ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 4,138
- 2,827
Hiyo ni bongo nzima
we ulidhani speedmeter kuwa na speed hadi 240 km/hr ni urembo au?...
Km ni gari yenye matumizi ya kawaida, kwa maana ya 1800 - 2000CC tenga laki 6 ya mafuta na laki 2 ya emergence km traffic law violation, breakdown, puncture, na vingine visivyotarajiwa. Mi nimekwenda muda c mrefu na gari ya 2000CC nimetumia mafuta ya laki 6, na nikarejea nyumbani kwangu Dar nikiwa na half tank! Safari njema, kuwa makini na tochi za barabarani, zingatia vibao vya alama, ukijihisi kuchoka au usingizi pumzika, hy ni safari ndefu c vita!
Ndugu wanajamvi,
Kwa yeyote mwenye kufahamu umbali wa kutoka Dar kwenda Mwanza kwa njia ya barabara anifahamishe, maana nataka nifahamu ili niweze kutenga bajeti nzuri ya mafuta kwani sijawahi kwenda Mwanza.
Asanteni
Nipe lift Mkuu nami nasafari wiki ijayo.namba0658129011
Duh hatari Sana KyomaMkuu hata mimi ni shuhuda. Nimeendesha peke yangu bila kupumzika kutoka Dar(Segerea) hadi Bukoba(Kanyigo) Km 1542 bila kupumzika na nilitumia masaa 18.
lakini maswali kama hayo huwa yanajibiwa pia na google map.Mkuu naona wadau hapo juu wamejaribu tu kuguess, ukweli ni 1154 km...hii ni kwa mujibu wa jedwali la umbali toka Dar kwenda mikoani ambalo hutolewa na SUMATRA
Lita ngapi za mafuta kwa gari yenye cc 1800 na gharama ya mafuta1200km
Inategemea na spid zako ukienda zaid ya 140km kwa saa ni lita 112Lita ngapi za mafuta kwa gari yenye cc 1800 na gharama ya mafuta
ThanksInategemea na spid zako ukienda zaid ya 140km kwa saa ni lita 112
Km 2 ukipitia Kolomije.Je inawezekana kwa dreva mmoja kwa gari ya private kutoka mwanza akafika siku hiyohiyo Dar?