shanature
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,956
- 1,834
mimi ilishawahi kunitokea demu nilikuwa nae yaani akawawa ananisumbua as if mimi ni tegemezi sana kwake hata ukitaka gemu mpaka apate hamu yeye...akanipiga chini baada ya miaka akanifuata nataka turudikama zamani ....anasimulia nilimpelekesha plus kumla mara moko na kumtema napishana nae kashaanza kudanga kumbe alikuwa anataka kupoozea njaa zake kwangu....kulamzigo jiepushe akome..



