Umewahi safiri umbali gani kufuata penzi?

Nizhneserginsky

JF-Expert Member
Mar 9, 2017
265
545
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye maada.

Mapenzi yana nguvu sana pale unapopenda kisawasawa unaweza tembea umbali mrefu kufuata penzi bila kujali umbali, gharama zozote ili mradi ufanikishe jambo

Binafsi nina visa viwili.

1. Niliwahi kusafiri toka Moshi kwenda Tanga kufata penzi, safari hii sikufanikiwa kula mzigo mara ya pili katika safari hiyohiyo (siku tofauti) nilikula mzigo wa toto la kitanga.

2. Dodoma-Kahama, nilienda kwa mtoto mkali wa kinyamwezi (mwenyeji wa Tabora makazi yake Kahama) ambaye nilikutana naye social network nijisevia week nzima nikarudi nikiwa nimefurahia penzi la kinyamwezi.

WanaJF, ni umbali gani ulitumia kufuata penzi umbali mrefu bila ya kujali gharama/muda?

1629443673150.png
 
Mgegedo ni miongoni mwa mambo ambayo hutulazimu kusafiri umbali mrefu bila kutarajia..

Binafsi nimesafiri mara kadhaa but safari yangu ndefu ya kufuata mgegedo ni DAR _MBEYA
vipi upande wenu wakuu ke/me
 
Mjini hadi shambani, hata hivyo niliishia kula kwa mkono tu.
mgegedo ni miongoni mwa mambo ambayo hutulazimu kusafiri umbali mrefu bila kutarajia..

binafsi nimesafiri mara kadhaa bt safari yangu ndefu ya kufuata mgegedo ni DAR _MBEYA
vipi upande wenu wakuu ke/me
 
Nilikuwa nasoma Birmingham ilikuwa 2010. Sijaonana na mchumba wangu kama miezi saba hivi nilikua tight sana na ratiba! Kila nikiwaza nifanyaje nakosa jibu nikaamua kukata tiket kuja tz go and return wiki mbili. Nikamwambia mpenzi ambae sasa ni mke wangu njoo.

Kesho 13:30 njoo AirPort na usimwambie yoyote! Nilifika airport tukachukua taxi hadi ubongo plaza nikachenji dollar bank ya posta Tukachukua abood hadi Moro tulikaa hotel siku kumi bila kwenda kokote. Nilirudi chuo bila tatizo some time u have to take a risk for the sake of love!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mgegedo ni miongoni mwa mambo ambayo hutulazimu kusafiri umbali mrefu bila kutarajia..

binafsi nimesafiri mara kadhaa bt safari yangu ndefu ya kufuata mgegedo ni DAR _MBEYA
vipi upande wenu wakuu ke/me
Haha umenikumbusha mbali kweli enzi za maisha ya chuo 2008/2011 na miaka ya mwanzo ya ajira na mapenzi ya social medias. Ujana kweli ulikuwa Moto, Nishasafiri kwenda Tabora, Mwanza na Mbeya achilia routes za karibu Mfano Moro na Dodoma kutokea Dar.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom