anti-Glazer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 291
- 478
Kiuhalisia huku ni kupotezeana mb zetu bureee.
Yaani unaona mtu kaweka picha 87. Kutangaza biashara sio mbaya lkn ili uweke kwenye status na mvuto na desire kwa walengwa. Nimekuja kuona ni mpuuz pekee ataendelea kufumgua Kila status ya contact za Whatsapp friend and co.
Nimekuja kuona kwamba nawajua ninaofungua status zao, wengine na biashara zenu mtafunguliwa na wanaozitaka.
Status qwio? Yaani usumbufu tuuu. Sifungui ng'o
Yaani unaona mtu kaweka picha 87. Kutangaza biashara sio mbaya lkn ili uweke kwenye status na mvuto na desire kwa walengwa. Nimekuja kuona ni mpuuz pekee ataendelea kufumgua Kila status ya contact za Whatsapp friend and co.
Nimekuja kuona kwamba nawajua ninaofungua status zao, wengine na biashara zenu mtafunguliwa na wanaozitaka.
Status qwio? Yaani usumbufu tuuu. Sifungui ng'o