Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

Sijui hata kama nitavuka ngazi moja
Huwa tunakata tamaa mpka pale utakapoingia kaburini. Hakunaga umri ilimradi tu usijifananishe na wengne wala kukuulza kwamba kwa nn wengne wafanikiwe ww hakna . Hakna angalia akina leizer nk
 
Kutoboa ndiyo kufanya nini? Any way kama ni kufanikiwa hutafanikiwa utakavyo mpaka unaenda kaburini

Kila ukipata elfu 10 utahitaji laki moja,utakua hivyo mpaka uzee ukukute.

Hiyo ndiyo siri ya kweli hakuna jingine
 
Usiogope mdogo wangu tupo wengi, Mimi nina miaka 55 lakini hakuna tobo lolote nimewahi toboa mpaka sasa, na ni kati ya viumbe wachache wenye furaha duniani..!
Dah bibi vizee wengine bhana.
 
Shukran Mkuu...Tatizo la WAZAZI wetu apa Bongo ni rahisi Kukulipia ata ADA ya milioni Tatu kuliko kukupa Mtaji wa 3M wa biashara
Ukiwa kama kijana shupavu...basi nakushauri ili mtaji wa 3M unatengenezwa na wewe hapo kupitia kitu unacho kifanya, actually hayupo mzazi wa hvo wa kuoa milion tatu kukupa kufanya biasha kubwa ikiwa hauna idia na hyo biashara yaan haujawai kuifanya ila wanacho fanya ukupa msingi ambao ukuwezesha kuanza ili kufikia uo mtaji mkuu...mtaji wa milion tatu uzalishwa na laki

so anza na mtaji mdgo kama upatikan wa m3 ni mgumu
 
Nina umri wa miaka 27 na January hii naingia 28 lakini sijatoboa wala nini na wala bado sijui nifanye nini nitoboe maisha haya
Nina miaka 24 nauza handbag ambazo nauza jumla na rejareja, nilianza na mtaji wa laki moja na nusu tena nilipewa na baba angu mpka dakika hii navo ongea nasomesha wadogo zangu watatu na naudumia family yangu nimepanga chumba kimoja self nalipa kodi 75 kwa mwezi..

Kutoka mtaji wa laki na nusu mpk kufika mtaji wa 2M na kila hitaji langu na family yangu linatoka kwa iyo biashara

Na mpka dakika hii napambana na mikoba japo plan ninazo nyingi [emoji7]

Kutoboa maisha inategemea pia na family tunazo toka kama unatokea mboga saba unazani hyo hakiri ya kufikilia maisha utaipata mapema unakuja kushitukaa umri usha enda
 
Na uzee wetu huu bado ni kupambana, kutoboa at times ni hadi kwa kaburi, otherwise ni hustling throughout...!

Huwa tukisema life's meaningless at times huwa mnatubishia, utatafuta na kutafuta and you'll never be satisfied until you go six feet under.
 
Back
Top Bottom