Ulishughulika vipi na kisa cha namna hii?

Ulishughulika vipi na kisa cha namna hii?

Wengi wamekushauri eiza uachane nae au uchape usepe. Mimi nitakushauri tofauti kidogo. Hebu kwa sasa mtazame Prisca kama mtu aliyepevuka na anaejitambua. Unakosea kumlaumu mtu wa form 5 kukukataa kimapenzi!!! Huyo alikuwa mtoto jomba. Kweli wewe ulivyokuwa form 5 kiakili ndio ulivyo sasa? Na inaonekana bado unampenda Prisca, acha ligi zisizo na future, kwa sasa wote mmeshapevuka tuliza mpira. Mpe nafasi wala usichukulie maubishani ya form 5. Mpe nafasi, pimeni afya jenga familia kijana. Kweli ulinganishe maisha ya kwenda bichi komba na monita ndio yakunyime future na umpendae?
Unataka kuharibu maisha ya kijana wetu kwa huu ushauri wako wenye elements za huruma bila hisabati
 
Mkaribishe geto then mnyooshe! Ila kuoa sikushauri maan unatakiwa ujiulize kwann hana mpenzi mpaka sasa! Na nadhan atakuwa ni victim wa love huyo so anatafuta pa kutokea!!
 
MDOGO wangu mimi nakushauri kama mwanamke, kwanza huyo binti kukukataa kipindi hicho chooote cha shule wala si kosa lake, sisi wanawake linapokuja swala la mahusiano tunabadilika kutokana na muda, wanaume tunaowapenda na kutaka kuwa nao katika u teenager sio tutakaowataka tunapofikisha miaka kuanzia 25-28 kwenda mbele. kuanzia umri huo ndipo huwa tunaanza kujua yupi husband material na yupi atakupotezea muda. Hivyo basi huyo binti wala si kwamba ana tatizo au vipi kama watu wanavyotka kukuaminisha, ila akili imeshapevuka ameshajua mbivu zipi na mbichi ni zipi. Cha msingi usiji force if u still think and feel she is the one go for it, ila kama unaona hayupo moyoni kiviiile achana nae, mpotezee treat her kama alivyokuwa ana ku treat wewe, acha akutafute usimtafute, msg usijibu au ukijibu iwe short and clear atajiongeza yeye mwenyewe na ku move on. Ila pia kama utaamua kuwa nae dont rush, take things slowly uweze kumjua kiundani na nia yake na kama usalama upo
Nashkuru sana dada angu. Hakika nitazingatia ushauri wako katika kufanya maaumuzi.
 
Inahitaji uwe kauzu sana kumfukuza demu mkuu.
Hasa demu ambaye maumbile yake umeyaona na kuyagegeda.
Utakuwa ukitoka kazini na kurud nyumbani ukifungua tu mlango unamkuta juu ya kitanda ametanua mapaja bila kifunika uchi.
Asikwambie mtu mkuu sio kazi ya kitoto
Hakika sio kazi ya kitoto😂
 
Huyu msichana nilisoma nae 'A' level katika shule fulani hapa Dar es salaam. Darasani kwetu hakuna ambae hakumjua maana alikuwa msichana mwenye sura nzuri sana tena kuliko wote darasani. Ila hakuwa social kiviile. Alikuwa na rafiki zake aliowazoea na hakupenda mazoea sana.

Sasa mi nikawa nimempenda. Nikaanza kumtongoza tokea tunaanza form five. Kipindi ambacho mimi ndo nilikuwa mtu wa kwanza kumtongoza pale shuleni lakini alinikataa. Baada ya miezi mitatu nikapiga moyo konde nikamtongoza tena akakataa nikapotezea.

Tukiwa tunafanya mitihani ya mwisho tunaingia form 6 nikasema ngoja nijaribu tena nikamtongoza tena kwa mara ya tatu akakataa. Nikamuomba namba ili tuwe tunawasiliana maana kuna rafiki yangu mmoja 'Kishoro' (bado marafiki mpaka sasa) alinishauri bora niwe naenda nae taratibu niwe nawasiliana nae namuhonga honga vocha, na ukizingatia kilikuwa kipindi cha mitihani tunakaribia kwenda likizo. Nikamuomba namba akaninyima.

