Umasikini Mbaya, Unaogopesha, Unatisha

Umasikini Mbaya, Unaogopesha, Unatisha

Kama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini, pease do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako.

Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.

Njia nzuri zaidi ya kukuhakikishia mafanikio, ni kwa kufanya kwa kadri ya uwezo wako kuwanyanyua wanaokuzunguka!
Kweli mbaya lakini ukikulenga ikubali tu
 
umasikini mbaya na unatesa na hata heshima hakuna ee Mungu nisaidie
 
Kwann unasema ivo mkuu??kipind ujaoa ulikuwa na hela?
Kuna watu Wana laana ya umasikini ukioa kama ni Kazi ukioa utafukuzwa, biashara itafilisika na pana wanawake Wana kibali yaani ukimuoa ulikuwa masikini unapata Kazi au biashara kunyooka.
Wahindi na waarabu hawaoi hovyo hovyo Wanajua siri hii
 
Watu wengine umasikini ni kama laana ataufanyeje huwezi kumtoa kwenye umasikini,.......
Hakuna mtu anazaliwa maskini au utajiri vyote tunavikuta hapa ...sawa umezaliwa ktk familia ya kimaskin so wat... unafanya nn kubrek hiyo chain..utajiri ni mgumu dats matajiri ni wachache na utajiri unarithiwa vile vile..suala la kufanikiwa kutoka katika umaskin na ufukara ni utashi wa mtu binafsi mwenyewe kuukata from within na kuamua kupambana regardless atapata kiasi gani ilimradi avuke kutoka hatua aliyokuwepo kwenda nyingine..kufanikiwa ni mchakato ambao wengi wao hawataki kupitia hatua hiyo wanapenda mafanikio vila jasho..mtu anapenda afaidi cha mezani na sio shambani,apewe samaki na sio nyavu..kijana ananguvu analalamika njaa ambayo ni deni la.maisha hata ukipewa pesa leo inaisha kwa kutuliza njaa ya leo tu while kuna vijana wenzie wanamake life kwa kitoil na maisha yanasonga na wanaendesha familia zao..most of them hawapendi kulazwa ukweli wanachukia ukiwambia hiyo life style sio wamekuwa ombaomba kila siku.
 
Kuna watu Wana laana ya umasikini ukioa kama ni Kazi ukioa utafukuzwa, biashara itafilisika na pana wanawake Wana kibali yaani ukimuoa ulikuwa masikini unapata Kazi au biashara kunyooka.
Wahindi na waarabu hawaoi hovyo hovyo Wanajua siri hii
Kama kuna kaukweli iv.
 
Kuna watu wako okay na hiyo hali,hata upambane vipi kuwasaidia ni kazi bure. Nilichojifunza kila mtu atajikwamua mwenyewe kadri atakavyoona inafaa.
Ukitaka ugomvi wa rejareja jifanye motivational speaker kwa aina hiyo ya watu
 
Tutasingizia mifumo ila hapana mfano

Elimu kwa sasa ni bure ila mzazi hajishughulishi kabisa kufuatilia maendeleo ya mtoto, hanunui vitabu wala madaftari.
Mtoto anafika la 7 hajui kusoma wala kuandika, hapo ulitaka mfumo gani?

Mzazi anaamua kuzaa zaa hovyo bila mpangilio hapo wategemea nini kama sio kuendeleza umasikini?
Na mzazi wa aina hii hajui jamani ya elimu kwa kuwa yeye mwenyew hawakusoma maisha yanasonga,anazalisha hovyo bila mpangilio na hawajibiki kwao kama baba,watoto wanahitaji mahtaji muhimu baba hana kitu unategemea nn kama sio kuendeleza chain ya umaskini
 
Umasikini ni Mkubwa KWA sababu mifumo yetu haisapoti watu kujikwamua tofauti na mifumo ya ulaya kule umasikini unataka mwenyewe.
Unafanywa muwe wengi masikini Ili iwe rahisi kuwatawala
Shw.....Hiyo mifumo unayoitaja kijuuju ndio ipi? Manake unasema kuwa ndio haisapoti watu "Kujikwamua" n.k Nikuulize.... Kujikwamua ndio nini? unaweza niwekea tafasiri yake mkuu?
Je, tunaweza iga hiyo mifumo ya ulaya na tukajikwamua?

