BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Lol! Hapana ban tuachie sisi kule kwenye siasa. Buku 7 zinakutusi hadharani unarudisha mapigo kupitia pm ili usiwaudhi swahiba humu. Cha kushangaza huyo aliyeanza kukutusi anatoka mbio kuelekea kwa mods BAK kanitukana BAK kanitukana matokeo yake unayajua.
dah! kumbe ban noma sana, hebu nipe jina la mod mmoja nimtukane niexperience ladha ya ban.