Baadae tukiwa likizo nikaitafuta namba yake kwa mtu mwingine. Nikampigia simu akawa ananijibu kwa mkato ili maongezi yaishe nikimtumia meseji hajibu kabisa.

Nikaacha kuongea nae tukaingia form 6. Nikawa najaribu kwenda nae taratibu nikawa nalazimisha urafiki. Akawa ananikwepa kwepa. Hataki story na mimi. (Inauma sana aiseee!). Kuna siku nilimuomba twende Kunduchi beach jumamosi kila kitu nitalipa mimi (baada ya kukopa sana maana mwanafunzi hela unatoa wapi ?). Akakataa nikaja kuskia Jumamos alienda Beach kombo na monitor wetu nilikuja kuambiwa baada ya kumaliza kuwa wakati tunakaribia kumaliza alianza mahusiano na monitor.

Tukiwa tunakaribia kufanya paper ya Form 6 nikataka nimtongoze tena akakataa kuongea namimi. Ila tu nikamwambia "Sawa. Ila hakuna msichana nilikuwa nampenda kama wewe". Hakujibu akaondoka. Tukafanya paper tukamaliza.

Toka tumemaliza form 6 sikuwahi kuonana nae tena. Nimemaliza chuo miaka miwili iliyopita(degree)
Kazi nnayoifanya ni tofauti na niliyosomea. Sio ya maslahi ila inaniwezesha kuishi Dar. Nilishamsahau maana hatujaonana mda mrefu. Sasa juzi(jumatatu) niko makumbusho nasubiri daladala ya ubungo nikashangaa naguswa bega. Kugeuka ni yeye. Moyo ukapiga paa. Nilishangaa sana maana hakuwahi nianza mazungumzo wala kunisalimia popote.

Akaniambia Danny za siku nyingi nikamwambia safi. Tukaongea sana. Sana, tukakumbushana watu tuliosoma nao, mambo ya shule. Ila Gari la Kunduchi lilipofika akataka kupanda aondoke. Akaniambia "Danny naomba namba yako tuwasiliane." Nikashangaa sana. Nikampa namba.

Nilivofika nyumbani nikawaza sana kwamba kinachotokea ninaota ? Prisca wakuniomba mimi namba ? Mimi ambae miaka kadhaa iliyopita alininyima namba yake nikaitafuta kwa mtu mwingine ?

Ilivyofika saa tano kasoro akanipigia simu nikapokea. Tukaongea stori kibao. Hakusema kwanini amenipigia zaidi ya story za hapa na pale. Akanipa story za UDSM (mimi nilisoma SAUT). Baadae tukaagana nikalala. Ila asubuhi wazo la kwanza lililonijia ni kuwa yawezekana Prisca anataka kunikubali sasa hivi. Maana haiwezekani Prisca anipigie mimi Danny simu hivihivi. Tena Prisca, anipigie mie simu ?

Jumannne hatukuwasiliana ila Jana jumatano alinipigia simu mchana akanilaumu sana kwa sauti ya mapenzi mbona sikumtafuta siku ya Jumanne ? Mi nikamwambia 'sikuwa na vocha' ila sikuwa na sababu ya kumtafuta kusema ukweli. Tukiwa tunaongea na simu hiyo jana akaniuliza vipi wifi mzima ? Nikamwambia sina mwanamke. Akaniambia anataka kuja kunitembelea Jumamosi. Nikamwambia nikipata muda ntakwambia.

Nikakutana na Kishoro kumuomba ushauri. Alichoniambia ndicho kinachonifanya nilete uzi hapa.

Kishoro alisema: "Hakupendi huyo, ila tu anakuja kwako kupooza machungu kwa sababu aliowataka yawezekana kagombana nao. Sasa we jiangalie wewe unampenda ama humpendi?".

Mimi, naweza sema nampenda ila sio sana kama nilivyokuwa nampenda kipindi kile; ni kama alinitoka kiukweli, ila sijiskii vizuri kumpotezea. Nipo single na nataka KUOA(sitaki mahusiano ya kucheza cheza) lakini nafsi yangu inasita kumuoa yeye.

