Ulishawahi kupiganiwa na wasichana?

Simplicity.

JF-Expert Member
Dec 19, 2013
2,636
1,662
Kuwa mwanaume ni raha sana, duh. Nakumbuka enzi hizo, nilikuwa nagonganisha sana wasichana, tena shuleni. Wakigunduana wanaanza kuwindana kama mbwa na paka, cha ajabu mimi hawanigusi wala kuniuliza.

Basi siku moja ulipigwa mkono mbele ya kadamnasi na wasichana fulani wawili wabichi, nyonyo saa sita, si mnajua nyonyo za ukweli zinavyochomozaga kwenye blauzi nyeupe za vibinti vya sekondari? Walikung'utana huku wakitukanana matusi balaa! , hebu niangalie kwanza nilivyo, wewe ndiye uliyemtaka bwana wangu, na matusi mengine ya nguoni". Niliona soo, ila baadaye nikasema liwalo na liwe, ndio uanaume wenyewe.

Adhabu nilikuwa napewa za kuchimba visiki na kufyeka tu majani, halafu biashara inaisha. Jamani shuleni hasa sekondari ilikuwa ni raha mstarehe.

Wewe umeacha legacy gani shule ya sekondary? Kujikojolea? Kupata sifuri/kubeba darasa kila mtihani? Kutoroka kwako ilikuwa lazima? Kuchelewa shule kila siku? Siku ya wali kubeba kindoo? Kuiba mahindi mabichi ya shule? Au ulikuwa mchezaji ukiingia uwanjani vibinti vinaanza "usiniumizie"?

Hahahaaa, wengine mlioishi shule kama mpo mahabusu, mtuambie pia.
 
sikuwahi kuwa na girlfriend secondary, japo wakati nipo form 4 kuna mdada wa form 2 alinitamkia live kuwa ananipenda. nikawa namkwepa kwani nilikuwa naogopa sana kukaa faragha na msichana. niliishia kumfundisha topic ya log nyumbani kwetu,
 
Wewe umeacha legacy gani shule ya sekondary? Kujikojolea? Kupata sifuri/kubeba darasa kila mtihani? Kutoroka kwako ilikuwa lazima? Kuchelewa shule kila siku? Siku ya wali kubeba kindoo? Kuiba mahindi mabichi ya shule? Au ulikuwa mchezaji ukiingia uwanjani vibinti vinaanza "usiniumizie"?

Mi bado mpaka leo naacha ma legacy kila sehemu.

Mfano humu JF legacy yangu ni kuchapa mademu za watu :D:D:D.

Ila mods noma sana. Washanilima ban bana....hahahaaa.
 
Dingi alikuwa mkali sana, akisikia
Mi bado mpaka leo naacha ma legacy kila sehemu.

Mfano humu JF legacy yangu na kuchapa mademu za watu :D:D:D.

Ila mods noma sana. Washanilima ban bana....hahahaaa.

Hiyo story imekuhusisha wewe au ngabu mkuu? Ya kuiba mke wa mtu? Jamaa mwenyewe katokea wapi aliyeleta hayo madai?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
shule raha jaman nakumbuka clac kwetu boys tulikuwa 18 na girls 38 ukiwa msafi au una kipaji kama kucheza mpira basi utaokoa warembo kinyama utasikia usiniumizieee... me sikuwa mchezaji nilikuwa msafi tu mpole basi kwa ratio hiyo ya clac kwetu nilitokewa na warembo wa nne darasa moja raha sana mara kuna vitoto vilikuwa form 2 vinashobo sasa mmoja akaniandikia ujumbe kweny meza yangu nilioikwangua kwa ajil ya pepa kuwa ananilove .... asikwambie mtu ni raha sana nilikuwa natembea kwa kujickia sana sababu kuna mtu ananipenda afu simjui teh teh.... bado wale wanne asee ni raha sana
 
Mi bado mpaka leo naacha ma legacy kila sehemu.

Mfano humu JF legacy yangu na kuchapa mademu za watu :D:D:D.

Ila mods noma sana. Washanilima ban bana....hahahaaa.
umesahau kumalizia location unakochapiaga huku ukisindikizia na picha hamisi.
 
Back
Top Bottom