The FaMa
Senior Member
- Oct 6, 2011
- 125
- 27
Mkuu naona wadau hapo juu wamejaribu tu kuguess, ukweli ni 1154 km...hii ni kwa mujibu wa jedwali la umbali toka Dar kwenda mikoani ambalo hutolewa na SUMATRA
Mkuu, na kwa mujibu wa Jedwali la TANROADS la March, 2009, umbali wa Dar to Mwanza ni 1152 km kwa route/njia ya Dodoma -Singida.