Ila pia maneno ya Kishoro yanajirudia rudia sana kwenye akili yangu "Hakupendi huyo, do for your own risk."

Halafu mimi mwenyewe nashangaa. Alivyokuwa ananitreat kipindi kile, leo hii Prisca ananipigia simu ? Ananiuliza mbona sijamtafuta ? Halafu anataka kuja kunitembelea ? Huyu ni Prisca kweli au naota ndoto za mchana ?

Anyway, Yawezekana humu kuna watu waliwahi kupitia kisa kinachofanana na changu na wangependa kushare uzoefu wao jinsi walivyoshughulika na hivyo visa. Ntafurahi nikipata kuskia kutoka kwenu.

Lakini pia dada zangu mtanisaidia maoni yenu; Je, inawezekana kwa mwanamke ambae alikuwa hakupendi miaka ya nyuma akaja kwako kwa upendo wa dhati ?

NB:Kuna vitu vingi nimevitoa ili kufupisha story, kama bado ndefu mniwie radhi
nipe sifa za huyo mwanamke, nitakwambia ni mtu wa aina gani!!
 
Anatumia akili za kishoro
Kishoro amekuwa rafiki yangu toka tuko shuleni, anaelewa mengi sana kuhusu mimi na huyu msichana. Ameshanishauri sana tukiwa shuleni kuwa nisiwe na haraka. Kutokana na ufahamu wake juu ya mimi na huyu msichana ilikuwa lazima na yeye anipe maoni yake.
 
Hyo hali wanaume wengi tumepitia/tunapitia..

.... kumbuka tuu,kinacho leta furaha ktk ndoa na kufanya idumu sio mapenzi wala sura au shepu Bali ni tabia na kuhurumiana..

Mimi nilipitia situation kama hyo kwa bint mmoja,nilichofanya...

Kuangalia vigezo vyngu kwanza,nataka nioe mwanamke wa sampuli gani? (Hasahasa tabia na dini)

Je,ni mwanamke anaendana na ndoto zangu?

Je,bado ana msimamo na mapenzi ya kweli kwangu..?

Jipe muda ndugu kumchunguza....kamwe usimwamini Sana mwanamke never,wanawake wanajua kurubuni Sana tena Sana .
 
Hyo hali wanaume wengi tumepitia/tunapitia..

.... kumbuka tuu,kinacho leta furaha ktk ndoa na kufanya idumu sio mapenzi wala sura au shepu Bali ni tabia na kuhurumiana..

Mimi nilipitia situation kama hyo kwa bint mmoja,nilichofanya...

Kuangalia vigezo vyngu kwanza,nataka nioe mwanamke wa sampuli gani? (Hasahasa tabia na dini)

Je,ni mwanamke anaendana na ndoto zangu?

Je,bado ana msimamo na mapenzi ya kweli kwangu..?

Jipe muda ndugu kumchunguza....kamwe usimwamini Sana mwanamke never,wanawake wanajua kurubuni Sana tena Sana .
Thanks brother
 
Huyu msichana nilisoma nae 'A' level katika shule fulani hapa Dar es salaam. Darasani kwetu hakuna ambae hakumjua maana alikuwa msichana mwenye sura nzuri sana tena kuliko wote darasani. Ila hakuwa social kiviile. Alikuwa na rafiki zake aliowazoea na hakupenda mazoea sana.

Sasa mi nikawa nimempenda. Nikaanza kumtongoza tokea tunaanza form five. Kipindi ambacho mimi ndo nilikuwa mtu wa kwanza kumtongoza pale shuleni lakini alinikataa. Baada ya miezi mitatu nikapiga moyo konde nikamtongoza tena akakataa nikapotezea.

Tukiwa tunafanya mitihani ya mwisho tunaingia form 6 nikasema ngoja nijaribu tena nikamtongoza tena kwa mara ya tatu akakataa. Nikamuomba namba ili tuwe tunawasiliana maana kuna rafiki yangu mmoja 'Kishoro' (bado marafiki mpaka sasa) alinishauri bora niwe naenda nae taratibu niwe nawasiliana nae namuhonga honga vocha, na ukizingatia kilikuwa kipindi cha mitihani tunakaribia kwenda likizo. Nikamuomba namba akaninyima.