Vilevile unaweza niwekea kauthibitisho wangalau wapi 'tunafanywa' tuwe maskini ili tutawaliwe? Nina waraka ninaoandika kuhusu Umasikini na hivyobasi Taarifa yeyote utakayo nipa au kutoa itanisaidia. Ntanguliza shukurani
 
Shw.....Hiyo mifumo unayoitaja kijuuju ndio ipi? Manake unasema kuwa ndio haisapoti watu "Kujikwamua" n.k Nikuulize.... Kujikwamua ndio nini? unaweza niwekea tafasiri yake mkuu?
Je, tunaweza iga hiyo mifumo ya ulaya na tukajikwamua?

Vilevile unaweza niwekea kauthibitisho wangalau wapi 'tunafanywa' tuwe maskini ili tutawaliwe? Nina waraka ninaoandika kuhusu Umasikini na hivyobasi Taarifa yeyote utakayo nipa au kutoa itanisaidia. Ntanguliza shukurani
Rejea mfumo wa uchumi wa kikoloni ulikuwa setteded kumuinua mwafrika,KWA kutengeneza mifumo inayowafosi watu kufanya Kazi kwa kuwatengenezea mazingira ya Kazi kupitia raslimali hizi hizi nchini.
Rejea sasa
Vikwazo kibao urasimu kibao kwenye vibali, mifumo ya kodi imewekwa kukukomoa, mweupe atapata mkopo kupitia ardhi hii hii atapata pesa ataenda wekeza ulaya.
Hakuna mifumo ya kuinua vipaji na ubunifu utakufa nao.
Wanawaloga wananchi kupitia mwenge, hawataki uraia pacha wakiwahofia diaspora wataleta positive impact
 
Umaskin ni hali ya kukosa mahitaji muhimu mfano chakula ,malaz , na makazi katika ubora unaotakiwa , kinyume na apo umaskin ni story za kutunga tu.
 
Rejea mfumo wa uchumi wa kikoloni ulikuwa setteded kumuinua mwafrika,KWA kutengeneza mifumo inayowafosi watu kufanya Kazi kwa kuwatengenezea mazingira ya Kazi kupitia raslimali hizi hizi nchini.

Kwa hiyo unataka kusema watu waliondokana na Umasikini kwa mbinu hizo za kikoloni na mifumo yao ya kiuchumi...pamoja na kufosiwa kufanya kazi? Labda Sijaelewa vizuri hapo au?
Rejea sasa
Vikwazo kibao urasimu kibao kwenye vibali, mifumo ya kodi imewekwa kukukomoa,
Nani huyo anayeleta vikwazo hivyo, je mifumo yote ya kodi imewekwa kukomoa? Unao mfano wa nchi yeyote iliyokuwa na mifumo ya kodi isiyokomoa?
mweupe atapata mkopo kupitia ardhi hii hii atapata pesa ataenda wekeza ulaya.
Nina ndugu zangu weupe tu, nadhani ulimaanisha mzungu? mhindi?
Hakuna mifumo ya kuinua vipaji na ubunifu utakufa nao.
Aisee
Wanawaloga wananchi kupitia mwenge, hawataki uraia pacha wakiwahofia diaspora wataleta positive impact
Ni nani huyo unaye mzungumzia? Bahati nzuri nimepata vijitakwimu zinazoonyesha 'positive impact' kwenye uchumi sasa wewe unaona hiyo 'positive impact' imekosekana wapi? Manake kama kuna 'positive impact' kwenye uchumi, ina maana kuna muelekeo mzuri wa watu 'kujikwamua' na umasikini kwasababu watu masikini wanajishughulisha na uchumi au?
 
Hakuna wakusimamia Ugaidi wa mtandaoni bali sisi watumiaji wa platforms kama hii ya JF.

JF wanayao, Serikali wana yao....na sisi Wananchi, wanajamii tusimamem na kupinga na kukemea wale wote wasiotutakia mema.

Kuna matusi mengi tu hapa ndani ambayo ukiyatazama kijuu juu unaona hayana madhara, Lahasha
Matusi haya tunayachukua na kuyarudia kama mazungumzo ya kawaida ya mtaani lakini madhara yake ni makubwa mno. Hii ni karaha kubwa sana ukizingatia uwepo wa Vyombo vya Usalama wa raia/jamii ikiwa ni pamoja na Wizara mbalimbali! Tunadhani watu wanatujali kwa mioyo mizuri walakin ipo siku watu watachinjana-pale itakapogundulika tofauti au kinyume na 'tunavyodhani' -in all literal sense kwa mambo haya.
Nilinena.
 
Kama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini, pease do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako.

Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.

Njia nzuri zaidi ya kukuhakikishia mafanikio, ni kwa kufanya kwa kadri ya uwezo wako kuwanyanyua wanaokuzunguka!

Unamvuta kwa nia nzuri tu..utashangaa hakai hata mwezi mara kakutombea mkeo,mara kaiba pesa katembea mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom