Halafu nitakuja nikulawiti bila ruhusa yako na bila huruma.Mwaka huu utazaa kwa uchungu, endelea kushobokea MWANAMUME humu JF.
Mie naona mna status tofaut ya maisha kua na marafiki wenye kipato/wanaojiweza kama wewe. Inaonekana wewe uko stable ndio maana una Shangaa kwanini yeye anakopa kopa. Na yeye anapitia kipindi kigumu na anaona wew ndio mtu anaweza share nae magumu yake.
Achana nae angalia size yako . Mie ndio maana hata niwe na shida vipi siombi chochote kwa rafiki zangu maana wataona kama usumbufu tu.
Unataka kupelekewa MOTOOOOOO 🔥🔥🔥🔥🔥Halafu nitakuja unikulawiti bila huruma
Uko pao lakini mkuu?Ni kweli kabisa mdogo wangu
DADDY KAAMA ULIKUWEPO VILESisi wanaume huwa 'tunawatema' washikaji wa namna hiyo...
Maana kuna raia utadhani watoto yatima, na wana tarehe zao hizo utaanza tu kuona stori zinabadilika badilika malalamiko ya kifedha yanaongezeka...
Ukiacha washikaji pia kuna ndugu wale wa "niazime laki, 50k n.k nitakurejeshea mambo yangu yakikaa sawa"
Mchukulie serious mtu ambaye na yeye huwa ana hiyo sensitivity na matatizo yako.yaani watu wanaboa sana mtu atakulezea matatizo yake utadhani na wewe huna tatizo
Hapo nimeelewa basi hilo ni tatizo..achana nae wala usimwambie kama unataka kua mbali ila punguza tu ukaribu nae usiwe unamtafuta baadae atajiongeza mwenyewe.Hapana wala sio kabisa yeye ana mshahara kila mwezi na anajua ambavyo nipo sasa Lakin ndio hivyo akikutafuta ni anawaza wapi atapata pesa ya kukopa au umsaidie na anakuganda haswa nilichokuja kugundua anapenda maisha ya gharama sana wakati uwezo hana
Na anapenda umjali yeye tu wakati mim shida zangu nazitatua mwenyewe na wala simsumbui Ila yeye sasa ananisumbua mno
Ikitokea kitu kwao nsipoenda maneno mengi na lawama kwanini sijaenda analalamika kuwa hana bahati na marafiki Yaan ni kama anataka kunicontrol sasa nami siwezi nna maisha yangu nna ratiba zangu pia
Yeye anajifikiria yeye tu kila siku ana shida yeye tu
Unakopwa wikii hii akirudisha wiki ijayo ana shida tena anataka pesa
Hapana wala sio kabisa yeye ana mshahara kila mwezi na anajua ambavyo nipo sasa Lakin ndio hivyo akikutafuta ni anawaza wapi atapata pesa ya kukopa au umsaidie na anakuganda haswa nilichokuja kugundua anapenda maisha ya gharama sana wakati uwezo hana
Na anapenda umjali yeye tu wakati mim shida zangu nazitatua mwenyewe na wala simsumbui Ila yeye sasa ananisumbua mno
Ikitokea kitu kwao nsipoenda maneno mengi na lawama kwanini sijaenda analalamika kuwa hana bahati na marafiki Yaan ni kama anataka kunicontrol sasa nami siwezi nna maisha yangu nna ratiba zangu pia
Yeye anajifikiria yeye tu kila siku ana shida yeye tu
Unakopwa wikii hii akirudisha wiki ijayo ana shida tena anataka pesa
Sisi wanaume huwa 'tunawatema' washikaji wa namna hiyo...
Maana kuna raia utadhani watoto yatima, na wana tarehe zao hizo utaanza tu kuona stori zinabadilika badilika malalamiko ya kifedha yanaongezeka...
Ukiacha washikaji pia kuna ndugu wale wa "niazime laki, 50k n.k nitakurejeshea mambo yangu yakikaa sawa"
Kwa maisha ya Kitanzania ni wengi wanapitia hali hiyo kutokana na ugumu wa maisha.
Ila uzuri anarudsha sio mbayaHapana wala sio kabisa yeye ana mshahara kila mwezi na anajua ambavyo nipo sasa Lakin ndio hivyo akikutafuta ni anawaza wapi atapata pesa ya kukopa au umsaidie na anakuganda haswa nilichokuja kugundua anapenda maisha ya gharama sana wakati uwezo hana
Na anapenda umjali yeye tu wakati mim shida zangu nazitatua mwenyewe na wala simsumbui Ila yeye sasa ananisumbua mno
Ikitokea kitu kwao nsipoenda maneno mengi na lawama kwanini sijaenda analalamika kuwa hana bahati na marafiki Yaan ni kama anataka kunicontrol sasa nami siwezi nna maisha yangu nna ratiba zangu pia
Yeye anajifikiria yeye tu kila siku ana shida yeye tu
Unakopwa wikii hii akirudisha wiki ijayo ana shida tena anataka pesa