RealixT
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 1,485
- 2,542
Kuna mshkaji alifunga safari kutoka Mwanza kufuata demu Moro waliekutana nae Facebook, kufika stand ***** picha za Facebook na demu alivyo tofauti, jamaa akapotea kiaina stand hata hawakukutana. Sababu jamaa wakati Gari imefika stand alikuwa anaongea na simu na demu akamwambia yupo chini karibu na mlango,jamaa kucheki akakuta kauziwa mbuzi kwenye gunia.