Baadae tukiwa likizo nikaitafuta namba yake kwa mtu mwingine. Nikampigia simu akawa ananijibu kwa mkato ili maongezi yaishe nikimtumia meseji hajibu kabisa.

Nikaacha kuongea nae tukaingia form 6. Nikawa najaribu kwenda nae taratibu nikawa nalazimisha urafiki. Akawa ananikwepa kwepa. Hataki story na mimi. (Inauma sana aiseee!). Kuna siku nilimuomba twende Kunduchi beach jumamosi kila kitu nitalipa mimi (baada ya kukopa sana maana mwanafunzi hela unatoa wapi ?). Akakataa nikaja kuskia Jumamos alienda Beach kombo na monitor wetu nilikuja kuambiwa baada ya kumaliza kuwa wakati tunakaribia kumaliza alianza mahusiano na monitor.

Tukiwa tunakaribia kufanya paper ya Form 6 nikataka nimtongoze tena akakataa kuongea namimi. Ila tu nikamwambia "Sawa. Ila hakuna msichana nilikuwa nampenda kama wewe". Hakujibu akaondoka. Tukafanya paper tukamaliza.

Toka tumemaliza form 6 sikuwahi kuonana nae tena. Nimemaliza chuo miaka miwili iliyopita(degree)
Kazi nnayoifanya ni tofauti na niliyosomea. Sio ya maslahi ila inaniwezesha kuishi Dar. Nilishamsahau maana hatujaonana mda mrefu. Sasa juzi(jumatatu) niko makumbusho nasubiri daladala ya ubungo nikashangaa naguswa bega. Kugeuka ni yeye. Moyo ukapiga paa. Nilishangaa sana maana hakuwahi nianza mazungumzo wala kunisalimia popote.

Akaniambia Danny za siku nyingi nikamwambia safi. Tukaongea sana. Sana, tukakumbushana watu tuliosoma nao, mambo ya shule. Ila Gari la Kunduchi lilipofika akataka kupanda aondoke. Akaniambia "Danny naomba namba yako tuwasiliane." Nikashangaa sana. Nikampa namba.

Nilivofika nyumbani nikawaza sana kwamba kinachotokea ninaota ? Prisca wakuniomba mimi namba ? Mimi ambae miaka kadhaa iliyopita alininyima namba yake nikaitafuta kwa mtu mwingine ?

Ilivyofika saa tano kasoro akanipigia simu nikapokea. Tukaongea stori kibao. Hakusema kwanini amenipigia zaidi ya story za hapa na pale. Akanipa story za UDSM (mimi nilisoma SAUT). Baadae tukaagana nikalala. Ila asubuhi wazo la kwanza lililonijia ni kuwa yawezekana Prisca anataka kunikubali sasa hivi. Maana haiwezekani Prisca anipigie mimi Danny simu hivihivi. Tena Prisca, anipigie mie simu ?

Jumannne hatukuwasiliana ila Jana jumatano alinipigia simu mchana akanilaumu sana kwa sauti ya mapenzi mbona sikumtafuta siku ya Jumanne ? Mi nikamwambia 'sikuwa na vocha' ila sikuwa na sababu ya kumtafuta kusema ukweli. Tukiwa tunaongea na simu hiyo jana akaniuliza vipi wifi mzima ? Nikamwambia sina mwanamke. Akaniambia anataka kuja kunitembelea Jumamosi. Nikamwambia nikipata muda ntakwambia.

Nikakutana na Kishoro kumuomba ushauri. Alichoniambia ndicho kinachonifanya nilete uzi hapa.

Kishoro alisema: "Hakupendi huyo, ila tu anakuja kwako kupooza machungu kwa sababu aliowataka yawezekana kagombana nao. Sasa we jiangalie wewe unampenda ama humpendi?".

Mimi, naweza sema nampenda ila sio sana kama nilivyokuwa nampenda kipindi kile; ni kama alinitoka kiukweli, ila sijiskii vizuri kumpotezea. Nipo single na nataka KUOA(sitaki mahusiano ya kucheza cheza) lakini nafsi yangu inasita kumuoa yeye.

Ila pia maneno ya Kishoro yanajirudia rudia sana kwenye akili yangu "Hakupendi huyo, do for your own risk."

Halafu mimi mwenyewe nashangaa. Alivyokuwa ananitreat kipindi kile, leo hii Prisca ananipigia simu ? Ananiuliza mbona sijamtafuta ? Halafu anataka kuja kunitembelea ? Huyu ni Prisca kweli au naota ndoto za mchana ?

Anyway, Yawezekana humu kuna watu waliwahi kupitia kisa kinachofanana na changu na wangependa kushare uzoefu wao jinsi walivyoshughulika na hivyo visa. Ntafurahi nikipata kuskia kutoka kwenu.

Lakini pia dada zangu mtanisaidia maoni yenu; Je, inawezekana kwa mwanamke ambae alikuwa hakupendi miaka ya nyuma akaja kwako kwa upendo wa dhati ?

NB:Kuna vitu vingi nimevitoa ili kufupisha story, kama bado ndefu mniwie radhi
pole sana mpendwa kwa yaliyokukuta,kitu ninachokiamini katika dunia hii uaminifu kwenye mapenzi hakuna tena,naomba nikuulize kwahiyo ww shemeji hujawahi kumucheat jamaa kweli? au kwa vile ww umemfumania ndio umekasilika.ukiachana na jamaa hutataka mapenzi tena? kama jamaa bado anakupenda na kukuheshimu sion haja ya kuachana nae,just forgive my dear
 
Mkuu hili wala sio swala la kuuliza. Huyu mleta mada ana viashiria vyote vya udomo zege kama vile:
1. Yuko singo. Mwanaume unaejua kutongoza, una kazi, una hela, una pa kuishi, unaanzia wapi kuwa singo? Yaani wanawake wote waliojaa kila mahali umeshindwa kuwapata? Kweli mpaka unakuja kukutana na mwanamke mlieachana form five halafu ulivyo ukamuambia ukweli kwamba uko singo! Yaani kwanza dem atakua kakushusha thamani sana kujua upo singo.
2. Tabia ya wanaume madomo zege ni kwamba huwa hawaachi mzoga! Yeye kwake kitendo cha mwanamke kumzoea anaona kama ngekewa maana la sivyo hajui atapata wapi mwingine?
3. Mwanamke kakutana nae juzi, lakini angalia kwenye uzi huu tangu mwanzo anamtetea jinsi ambavyo hataki kumuumiza, mara akimuacha atamuelewaje, mara ataonekana mshenzi.. ata hajajua kama mwanamke kweli anamtaka au labda ni ana shida anataka kumkopa tu hela?
4. Jamaa yuko tayari kumkaribisha dem aliekutana nae juzi nyumbani kwake! We ulisikia wapi? Demu umekutana nae baada ya kupotezana miaka kibao, hujui saiz anafanya mishe gani we unamkaribishaje home? Kama ni jambazi? Au malaya anajiuza?

NB: udomo zege sio tusi, ni hali.
Asante sana kwa ufafanuzi wa mwanaume domo zege ila nimecheka mpaka machozi
 
Acha ufala wewe.....

Mkubalie aje Jumamosi kisha piga vizuri.... na mfulishe nguo kabisa.

Akishaondoka kwako zima simu na umkatie mawasiliano.

Huyo hakupendi hata kidogo maisha yamempiga anajitongozesha.

Wakati wa kumwaacha kuwa makini maana maisha hayahitaji hasira.
Na akumbuke kutumia kondomu

Huwa Wana roho mbaya sana mademu wanaorudi
 
Kwa niaba ya rafiki yangu danny napenda kuwashukuruni nyote kwa ushauri wenu naahidi tutaufanyia kazi na mambo yataenda sawia mi ni kishoro mshikaji wake mtoa maada. Hatuhitaji tena ushauri imetosha. asanteni sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom