Nizhneserginsky
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 265
- 545
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye maada.
Mapenzi yana nguvu sana pale unapopenda kisawasawa unaweza tembea umbali mrefu kufuata penzi bila kujali umbali, gharama zozote ili mradi ufanikishe jambo
Binafsi nina visa viwili.
1. Niliwahi kusafiri toka Moshi kwenda Tanga kufata penzi, safari hii sikufanikiwa kula mzigo mara ya pili katika safari hiyohiyo (siku tofauti) nilikula mzigo wa toto la kitanga.
2. Dodoma-Kahama, nilienda kwa mtoto mkali wa kinyamwezi (mwenyeji wa Tabora makazi yake Kahama) ambaye nilikutana naye social network nijisevia week nzima nikarudi nikiwa nimefurahia penzi la kinyamwezi.
WanaJF, ni umbali gani ulitumia kufuata penzi umbali mrefu bila ya kujali gharama/muda?
Mapenzi yana nguvu sana pale unapopenda kisawasawa unaweza tembea umbali mrefu kufuata penzi bila kujali umbali, gharama zozote ili mradi ufanikishe jambo
Binafsi nina visa viwili.
1. Niliwahi kusafiri toka Moshi kwenda Tanga kufata penzi, safari hii sikufanikiwa kula mzigo mara ya pili katika safari hiyohiyo (siku tofauti) nilikula mzigo wa toto la kitanga.
2. Dodoma-Kahama, nilienda kwa mtoto mkali wa kinyamwezi (mwenyeji wa Tabora makazi yake Kahama) ambaye nilikutana naye social network nijisevia week nzima nikarudi nikiwa nimefurahia penzi la kinyamwezi.
WanaJF, ni umbali gani ulitumia kufuata penzi umbali mrefu bila ya kujali gharama/muda?