Nilivyo acha kumla kimasihara mrembo mmoja hapa Dar.
Mwezi uliopita nimetoka zangu nyanda za juu kusini. Tukaingia Moro kwa kuchelewa kidogo, saa 10 ndio tupo Msamvu stend. Nisafiripo huwa napenda sana kukaa siti za mbele pale nyuma ya dereva au pembeni yake. Kufika Msamvu, ikaingia pisi moja matata sana. Nikamshobolea na kumwambia akae karibu nami siti ya dirishani nyuma ya siti ile wanayokaaga staff.
Safari ikaanza, njiani nikawa kimya wala simuongeleshi napiga story na dereva na konda. Kufika Mikese akaanza niongelesha kuhusu foleni na story zikaanza hapo. Tukazoeana na nikaona kabisa huyu namla ila nikawa nampotezea.
Kufika Magufuli, ananiambia unaelekea wapi? nikamwambia kesho nina kikao na USAID wametuita nitashukia mwisho wa gari Shekilango na nitaenda kulala pale Rombo Green View kwani nilishaweka chumba. Naye akasema anashukia huko huko. Kufika shekilango saa 4 hivi. Nikampa simu akaandika namba yake, lakini wakati tunashuka kwenye gari naona ananifuata mi kimya na akawa anazuga kuona kama nitaondoka naye pamoja kwenye bodaboda. Ikabidi nimwambie, leo nitakuwa busy kumalizia presentation usiku huu so nitakucheki kesho baada ya kumaliza day 1 ambayo ninatakiwa kupresent. Akaondoka kwa shingo upande.
Baada ya kumaliza siku 4 za kikao niliporudi kwangu nikawa namcheki tu kujuliana hali, cha kwanza ni kuniambia yeye ni mkristo nami mkristo na dini hairuhusu kuoa mke zaidi ya mmoja maana aliangalia DP yangu Whatsapp nikiweka picha ya mke wangu na watoto. Ile pisi ni nzuri kwa kweli na ningekojolea sehemu nzuri sana. Sasa hivi mara airlock, mara Ani unblock mara anisuse mara anitafute yaani kupimana tu ila binafsi sina mzuka naye kwani umri wa mambo hayo ulishapita. Ingekuwa enzi za ujana wangu ningemlala siku ile ile.