Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

Usipotumia uwezo wako kutimiza zako, wapo watakao tumia uwezo wako kutimiza ndoto zao

Acha aibu ya kuchagua kazi na acha uoga wa kufikiria watu watakuchukuliaje mtaani

People will always judge you no matter what...
NOTED
 
mafanikio yana chukuwa mda kuya pata ina weza kuwa miaka 5 ata 10 tafuta kitu chakufanya uwe na malengo and take risk
 
mafanikio yana chukuwa mda kuya pata ina weza kuwa miaka 5 ata 10 tafuta kitu chakufanya uwe na malengo and take risk
 
Nataka ndege zangu binafsi km sita hivi za kukodisha hslafu fundi mimi mwenyewe.
Niishi ughaibuni ndo nitaridhika
 
Nawasalimu wakubwa zangu wote, Natumai Nyote ni Wazima wa afya huku tukiendelea kuusubiri Mwaka mwingine tena(2021)
.
BACK TO THE TOPIC
Mimi ni graduate wa chuo mwaka huu na umri wangu ni early 20s, Nipo mtaani sina mbele wala nyuma na sioni dalili zozote za kutoboa kimaisha ivi karibuni...Kuna mda nikikaa mwenyewe nawaza mengi sana moyoni "Ivi kweli namimi nitakuja kujenga na kuwa na familia kama wengine" b'coz mpaka sasa ni mtu wa kusubiri ugali mezani
.
.
Hivyo basi ningependa kusikia maoni na ushauri kutoka kwa WAKUBWA ,Je Ninyi Mlitoboa MAISHA mkiwa na UMRI gani???? hasa wanaume ambaye ni nguzo kuu ya kujenga familia, Lengo kubwa la kuuliza ivyo ni kwamba mawazo yananiua mdogo mdogo,kwa kifupi najiona kama Nimechelewa ivi na bado nazidi kuchelewa
.
.
#LIVE,LAUGH,FOCUS

NAWASILISHAA, POVU RUKSA
Kabla huja tafuta mafanikio lazima Basi u define kwako MAFANIKIO/UTAJIRI NI NINI?

Binafsi kwangu, kumiliki gari na nyumba sio mafanikio.

Definition yangu ya kutoboa haiishii kumiliki gari na nyumba.

#YNWA
 
Ili utoboe maisha wachukie masikini, utanishukuru baadaye.
Kila la kheri
 
Nawasalimu wakubwa zangu wote, Natumai Nyote ni Wazima wa afya huku tukiendelea kuusubiri Mwaka mwingine tena(2021)
.
BACK TO THE TOPIC
Mimi ni graduate wa chuo mwaka huu na umri wangu ni early 20s, Nipo mtaani sina mbele wala nyuma na sioni dalili zozote za kutoboa kimaisha ivi karibuni...Kuna mda nikikaa mwenyewe nawaza mengi sana moyoni "Ivi kweli namimi nitakuja kujenga na kuwa na familia kama wengine" b'coz mpaka sasa ni mtu wa kusubiri ugali mezani
.
.
Hivyo basi ningependa kusikia maoni na ushauri kutoka kwa WAKUBWA ,Je Ninyi Mlitoboa MAISHA mkiwa na UMRI gani???? hasa wanaume ambaye ni nguzo kuu ya kujenga familia, Lengo kubwa la kuuliza ivyo ni kwamba mawazo yananiua mdogo mdogo,kwa kifupi najiona kama Nimechelewa ivi na bado nazidi kuchelewa
.
.
#LIVE,LAUGH,FOCUS

NAWASILISHAA, POVU RUKSA
Ifike hatua gan ndio tuseme maisha umeanza kuyatoboa?
 
Mm nina 47 tayari nimetoboa maisha.

Ninaendesha bodaboda, nalisha familia yangu na nalipa kodi ya pango kwa wakati.

Hapo sijatoboa maisha ndugu zangu?
Wew bado hujatoboa mkuu!....
Halafu vipi kuhusu mbinu za kuhakikisha unahongwa magari na nyumba kama wanawake wengine,,, je ulipata ufumbuzi?
 
Wakati npo sec nikawa napga mahesabu kuwa nkifika 30yrs lazma nimilik gar hata la mkopo,hapo nikiwa naamin ntakuwa nimeshaajiriwa tena serikalini,nmemaliza sec nkajchanganya nkaenda kusoma coz ya ajabu ambayo serikal yetu inaajir watu wachache sana,nkakosa ajira,nikaamua kwenda kusoma tena coarse zenye soko wakati huo yupo kikwete,nmemaliza akaingia magu akaanza kutoa ajira kwa kudonoa nikawa mtu wa mawazo sana,nikawa nawaangalia watu maarufu ambao wako chini yangu kiumri lakin wana mabilion afu Mimi nkawa nasubir ugali wa shikamoo,ila kama ipo ipo tu,mzee akasitaafu akabuni bonge moja la mradi afu boss nikawa Mimi,mambo yanaenda poa sana,najihis nmetoboa,ila sometimes napata wasiwasi tra wanaweza Kuja nibana
 
Back
Top Bottom