rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,514
- 41,968
kuna mzee nilikuwa namheshimu sana ni baba wa kufikia wa demu wangu siku demu akaniachia simu kuangalia namba ya baba yake status kapost mdada anatikisa matakoo...yani sio mara moja na huyo mzee ana mke nkasema daah hapana tumetofautianaKuna watu kupitia status zao nawashusha thamani kabisa