Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,542
Njoo pm nikupenilifuta hio dhambi hakiInaboa kinoma ila skuizi nawa Mute
Njoo pm nikupenilifuta hio dhambi hakiInaboa kinoma ila skuizi nawa Mute
Kvp.mzee baba?umezoea uongo
Vacation??? Mkuu tupeane maarifa basi acha uchoyoSijaona chochote chaajabu so far inawezekana ni kwasababu nipo very limited na contact zangu!Binafsi napenda kupost misosi🍛🍲 ninayopika,bible quotes,nikiwa vacay🏖️🧳,nikipendeza🤳 au special occasions birthday etc
hahahahhahDuuh hii ilikuwa funga mwaka.
Dem.alifuta whatsp hio nahisi hadi no alibadilisha akatafuta watu wapyaNikafikiri chai kumbe live hahaha ni hatari
DuhKuna watu wanasema.mm muongo nimewatumia mzigo huo sema nimefuta nisije pigwa banView attachment 1839752
Utakuwa ulikuwa una ji upgrades sana kweny statusStatus uchovu sana, depends na contact zinazoview status zako.. watu kipind tupo wanafunzi unapost picha za mock trial, mara upo field sehem kumbe watu wanaleta mzozo.. nshawah kosa dili sehem.. unamtumfuta mtu unamwambia sister nna shida na kazi anakwambia mimi nilijua una kazi na juzi nilipata chance za kazi kigoma ila nlivyokuona jinsi ulivyo nikajua hutoweza kufanya.. mazafaka
Kwani me ndo wa kwnza kupata hela mpka nitambe kwa status..…???Ukizikamata lazima utuwekee status
Naikumbuka hii demu ni best wa rafiki yangu!Kuna hio moja kali kuna manzi alipost papa na tgo kwenye status huku akisema #hubby mknd umeanza kuzoea # wajuba wakascreenshot faster
Watu wanafukuana sana nowdaysNaikumbuka hii demu ni best wa rafiki yangu!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
kauzu huyoooKuna jamaa yupo Kenya na ni mtu mzima tu tuliwahi kufanya biashara fulani sasa nkasave namba yake..Hamadi! Siku ya kwanza kuview status zake nkaona kaweka porno status kama tano zinafuatana zote porno nkafikiri labda bahati mbaya,kesho akaweka tena na tena akatuma na screenshot ya viewers aisee jamaa ana zaid ya watu 5000 wanaoview status zake na kila siku anapost xxx za kibongo,korea,kenya, USA n.k na huwa anasema kama unaona nazingua kuweka porno futa namba yangu lakini nashangaa watu bado wameng'an'ania tu nikiwemo mimi nkagundua watu kibao wanapenda pilau hapa Africa Mashariki
Kuna jamaa yupo Kenya na ni mtu mzima tu tuliwahi kufanya biashara fulani sasa nkasave namba yake..Hamadi! Siku ya kwanza kuview status zake nkaona kaweka porno status kama tano zinafuatana zote porno nkafikiri labda bahati mbaya,kesho akaweka tena na tena akatuma na screenshot ya viewers aisee jamaa ana zaid ya watu 5000 wanaoview status zake na kila siku anapost xxx za kibongo,korea,kenya, USA n.k na huwa anasema kama unaona nazingua kuweka porno futa namba yangu lakini nashangaa watu bado wameng'an'ania tu nikiwemo mimi nkagundua watu kibao wanapenda pilau hapa Africa Mashariki
Ulimnasa dem eeYaaah sure...
I do the same..
Hii iliwahi kunipa faida siku moja bhana.