smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,539
- 11,882
NB: Mada hii naileta kwenu baada kupata inspiration kupitia thread ya donlucchese
Umeshawahi kupiga one katika levo yoyote ya elimu hapa nchini? Tukutane hapa.....!!!
Sijawahi kupata division one O-level wala A-level. ila nimesoma elimu rasmi ya darasani mpaka ngazi ya degree. Nina knowledge kubwa kuhusu elimu ya mtaa ambayo hufundishwi popote. ni elimu hii ya mtaani ambayo kwa asilimia 78 inanisadia sana kuniongoza katika kazi zangu.
Mwaka jana around november nilisafiri kikazi katika mkoa fulani unaopatikana katikati mwa Tanzania. Katika mazingira ya ile kazi iliyonipeleka, nikakutana na mdada mmoja mzuri wa sura na umbo. Nikamtongoza, baadae akakubali. jioni akaibuka hotelini nilipofikia.
Nikasema hapa si mcheleweshi, nikaweka kimoja cha fasta halafu baada ya hapo tukaanza kupiga stori za kufahamiana vizuri. Akaniambia yeye ni afisa wa taasisi fulani serikalini(jina kapuni) na ID yake akanionyesha kwa uthibitisho na mimi nikajitambulisha kwake kiundani zaidi. alikuwa so excited na profile yangu.
Katikati ya mazungumzo yetu ya kufahamiana, akanitajia shule za sekondari ambazo aliwahi kusoma O-level na A-level. Zote ni private boarding schools na ni girls tupu. moja ya shule hiyo ni maarufu sana, huwa inaongoza kitaifa kila mwaka(jina kapuni). Nikamuuliza katika mwaka wenu, shule yenu ilikuwa ya ngapi kitaifa katika ufaulu?.
Jibu lake lilinushtua, akaniambia kimkoa shule yao ilishika nafasi ya kwanza na kitaifa ilikuwa ya pili. Wanafunzi wawili tu kati yao walipata division two. waliobaki wote akiwemo yeye walipiga division one. akatumia simu yake kuingia kwenye website ya baraza la mitihani kunionyesha ufaulu wake.
Nikagundua kumbe nimesex na demu kichwa sana maana ufaulu wake ulikuwa na A za kutosha ikiwemo A ya mathematics, physics na chemistry.
Je, uliwahi kutoka kimapenzi na mwanamke genius kielimu ambaye ufaulu wake wa masomo ya sekondari ni kuanzia division one? Ilikuaje?
Tupe uzoefu wako.
Umeshawahi kupiga one katika levo yoyote ya elimu hapa nchini? Tukutane hapa.....!!!
Sijawahi kupata division one O-level wala A-level. ila nimesoma elimu rasmi ya darasani mpaka ngazi ya degree. Nina knowledge kubwa kuhusu elimu ya mtaa ambayo hufundishwi popote. ni elimu hii ya mtaani ambayo kwa asilimia 78 inanisadia sana kuniongoza katika kazi zangu.
Mwaka jana around november nilisafiri kikazi katika mkoa fulani unaopatikana katikati mwa Tanzania. Katika mazingira ya ile kazi iliyonipeleka, nikakutana na mdada mmoja mzuri wa sura na umbo. Nikamtongoza, baadae akakubali. jioni akaibuka hotelini nilipofikia.
Nikasema hapa si mcheleweshi, nikaweka kimoja cha fasta halafu baada ya hapo tukaanza kupiga stori za kufahamiana vizuri. Akaniambia yeye ni afisa wa taasisi fulani serikalini(jina kapuni) na ID yake akanionyesha kwa uthibitisho na mimi nikajitambulisha kwake kiundani zaidi. alikuwa so excited na profile yangu.
Katikati ya mazungumzo yetu ya kufahamiana, akanitajia shule za sekondari ambazo aliwahi kusoma O-level na A-level. Zote ni private boarding schools na ni girls tupu. moja ya shule hiyo ni maarufu sana, huwa inaongoza kitaifa kila mwaka(jina kapuni). Nikamuuliza katika mwaka wenu, shule yenu ilikuwa ya ngapi kitaifa katika ufaulu?.
Jibu lake lilinushtua, akaniambia kimkoa shule yao ilishika nafasi ya kwanza na kitaifa ilikuwa ya pili. Wanafunzi wawili tu kati yao walipata division two. waliobaki wote akiwemo yeye walipiga division one. akatumia simu yake kuingia kwenye website ya baraza la mitihani kunionyesha ufaulu wake.
Nikagundua kumbe nimesex na demu kichwa sana maana ufaulu wake ulikuwa na A za kutosha ikiwemo A ya mathematics, physics na chemistry.
Je, uliwahi kutoka kimapenzi na mwanamke genius kielimu ambaye ufaulu wake wa masomo ya sekondari ni kuanzia division one? Ilikuaje?
Tupe uzoefu wako.