Umasikini Mbaya, Unaogopesha, Unatisha

Umasikini Mbaya, Unaogopesha, Unatisha

Laana inatafuna watu kama nini mchungeni ukoo mnako oa kuna koo kwao kumiliki gari ni marufuku, na utajiri bila gari ni sawa sawa na umasikini.....
Hivi hili lina ukweli kiasi gani?

Maana nimeshalisikia sana.
 
Kama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini, pease do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako.

Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.

Njia nzuri zaidi ya kukuhakikishia mafanikio, ni kwa kufanya kwa kadri ya uwezo wako kuwanyanyua wanaokuzunguka!
Ni kweli kabisa kila binadamu anatamani awe na furaha ila umasikini ndio chanzo cha chuki, wivu,tamaa, pamoja na makasiriko yasiyo na sababu.
 
Kuna jama alitafuta kazi kwa siku nyingi ni kamfanyia mpango akapata kibarua cha ulinzi shule ya wasichana mshahara wake ukawa 350k kwa mwezi, akapiga kazi kwa wiki tatu, wiki ya nne mkurugezi akamuagiza aende akanunue kopo la ragi moja kupaka getini akampa 28,000. Jama akakimbia mazima na pesa sh 28000, wakati mshahara wake ulikua umebakiza siku saba tu alipwe, kama sio laana ni nini hiyo
Kuna watu maskini hawajitambui
Ndo maana watu wanaogopa kuwasaidia.
 
Laana ni dhambi ya kufanana au tatizo la kujirudia linalowatokea familia au ukoo husika. Mfano Hakuna mwenye ndoa, aliyefika chuo, miliki mali, wote ni malaya, walevi, wavivu, hasira,ugomvi,nk. Tabia mfanano toka kwenye familia husika. Laana ni magonjwa ya kiroho. Laana ni matokeo ya dhambi, laana ni matokeo ya mizimu ya ukoo fulani kuseti standard ya aina ya maisha ambayo Jamii husika haitakiwi kuvuka yaani wote lazima muwe na tabia au maisha mfanano, mfano utasoma Sana utasali sana lakini Hakuna kazi, magonjwa mfanano mfano kisukari, pressure, kifafa, nk.
 
Ni kweli kabisa kila binadamu anatamani awe na furaha ila umasikini ndio chanzo cha chuki, wivu,tamaa, pamoja na makasiriko yasiyo na sababu.
 

Attachments

  • FB_IMG_1677059366127 (3).jpg
    FB_IMG_1677059366127 (3).jpg
    21.3 KB · Views: 2
Usijishaulishe zile chats zako unazotongoza wanaume wenzio zimevuja
Hivi ulijiteteaje? Nikumbushe tena
NARUDIA TENA! KATU NYIE MAWAKALA WA SHETANI HAMTAKAA MKAHARIBU IMAGE YANGU NA PERSONALITY ILIYOZOELEKA HUMU! KATU! KATU! KATU! HAMTAWEZA... SIJAWAHI! NA SITOWAHI KUINGIWA NA HUYO SHETANI WENU ALIYELAANIWA NA ANAYEISHI MOTONI NA ATAKAYEISHI MILELE! NINA AKILI TIMAMU YENYE KUFANYA KAZI SAWASAWA... TENA KULIKO KAWAIDA!

NINARUHUSU ENDAPO KUNA MWENZENU YOYOTE WA MOTONI KAMA NYINYI HUMU AMBAYE NIMEWAHI KUMTUMIA UJUMBE WOWOTE MCHAFU WA KISHENZI WA KUONESHA KWAMBA MIMI NI MFUASI WA SHETANI KAMA NYINYI AWEKE USHAHIDI HUMU.

MMEKAZANA NA HIYO KAULI, HAMTAKAA MKASHINDA WAPUMBAVY NYINYI NA KWA BAHATI MBAYA RAIA WANAWAFAHAMU VIZURI, MKIPIGWA VITA MNASINGIZIA MNATAKWA 😅😅😅

NIMERUHUSU LETENI USHAHIDI WA UJUMBE MIMI NIKIWA NAMTONGOZA MFUASI WA SHETANI HUMU.

MASHOGA NA WASAGAJI NA MABWANA ZAO MABASHA HAWANAGA AKILI. SI JAMBO LA KUSHANGAZA. WENYE AKILI TU WATAELEWA HII KAULI. Moderator TAFADHALI NAOMBA HATUA KALI ZIFUATWE DHIDI YA HAWA MASHOGA NA WASAGAJI WANAOTAKA KUZIZIMA HARAKATI ZANGU DHIDI YAO KWA KUNICHAFUA NA KUSEMA WANA USHAHIDI. NAWARUHUSU WAWEKE USHAHIDI HAPA. AU NYINYI MNA UWEZO WA KUTAZAMA MAZUNGUMZO ENDAPO KUNA UKWELI NAOMBA HATUA KALI ZICHUKULIWE DHIDI YANGU. ENDAPO SI KWELI NAOMBA HAWA MASHETANI MUWAADABISHE NA UMMA UTAMBUE UKWELI. HERI WAUNDE ID MPYA IJULIKANE WALIKULA LIFEBAN KWA UROPOKAJI NA KUSINGIZIA WATU USHETANI WAO.

NATUMAINI HATUA ITACHUKULIWA. AHSANTE!
 
Kwani kufanya ibaada ni lazima ushide kanisani. Kuna haja yakupata maisha ajira ni muhimu yesu hatowi pesa taslimu lazima uende ukaitafute
naona una-like post za Dr. Mariposa 😣🤔🤔

Una-support mashoga na wasagaji mkuu?!
 
Kama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini, pease do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako.

Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.

Njia nzuri zaidi ya kukuhakikishia mafanikio, ni kwa kufanya kwa kadri ya uwezo wako kuwanyanyua wanaokuzunguka!
Ubarikiwe sana mkuu. Ujumbe mfupi ambao umenigusa sana.
 
Kuna mstaafu kasomesha wanae kwa uchungu sanaa wote wanne wa lipata degree tofauti tofauti vyuo vikuu. Ila chakushangaza wote wameokoka wanashuda kanisani kunene neno la mungu mchana na usiku hawataki kutafuta ajira, tena sio kwamba ni viongozi wa kanisa ni wa fuasi wa kawaida wanao toa Sadaqa.....hiyo ni laana.
Kuna sehemu nilikuwa nafanya kazi hadi 2014 na hata baada ya kuondoka tukaendelea kuwa marafiki na ile ofisi sasa majuzi nikaona status ya staff mmoja kapost mwingine kavaa joho ame-graduate.. nikapongeza na kuuliza ka-graduate fani gani nikitegemea angalau iwe uhasibu, marketing au inayoendana na ofisi yao nakuja kuambiwa kahitimu mafunzi ya uchungaji ngazi ya cheti kwenye chuo gani sijui cha ulokole.
 
Rejea mfumo wa uchumi wa kikoloni ulikuwa setteded kumuinua mwafrika,KWA kutengeneza mifumo inayowafosi watu kufanya Kazi kwa kuwatengenezea mazingira ya Kazi kupitia raslimali hizi hizi nchini.
Rejea sasa
Vikwazo kibao urasimu kibao kwenye vibali, mifumo ya kodi imewekwa kukukomoa, mweupe atapata mkopo kupitia ardhi hii hii atapata pesa ataenda wekeza ulaya.
Hakuna mifumo ya kuinua vipaji na ubunifu utakufa nao.
Wanawaloga wananchi kupitia mwenge, hawataki uraia pacha wakiwahofia diaspora wataleta positive impact
Una akili kubwa sana!
 
Kuna jama alitafuta kazi kwa siku nyingi ni kamfanyia mpango akapata kibarua cha ulinzi shule ya wasichana mshahara wake ukawa 350k kwa mwezi, akapiga kazi kwa wiki tatu, wiki ya nne mkurugezi akamuagiza aende akanunue kopo la ragi moja kupaka getini akampa 28,000. Jama akakimbia mazima na pesa sh 28000, wakati mshahara wake ulikua umebakiza siku saba tu alipwe, kama sio laana ni nini hiyo?
mimi nilimtafutia kazi shemeji yangu mwanaume,alikuwa anakaa tu home,kwa kuwa kibarua ni kwenye kampuni ya mambo ya ufundi,baada ya siku 3 wafanyakazi wapya wakaletewa sare za kazi(ovaroli)
Shemeji yangu akakataa kuvaa,wakanita kuniuliza,hata mbele yangu akakataa kulipokea,kwa kuwa nilikuwa naheshimiwa kazini;wakanionea aibu kumfukuza,akawa anafanyakazi na nguo zake,siku mbili mbele akaacha kazi,mpaka leo ni miaka 15,hana kazi..
 
umeongea jamaa la maana sana ndg yangu.
nakumbuka siku za nyuma kuna mtawala mmoja aliwahi kuwaaminisha baadhi ya watz kwamba maisha ya umaskini ni utakatifu na maisha yenye nafuu nje umaskini ni laana.

kwa bahati mbaya alipata wafuasi wengi walioamini hiyo nadharia yake. ilikuwa ni sumu ya hatari, ilifika wakati baadhi ya "maskini wenzangu" walianza kujenga chuki na watu wenye kipato ktk jamii.

bahati nzuri sana Mungu akaingilia kati, akamuondoa. sijui hali ingekuaje kama angeendelea kuwepo mpaka leo.
mtu una mikono miguu na macho unakubali vipi kuitwa mnyonge?
 
hivi kuna balaa kwenye kuoa wanawake au vip maana kuna wanawake ukiwa nao pesa unakua huna kila siku ni kilio tu
huo ndio ukweli japo watu wengi hawajui...kuna mwanamke unaweza kulala nae baada ya hapo huwezi kupata simu ya mchongo hata moja, ila kuna mwanamke ukiwa nae dili inakuwa juu ya dili lingine ninao mfano hai wa hii kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom