Ulishughulika vipi na kisa cha namna hii?

Ulishughulika vipi na kisa cha namna hii?

Inahitaji uwe kauzu sana kumfukuza demu mkuu.
Hasa demu ambaye maumbile yake umeyaona na kuyagegeda.
Utakuwa ukitoka kazini na kurud nyumbani ukifungua tu mlango unamkuta juu ya kitanda ametanua mapaja bila kifunika uchi.
Asikwambie mtu mkuu sio kazi ya kitoto
Yote ayoo ya nini jamani ndio mana nikasema uyu demu apelekwe gesti tu ndio anastaili na huku mchizi akiendelea kumchunguza taratibu
 
Mademu wa aina hii ukimpeleka geto siku ya kwanza tu anajichoresha kwa majirani wote wamuone ili kuandaa ushahidi ukishakaa naye na ukataka kumfukuza majirani wanajitokeza kumtetea
Yote ayoo ya nini jamani ndio mana nikasema uyu demu apelekwe gesti tu ndio anastaili na huku mchizi akiendelea kumchunguza taratibu
 
Mademu wa aina hii ukimpeleka geto siku ya kwanza tu anajichoresha kwa majirani wote wamuone ili kuandaa ushahidi ukishakaa naye na ukataka kumfukuza majirani wanajitokeza kumtetea
Aswaaa kwa iyo jamaa awe makini sana kwanza mambo ya kupeleka peleka mademu geto sio powa sema mabaaria wanafosi tu amna namna sema kuna siku kinakuja kunuka lazima geto utaliona chungu
 
Kaka apo 100% ni Jumba Bovu sikushauri kuwa nae...Apo karuka ruka wee kaona mambo sio mambo anae mtaka hamtaki sasa anatafuta atakae mtaka...cha kufia nini si alijitia jeuri funika kombe nasema funika. Nakushauri ivi kwasababu lolote litakalo kuja kutokea uko mbeleni tofauti na matarajio yako ndugu yangu utakuja kulalamika sana na utapata stress mbaya haijawai tokea.


Good thing ni kwamba alisha kutoka japo sio mazina as you said ila fanya mishe zingine mpotezee atakutoka kabisa. Wanawake wapo wengi Kaka songa mbele kama ambulance uku unalia. ukifika utanyamaza
Wa hivo wapo Sana tu gragh imeshuka, kamua kibaharia kumbuka kwa mwampalange usikose. Usikose mundende
 
Kwa kweli mmenielimisha pakubwa. Nilikuwa nawaza kumuoa lakini sasa nimepata sababu kwanini ni hatari kuingia nae katika maisha.
Yaani mtu hujakaa nae hata wiki kwenye uhusiano, tena mtu ambae alikuwa aankuona kam nyanya mbovu ndio unataka kumuoa? Uko desperate kiasi hicho au ndio wadau kusema wewe domo zege?
Hamna mapenzi hapo, shtuka.
 
Huwa tunakuwa tuna watu tunaowapenda na matarajio nao kumbe ni mabazazi...matokeo tukishatendwa tunaanza kuangalia angali option B
Umesema kweli, ni jukumu lakr kunyoa au kusuka. Ila namuona namna atakavyoteseka ndoani
 
Kamati ya roho mbaya

Nashindwa kuelewa kosa la Prisca ni nini? Kwa kipindi kile alikua na mtu, mlitaka akubali mwanaume mwingine wakati tayari ana mtu? Angeitwa majina mabaya yote.

Kwa sasa yupo Single kaona ni wakati wa kuwa na huyu, kosa lake ni nini?
Mleta mada ndio mtu wa kwanza kumtongoza anavyosema yeye, lakini akaja kumkubakia monitor baadae. Again kwanini hakumtafuta mpaka walipokutana kwa bahati mbaya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom