Ulishawahi kupiganiwa na wasichana?

Ulishawahi kupiganiwa na wasichana?

Ukiwa na hela kupiganiwa ni kitu cha kawaida kaka!Lkn kapuku hata Barmaid hawezi kukupigania
 
Kupiganiwa kuna maana nyingi. Kupigana wao kwa wao wakikugombania. Wore wawili kupigana na kitu kwa niaba yako au mahali ambapo wewe ndiye ungepigana. Wao kujitoa/kujitolea kupigana na adui yako ili kukukinga asikudhuru
 
Hasa ukiwa vzr darasani nakumbuka nikiwa form two kuna mama jirani yetu alinikabidhi binti yake niwe nasoma nae tena uck nyumbani kwao kwa kuwa mi nilikuwa chair wa casfeta nikamwambia siwezi na binti alikuwa nzuri japo alikuwa msumbufu namshukuru mungu mpaka sasa ni mengi nimekutana nayo
 
sikuwahi kuwa na girlfriend secondary, japo wakati nipo form 4 kuna mdada wa form 2 alinitamkia live kuwa ananipenda. nikawa namkwepa kwani nilikuwa naogopa sana kukaa faragha na msichana. niliishia kumfundisha topic ya log nyumbani kwetu,
Mdomo umejaa maji......................
 
Back
Top Bottom