The Family Wallet
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 5,390
- 8,675
Umasikini ni laana
Sawa mkuu , endelea kuniona motivation speakernimekusoma motivational speaker,
nitaufanyia kazi ushauri wako
Hunielewa sijasema hivo.Utajiri unapimwa kwa gari? Mmh
Ok basi ukinielewesha itakua vizuri, ebu rudia kusoma hiyo comment yako mkuuHunielewa sijasema hivo.
Kwa upande wangu naona jamaa yuko sahihi, watu hutofautiana sawa ila kuna situation unaweza kutana na mtu somewhere anahitaji msaada wako tu atoboe. Hapo inabidi umsadie maana wema siku zote ni akiba huwezi jua utajilipa lini na vipKuna watu wako okay na hiyo hali,hata upambane vipi kuwasaidia ni kazi bure. Nilichojifunza kila mtu atajikwamua mwenyewe kadri atakavyoona inafaa.
Utajiri unapendeza sana ukimiliki pia gari, matajiri wapo wengi wasio kua na magari ila wanateseka kama masikini japo sio masikini.Ok basi ukinielewesha itakua vizuri, ebu rudia kusoma hiyo comment yako mkuu
Mtu kukabidhi maisha yake kwa anayemuamini kwamba ndo muumba wake ni laana?! 😳😳😳Kuna mstaafu kasomesha wanae kwa uchungu sanaa wote wanne wa lipata degree tofauti tofauti vyuo vikuu. Ila chakushangaza wote wameokoka wanashuda kanisani kunene neno la mungu mchana na usiku hawataki kutafuta ajira, tena sio kwamba ni viongozi wa kanisa ni wa fuasi wa kawaida wanao toa Sadaqa.....hiyo ni laana.
Kwani kufanya ibaada ni lazima ushide kanisani. Kuna haja yakupata maisha ajira ni muhimu yesu hatowi pesa taslimu lazima uende ukaitafuteMtu kukabidhi maisha yake kwa anayemuamini kwamba ndo muumba wake ni laana?! [emoji15][emoji15][emoji15]
Mtu kusimamisha ibada ni laana?!
Mtu kuiweka kando dunia ingawa ana elimu na akaamua kuwa servant wa muumba wake na kuisimamisha imani yake ni laana?! [emoji15][emoji15][emoji15]
Kiongozi hebu jitathmini.. huenda wewe ndo mwenye laana [emoji28][emoji1474]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mstaafu kasomesha wanae kwa uchungu sanaa wote wanne wa lipata degree tofauti tofauti vyuo vikuu. Ila chakushangaza wote wameokoka wanashuda kanisani kunene neno la mungu mchana na usiku hawataki kutafuta ajira, tena sio kwamba ni viongozi wa kanisa ni wa fuasi wa kawaida wanao toa Sadaqa.....hiyo ni laana.
Huyo alikuwa haamini kama kweli kuna mtu atampa laki tatu na nusu.Kuna jama alitafuta kazi kwa siku nyingi ni kamfanyia mpango akapata kibarua cha ulinzi shule ya wasichana mshahara wake ukawa 350k kwa mwezi, akapiga kazi kwa wiki tatu, wiki ya nne mkurugezi akamuagiza aende akanunue kopo la ragi moja kupaka getini akampa 28,000. Jama akakimbia mazima na pesa sh 28000, wakati mshahara wake ulikua umebakiza siku saba tu alipwe, kama sio laana ni nini hiyo?
Ndo laana hizo nazo sema. Kwanini usiamini kama akili ziko sawa.Huyo alikuwa haamini kama kweli kuna mtu atampa laki tatu na nusu.
kuna maskin wa kifikra huyu ni ngumu sana kumnyanyua maana anaamini umaskin ndo haki yake ( by nature ) ukimpa mtaj atakula akiamin ela unazo utampa tenaKama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini, pease do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako.
Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.
Njia nzuri zaidi ya kukuhakikishia mafanikio, ni kwa kufanya kwa kadri ya uwezo wako kuwanyanyua wanaokuzunguka!
kuna umaskin wa mali na fikra , huyu wa fikra ndo ngumu kumnyanyua maana hata akili yake inakuwa ishaathirika na umaskin ( kakata tamaa kabisa ) , nmewai kutana na mtu wa hv nlijitahidi sana ila nkaja gundua akili yake ishaaoza kwa umaskini aliopitiaNiko tofauti na mawazo yako hakuna mtu kazaliwa kuja kuwa masikini hapa duniani
umaskin wa fikraStory yako inatufundisha nini???
Think BigStory yako inatufundisha nini???
Umasikini kwakweli 🥺🥺🥺
Tupambane tufike juu.
Let's meet on TOP.
#YNWA