Marumeso
JF-Expert Member
- Oct 3, 2009
- 1,408
- 1,332
shilingi 419,864 (1154/6*2183) kwa ajili ya mafuta pekee ya kutosha huo umbali.
hahaha wanoko wa ofisini utawajua tu[/QUOTE]
Matumizi kwa thamani halisi ya pesa, na tena uje na risiti!
Hamna jomba nimejaribu kumpa comfort mdau ya kuwa na mchanganuo unaoonyesha gharama halisi badala ya kufanya guess work.
Ndo faida ndogondogo za kuwa JF