Umasikini Mbaya, Unaogopesha, Unatisha

Umasikini Mbaya, Unaogopesha, Unatisha

Umasikini upo kwenye kuwaza na kufanya maamuzi,kwa kifupi niseme ni kuwa tu na matumizi mazuri ya akili! Ukiwaza kimasikini huwezi kutoboa..na vice versa is true!
 
Kama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini, pease do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako.

Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.

Njia nzuri zaidi ya kukuhakikishia mafanikio, ni kwa kufanya kwa kadri ya uwezo wako kuwanyanyua wanaokuzunguka!
Umasikini maanake nn?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom