Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,206
- 1,152
Mkuu hapo mwishoni ipo general sana na inahitaji maelezo ili kueleweka vema. Ndiyo maana nikamaliza ahadi ya kuleta nyuzi.
Inabidi uilete. Maana hapo ni according to wewe na sio wengine.
Mkuu hapo mwishoni ipo general sana na inahitaji maelezo ili kueleweka vema. Ndiyo maana nikamaliza ahadi ya kuleta nyuzi.
Hapo unazungumzia gari, nyumba ya kupanga tabata na mshahara wa laki 8 cyo
Hongera sana, ila kwa ushauri kumbuka kuweka akiba ndugu, maana kama unamudu hilo walau uhakika upo kwa zile siku utakazoshindwa kufanya kazi kwa sababu moja au nyingine, mfano kuugua. kuuguza, kuhudhuria shughuli za lazima za kijamii nk. Changamoto inayokabili ajira binafsi zinazotegemea nguvu ya mtu mara nyingi ni hizo, kwamba usipoingia job na hela haiingiiMimi nina 47 tayari nimetoboa maisha.
Ninaendesha bodaboda, nalisha familia yangu na nalipa kodi ya pango kwa wakati.
Hapo sijatoboa maisha ndugu zangu?
Unafikiri anawaza assets yeye anawaza LIABILITIES tuKama ndiyo definition ya “kutoboa” kwake ni sawa
Unafikiri anawaza assets yeye anawaza LIABILITIES tu
Hujui kuandika mkuuWakati npo sec nikawa napga mahesabu kuwa nkifika 30yrs lazma nimilik gar hata la mkopo,hapo nikiwa naamin ntakuwa nimeshaajiriwa tena serikalini,nmemaliza sec nkajchanganya nkaenda kusoma coz ya ajabu ambayo serikal yetu inaajir watu wachache sana,nkakosa ajira,nikaamua kwenda kusoma tena coarse zenye soko wakati huo yupo kikwete,nmemaliza akaingia magu akaanza kutoa ajira kwa kudonoa nikawa mtu wa mawazo sana,nikawa nawaangalia watu maarufu ambao wako chini yangu kiumri lakin wana mabilion afu Mimi nkawa nasubir ugali wa shikamoo,ila kama ipo ipo tu,mzee akasitaafu akabuni bonge moja la mradi afu boss nikawa Mimi,mambo yanaenda poa sana,najihis nmetoboa,ila sometimes napata wasiwasi tra wanaweza Kuja nibana
Itakuwa wew n mzee wa miaka ile ya kna nyerere,huwez elewa uandish wangu,maana enzi hzo mlikuwa mnajua kusoma mkiwa mmesha barehe tayarHujui kuandika mkuu
Hahahahahha hapana namaanisha kuwa na nyumba yangu kupanga nakomaa hukuhuku uswahilini tuuHapo unazungumzia gari, nyumba ya kupanga tabata na mshahara wa laki 8 cyo
Balehe = Barehe...Itakuwa wew n mzee wa miaka ile ya kna nyerere,huwez elewa uandish wangu,maana enzi hzo mlikuwa mnajua kusoma mkiwa mmesha barehe tayar
Hata la Kati![emoji69]Usiogope mdogo wangu tupo wengi, Mimi nina miaka 55 lakini hakuna tobo lolote nimewahi toboa mpaka sasa na ni kati ya viumbe wachache wenye furaha duniani..!
Muda ndo huu... how far?Aiseee! nina plan ya kufungua english medium ifikapo 2022 we mwanamke kweli unaona mbali.
Wengine wanawaza kutoboana[emoji2][emoji3577]Haya maneno hayaaaaa,
'Kutoboa' utatoboa kweli?
Kuna ndugu huwa wanakatisha ssna tamaa .Tatizo kubwa linalonikumba pia ni jinsi ya kuondoka nyumbani kutafta maisha...Kila nikiwaeleza wazazi wanakomalie nibaki nisubiri ajira, inafika time natamani ata niondoke bila kuaga ila wanaanza misemo yao ile " asiyesikia la mkuu, huvunjika guu" YANI TABU TUPU