Umbali kutoka Dar kwenda Mwanza {km}

Umbali kutoka Dar kwenda Mwanza {km}

Mkuu unataka kusema Km zote hizo hukusimama kwa ajili ya kula , kuchimba dawa? Kuongeza wese!

Kweli wewe si binadamu wa kawaida

Na nitakuwa wa mwisho kuamini maelezo yako

Na mi ntakuwa wa 2 kutoka mwisho kuamini maelezo ya huyo jamaa,,hahah
 
Jamani sio lazima kila kitu uulize hapa JF. You can just google and get the distance from Mwanza to Dar Es Salaam.

Tiba

na kama je hana source ya kugoogle atafanyaje au hata hiyo google map hajui jins ya kuitumia?
 
Sexologist umesomeka vzr sana na kwa mtizamo wangu pia inategemea sana na aina ya gari pia na namna ya uendeshaji wako. Ila kwa mtu mgen wa brbr simshaur kwenda zaid ya 100km/h maana hajui brbr vzr na kny matuta inaweza mtupa(kuna tuta shetan Chakwale unavoelekea Gairo). Pia ni muhimu sana kuanza safari mapema na km ulipata dharura basi usisafir zaid ya saa tatu,lala mji wa nyuma km unaofuata upo zaid ya km 30 na vivyo hivyo kumbuka kukagua mipira ya gar yako kila baada ya angalau km 100 had 150 otherwise sala muhimu sana kabla ya safar na uwapo safarin

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Mkuu naona wadau hapo juu wamejaribu tu kuguess, ukweli ni 1154 km...hii ni kwa mujibu wa jedwali la umbali toka Dar kwenda mikoani ambalo hutolewa na SUMATRA

Wewe ndo uko sahihi mkuu,pia mi niliwahi kutoka Dar nikahrsabu mpaka kufika nilipata jibu kama lako,big up.
 
Back
Top Bottom