator:
Utawajua kwa maneno na vitendo vyao.

Infidelity is Inevitable
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa............unawezaje kuwa na hasira mie nikiwepo honey hebu sogea karibu yangu usuuzike.


Kweli aise hebu sogea pande hizi nipate raha bana na mood yangu irudi maana nilikuwa najishangaa sijui nimekosa nini
Kumbe ni wewe my wife wangu Yummy nimekumiso
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…