Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,666
- 7,112
Huku ni kuendekeza shida na dhiki, mtu wa namna hii hujiona yeye ndo ana shida, matatizo na maisha magumu kuzidi wenzake. Haya ndo matokeo yake. Hutanguliza tamaa mbele kuliko matumizi ya akili.Kuna jama alitafuta kazi kwa siku nyingi ni kamfanyia mpango akapata kibarua cha ulinzi shule ya wasichana mshahara wake ukawa 350k kwa mwezi, akapiga kazi kwa wiki tatu, wiki ya nne mkurugezi akamuagiza aende akanunue kopo la ragi moja kupaka getini akampa 28,000. Jama akakimbia mazima na pesa sh 28000, wakati mshahara wake ulikua umebakiza siku saba tu alipwe, kama sio laana ni nini hiyo?

