We unaleta fani yako ya umbumbumbu kwenye barabara. Mimi sioni alichokosea hapo. Hivi kama yeye ni dereva wa masafa ana haja ya kutaja source?
Wewe unapenda source au uhalisia kutoka kwa wanaoitumia barabara?
Mtu anaposema umbali ni km kadhaa na wote tupo hapa Tanzania, ukiwa na akili kidogo utajua tunazungumzia allowed maximum speed ambayo ni 80km/h +/- 10 na huo ni wastani kwani kuna milima na dharura za hapa na pale.
Wewe ulitaka tu kuleta ujuzi na kujifanya wewe ndio unajua saana. Pasiansi, Igoma na Isamilo hiyo yote ni Mwanza na sidhani mtu akishafika Nyegezi au Nyakato bado atauliza namna ya kufika Mwanza na ungekuwa na akili kidogo ungejua muanzisha mada anataka msaada wa kufika Mwanza na sio Pasiansi. Na ndio maana yeye aliuliza Mwanza na hakutuuliza kijijini kwake anakokwenda
Kama bado unabisha, karibu ila ujiandae. Mimi ni mjuaji kuliko wewe na muda ninao