Aisee wakuu sio poa kabisa sasa sijui ni ushamba au genye zilizidi sijajua kabisa aisee asikuambie mtu kweli Tanga waja leo waondoka leo na Tanga ni nzuri na atakaye aje wala hawakukosea wakuu

Wadigo,wabondei,wazigua kiukweli watafanya nifirisike kiukweli kwanza kiuno nyigu,na shanga za kiunoni aisee ukikutana nae kunako sita kwa sita utaita maji mmma aisee hawa mademu sio poa aisee utatamani kulia aisee

Jana nimejiuma meno wakati nipo namla mdigo mmoja aisee sio poa kabisa yaani kwa siku naweza kuwala wengi wengi kabisa hawa watu sio poa kabisa yaani wananoga balaa

"Waja wala leo waondoka leo,Tanga ni nzuri atakaye na aje"
Kumbe unawala wengi kwa siku moja? Hao ni wale wafanyabiashara aisee!
 
Aisee wakuu sio poa kabisa sasa sijui ni ushamba au genye zilizidi sijajua kabisa aisee asikuambie mtu kweli Tanga waja leo waondoka leo na Tanga ni nzuri na atakaye aje wala hawakukosea wakuu

Wadigo,wabondei,wazigua kiukweli watafanya nifirisike kiukweli kwanza kiuno nyigu,na shanga za kiunoni aisee ukikutana nae kunako sita kwa sita utaita maji mmma aisee hawa mademu sio poa aisee utatamani kulia aisee

Jana nimejiuma meno wakati nipo namla mdigo mmoja aisee sio poa kabisa yaani kwa siku naweza kuwala wengi wengi kabisa hawa watu sio poa kabisa yaani wananoga balaa

"Waja wala leo waondoka leo,Tanga ni nzuri atakaye na aje"
December nakuja Tanga mkuu, nakuja kukutana na mtoto wa kzigua kitambo ananiita nije
 
Kama ww ndo ulimzalisha demu mmoja hivi white wa huko Moshi na sasa umemzingua kaamua kwenda kwa dada yake Dar ujinga wako umekuponza naenda kumlamba mda huu hapa kawe tena kimasihala haswa
Asante Kwa ujinga wee jamaaa
We kenge hunaga akili wewe ndio we si ulijifanya unanisemelea kwa yule jamaa wakati wewe unaenda mega mwanamke wa mtu
 
Kama ww ndo ulimzalisha demu mmoja hivi white wa huko Moshi na sasa umemzingua kaamua kwenda kwa dada yake Dar ujinga wako umekuponza naenda kumlamba mda huu hapa kawe tena kimasihala haswa
Asante Kwa ujinga wee jamaaa


Oyaa usisahau kinga huyo demu kaungua
 
Ngoja uanze harakati za utafutaji Kwa wiki unashangaaa umepita mikoa mitatu 🤔sema Sasa Kwa saiv kua na mwenyeji sio Jambo baya lkn sioni haja ya mwenyeji kama ukiandaa bajeti vzr mambo yako yataenda vzr tu🤔 15k-30k unapata guest nzuri ya kulala, 4k-10k unakula chakula muzuri kbs

Kama hupajui sehemu unarequest Uber, bolt & farasi etc
Nilikua Morogoro Down Town pale nimeagiza Bolt hawana mji ule. Sema unaita tu boda chap anakupeleka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom