Amen.Umenikumbusha title ya kitabu nnachokipenda sana Cha Zig Ziglar ( See you at the top)
Biashara zimeanza kukaa sawa mkuu? Naamini nikipindi Cha mpindo na ni darasa unapitia lakini mambo yataimarika tena
Inabidi utengenezewe sanamu lako pale mwengeKama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini, pease do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako.
Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.
Njia nzuri zaidi ya kukuhakikishia mafanikio, ni kwa kufanya kwa kadri ya uwezo wako kuwanyanyua wanaokuzunguka!
Duniani tunapita wao wamewekeza kwenye maisha yajayo.Kuna mstaafu kasomesha wanae kwa uchungu sanaa wote wanne wa lipata degree tofauti tofauti vyuo vikuu. Ila chakushangaza wote wameokoka wanashuda kanisani kunene neno la mungu mchana na usiku hawataki kutafuta ajira, tena sio kwamba ni viongozi wa kanisa ni wa fuasi wa kawaida wanao toa Sadaqa.....hiyo ni laana.
Tutasingizia mifumo ila hapana mfanoUmasikini ni Mkubwa KWA sababu mifumo yetu haisapoti watu kujikwamua tofauti na mifumo ya ulaya kule umasikini unataka mwenyewe.
Unafanywa muwe wengi masikini Ili iwe rahisi kuwatawala
Nani kakwambia kufanikiwa kimaisha kunategemea mfumo wa elimu.Tutasingizia mifumo ila hapana mfano
Elimu kwa sasa ni bure ila mzazi hajishughulishi kabisa kufuatilia maendeleo ya mtoto, hanunui vitabu wala madaftari.
Mtoto anafika la 7 hajui kusoma wala kuandika, hapo ulitaka mfumo gani?
Mzazi anaamua kuzaa zaa hovyo bila mpangilio hapo wategemea nini kama sio kuendeleza umasikini?
Ukweli upo wa hiyo storyKuna jama alitafuta kazi kwa siku nyingi ni kamfanyia mpango akapata kibarua cha ulinzi shule ya wasichana mshahara wake ukawa 350k kwa mwezi, akapiga kazi kwa wiki tatu, wiki ya nne mkurugezi akamuagiza aende akanunue kopo la ragi moja kupaka getini akampa 28,000. Jama akakimbia mazima na pesa sh 28000, wakati mshahara wake ulikua umebakiza siku saba tu alipwe, kama sio laana ni nini hiyo?
Hakuna mambo ya kurithishana au kubeba vitu vinavyoitwa laana sijui za mababu ukoo nk.Mtu hupata laana baada ya kuzaliwa wengine wamebeba laana za ukoo wao, kwahiyo uwe mwangalifu na watu huwezi kupambana na mtu mwenye laana.
Hiyo sio laana ni UJINGA na TAMAA za huyo muhusikaKuna jama alitafuta kazi kwa siku nyingi ni kamfanyia mpango akapata kibarua cha ulinzi shule ya wasichana mshahara wake ukawa 350k kwa mwezi, akapiga kazi kwa wiki tatu, wiki ya nne mkurugezi akamuagiza aende akanunue kopo la ragi moja kupaka getini akampa 28,000. Jama akakimbia mazima na pesa sh 28000, wakati mshahara wake ulikua umebakiza siku saba tu alipwe, kama sio laana ni nini hiyo?
Mtaje tu unamwogopa??😁😁umeongea jamaa la maana sana ndg yangu.
nakumbuka siku za nyuma kuna mtawala mmoja aliwahi kuwaaminisha baadhi ya watz kwamba maisha ya umaskini ni utakatifu na maisha yenye nafuu nje umaskini ni laana.
kwa bahati mbaya alipata wafuasi wengi walioamini hiyo nadharia yake. ilikuwa ni sumu ya hatari, ilifika wakati baadhi ya "maskini wenzangu" walianza kujenga chuki na watu wenye kipato ktk jamii.
bahati nzuri sana Mungu akaingilia kati, akamuondoa. sijui hali ingekuaje kama angeendelea kuwepo mpaka leo.
Kabisa mkuu.ukichek mfumo auruhusu mtu kukuwa aisee.Umasikini ni Mkubwa KWA sababu mifumo yetu haisapoti watu kujikwamua tofauti na mifumo ya ulaya kule umasikini unataka mwenyewe.
Unafanywa muwe wengi masikini Ili iwe rahisi kuwatawala
Kwann unasema ivo mkuu??kipind ujaoa ulikuwa na hela?hivi kuna balaa kwenye kuoa wanawake au vip maana kuna wanawake ukiwa nao pesa unakua huna kila siku ni kilio tu
Unajihusisha na nn??Ni mbaya zaidi ya ubaya wenyewe!....naomba wanajamvi mnitoe kwenye mkwamo huu wa umasikini,tafadhali sana
nafanya kila kazi za halali mkuuUnajihusisha na nn??
💯🤝Kila Tabaka la kijamii lina tafsiri ya umasikini